Eliaskante
Senior Member
- Jun 4, 2017
- 136
- 229
Nasubir mrejesho ilikuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Dah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.
Sasa isijekuwa mwamba kaharibu alivyoosha vyombo [emoji1787]
Onyo: usiwe mwepesi wa kupokea hovyo offer, vitu
vya anasa au kula kula hovyo vya watu, ipo
siku itakucost in one way or another
Bia bia, mitungii....Asikwambie mtu....
Mkuu mrejesho tena!Nasubir mrejesho ilikuaje
Hahahahaaa sawa mkuuMkuu mrejesho tena!
Hii Dunia Ina mambo kama wasemavyo watu pori. Hapa tena hakuna mrejesho mzigo ushakuwa wa Dunia, we close chapter & go back to sleep. Tukutane asbh tuone kama chupa litaamka na chai au uji [emoji1787]
Nafikiri kosa kubwa hajauliza kuwa familia ya nje ataihudumia wapiDah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.
Sasa isijekuwa mwamba kaharibu alivyoosha vyombo [emoji1787]
Onyo: usiwe mwepesi wa kupokea hovyo offer, vitu
vya anasa au kula kula hovyo vya watu, ipo
siku itakucost in one way or another
Tumeamua kuilia denge story yake ili kama ataamua kuja na part two asituchoshe kwa ngonjera nyingi, aende tu kwenye conclusion.Naona walimwengu wameamua kuweka conclusion zao mapema hata kabla simulizi haijakamilika.
Wabongo wape kichwa cha habari tu, utapata essay za kutosha!
Nani alikipika wakati mama hakuwepo na nyumba ilikuwa empty?Unachukua chakula ovyo unaenda kugawia watu, umejuaje ni salama?
Ukwasi alionao mzee utegemee mama apike chakula?Nani alikipika wakati mama hakuwepo na nyumba ilikuwa empty?