Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Nategea matukio yaishe au yapungue, maana naona Kila week linaibuka jipya
Duh pole sana but kama unayamudu pia sawa Kwa kuwa Mwenyezi Mungu hampi mja wake mtihani unaomzidi kimo,yote Kwa yote Mungu akitangulizwa mbele utaruka vihunzi vyilivyoko mbele yako.

Kila la kheri, sisi kila Wakati Kwa kudra zake Mungu pia tunakuombea uyapasue mawimbi vyema huku tunatega sikio tuje pata Cha kijifunza.
 
Amin, Amin, Amin[emoji1545] naamini hivyo pia japokuwa challenges zingine ni tricky sana
 
Amin, Amin, Amin[emoji1545] naamini hivyo pia japokuwa challenges zingine ni tricky sana
Boss, nilifanikiwa kusafirisha mzigo wangu! Ila next time nitapenda kufanya kazi na wewe, hata kama ni mwakani itakuwa sawa tu kwa uande wangu, Nadhani hata kwako itakuwa safe coz pilikapilika za Uzi zitakuwa zimeisha
 
Boss, nilifanikiwa kusafirisha mzigo wangu! Ila next time nitapenda kufanya kazi na wewe, hata kama ni mwakani itakuwa sawa tu kwa uande wangu, Nadhani hata kwako itakuwa safe coz pilikapilika za Uzi zitakuwa zimeisha
Mkuu, unajua saa hii sipo kwa..... anyway acha tuone vile itakuwa
 
You sound like The bold ( Habib b. Aga).....In any way, good art...Real Verteller
 
Tunasubiri Episode 2 mkuu
Soon mkuu, unajua Character mmoja ambaye ni muhimu sana alikuwa hayupo ila now tumekamilika wacha nione matukio vile yatakuwa ndicho nitakacho wasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…