Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Malizia story tukupe ushauri.
#MaendeleoHayanaChama
 
mods inabidi waweke kitufe cha kujuwa kama mtu anatype thread maana unaweza kuta mtu anatype uko sie subira hatuna

ila kuwasaidia maskini ni jambo jema ila isiwe kwa manufaa yako binafsi ,shusha thread mzee anataka kukuunga chamani
 
Duuuuh bwana yupi uyo aseeeee, ila life hapana aseeee
 
Mkuu iyo gari tangia ulivho pewa ..sijaona sehemu ukisema kama uliingia sheli kujaza mafuta zaidi ww ni kupark tu izi chai zingine ziwe zinaendana na uhalisia
mmmmh ndgu kwan gari kakaa nalo mwezi c cku izo ambazo azijazdi tatu n kuhusu mafuta u never know may be tank lilikuwa bdo lipo vzur
 
Huyu mtoa mada c alishakuja na stori humu kuwa ana milion 300 sijui, au [emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu wewe ndio mzee muhusika kweli kabisa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…