Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Huyo caryn usimtongoze fanya hivi, mwekee mitego sana usimchukulie kama dada yako mwangalie kwa staili kali za kumtamani mtongoze kwa macho jifanye kama unaangalia sana mwili wake mpaka akushtukie lakini usimtongoze , hiyo ni mbinu ya kivita ya kumshusha confidence , alafu potezea usimwambie chochote , mwanamke ni mwanamke tu
 
Watu mna mbinu za kijasusi kabisa,....
Mkuu kama ulisomeaga Cuba vile😂
 
Niko paleee nakusikiliza.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Season 1 aliweka kila siku ila hii anavyoipeleka sasa daaaah. Haileti munkari wa kuifuatlia kabisa sijui tatizo limekuwa ni nini?
 
Na isipofanya kazi hii mbinu, huoni italeta majanga zaidi? Though lengo langu kuu sio kupita nae
 
Season 1 aliweka kila siku ila hii anavyoipeleka sasa daaaah. Haileti munkari wa kuifuatlia kabisa sijui tatizo limekuwa ni nini?
Kinachonipa uvivu ni kwamba story nilishaiandika yote halafu ikafutika, so hapa najitahidi kuandika tena, halafu kuandika sio kazi sana ni kupata tu muda na kuvuta kumbukumbu za matukio na hadi maongezi, japokuwa story nai minimize siandiki kila kitu kinachotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…