Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Dah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.

Sasa isijekuwa mwamba kaharibu alivyoosha vyombo [emoji1787]


Onyo: usiwe mwepesi wa kupokea hovyo offer, vitu
vya anasa au kula kula hovyo vya watu, ipo
siku itakucost in one way or another
[emoji23][emoji23]
 
Ilitakiwa utoe chakula cha huyo jamaa tu(mzee), sasa wewe ukapuyanga kuongezea na cha kununua kwa Mama lishe hilo ndio kosa mkuu.

Na alitaka kuwaibia nyota zenu na inavyoonekana unayo nyota kali ya kazi na biashara.
 
Mkuu mrejesho tena!


Hii Dunia Ina mambo kama wasemavyo watu pori. Hapa tena hakuna mrejesho mzigo ushakuwa wa Dunia, we close chapter & go back to sleep. Tukutane asbh tuone kama chupa litaamka na chai au uji [emoji1787]
Hahahahaaa sawa mkuu
 
Dah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.

Sasa isijekuwa mwamba kaharibu alivyoosha vyombo [emoji1787]


Onyo: usiwe mwepesi wa kupokea hovyo offer, vitu
vya anasa au kula kula hovyo vya watu, ipo
siku itakucost in one way or another
Nafikiri kosa kubwa hajauliza kuwa familia ya nje ataihudumia wapi
 
Naona walimwengu wameamua kuweka conclusion zao mapema hata kabla simulizi haijakamilika.

Wabongo wape kichwa cha habari tu, utapata essay za kutosha!
Tumeamua kuilia denge story yake ili kama ataamua kuja na part two asituchoshe kwa ngonjera nyingi, aende tu kwenye conclusion.

vinginevyo itabidi arudi mezani ku edit story nzima.
 
Naomba namba ya mzee tafafhali 🙂
 
Back
Top Bottom