Unajipinda unasoma weee halafu muendelezo hollaMpwanyungu sito msamehe kwa ujinga ule alioufanya.
#MaendeleoHayanaChama
Mtoa mada amesema nyumba ilikuwa empty na walikuwa wawili tu, labda bi mkubwa alipika ndipo akaondoka vacations kuwapisha wageniUkwasi alionao mzee utegemee mama apike chakula?
Kilipikwa na mpishi
au unataka kusema kilipikwa na mashetani??
Unaharibu sasa...! Atashtuka. Dah.Kuna kuliwa, chunga jicho lako Hilo la tatu shauriyako
Duuuuh bwana yupi uyo aseeeee, ila life hapana aseeeeDah haya mambo haya!, napata mashaka isije ikawa kama ya bwana yule.... Yeye kila baada ya muda fulani anarudi kwao kupika sadaka then maji ambayo watu watanawa kabla na baada ya kula huyahifadhi vizuri na kurudi nayo mjini kwaajili ya mambo yake ya kuwa rich one!.
Sasa isijekuwa mwamba kaharibu alivyoosha vyombo [emoji1787]
Onyo: usiwe mwepesi wa kupokea hovyo offer, vitu vya anasa au kula kula hovyo vya watu, ipo siku itakucost in one way or another
ha haaaaaa aseeeeeNaona walimwengu wameamua kuweka conclusion zao mapema hata kabla simulizi haijakamilika.
Wabongo wape kichwa cha habari tu, utapata essay za kutosha!
mmmmh ndgu kwan gari kakaa nalo mwezi c cku izo ambazo azijazdi tatu n kuhusu mafuta u never know may be tank lilikuwa bdo lipo vzurMkuu iyo gari tangia ulivho pewa ..sijaona sehemu ukisema kama uliingia sheli kujaza mafuta zaidi ww ni kupark tu izi chai zingine ziwe zinaendana na uhalisia
[emoji14]Nilikudanganya natumia twita na whatsap,endelea kuharibu mambo hapa
Nyumba zina siri nyingi. Kwani kote huko story yote umekutana na neno nilikuta mlinzi?Nani alikipika wakati mama hakuwepo na nyumba ilikuwa empty?
Magari ya matajiri hayakai na mafuta ya vibaba. Geji inakaa kwenye full. KwanA sisi waswahili unaweza kudhani iliharibika gaugeMkuu iyo gari tangia ulivho pewa ..sijaona sehemu ukisema kama uliingia sheli kujaza mafuta zaidi ww ni kupark tu izi chai zingine ziwe zinaendana na uhalisia
Endelea sasa
Hicho kilichochukuliwa kwenye gari yangu na kijana wa Bugurini ambae alikua ni miongoni mwa vijana uliowapa chakula, nitakipata tuu ila umekosa umakini na utajiongezea utata endapo utazidi kuanika mambo ktk jukwaa hili. Nadhani umenielewa kijana wangu