Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Kwa kweli this story is amazing niliisubir sana bt inasimuliwa mno taratibu Bm
 
Umezingua, unaachaje kazi kisa ushauri wa mwanamke?

Tena ni mwanamke anayekushauri ili ukabiliane na mwanamke mwenzie. Aisee!!

Mm huwa naheshimu Sana ushauri wa mwanaume Mwenzangu, Mwanamke ni mwanamke Tu Wana vitabia Flani ivi vya kuoneana wivu.
 
Umezingua, unaachaje kazi kisa ushauri wa mwanamke?

Tena ni mwanamke anayekushauri ili ukabiliane na mwanamke mwenzie. Aisee!!

Mm huwa naheshimu Sana ushauri wa mwanaume Mwenzangu, Mwanamke ni mwanamke Tu Wana vitabia Flani ivi vya kuoneana wivu.
Dah! Mwamba kafungisha, kajifunga tena goli la mkono na refa kapeta
 
Babu endelea basi, wengine tushakua mateja hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…