Endelea jion basi duhTuko pamoja mkuu
Haina shida mkuu, tunashukuru Sana.Naogopa ku make promise lakini nitajitahidi wiki hii kabla haijaisha, kwa uhakika zaidi Nadhani nitarudi hapa siku ya Jumapili
Mzee anataka kumpa shavu BM sema hii mithiani anayompa ni kiboko awe makini hata huyo Caren ni right hand man wa mzee hiyo mithiani usikute anahusika kuitungaBM umefanya la maana kutokumgusa huyo binti….. binti anavyokohoa ni kama anajua labda ni moja ya vile vipimo alivyoambiwa akupime, sasa unaangaliwa jinsi gani unaweza kuji defend kwenye msala…. Je utamtupia pira Careen au la [emoji28]… Mzee ana mafumbo sana.
[emoji28][emoji28][emoji28]Na asimfanye kitu kabisa.Kwa akili za Caryn mnaweza fika huko akasema mchukue chumba kimoja
[emoji1787][emoji1787]Usipomla kimasikhara careen utakua umewaumiza vijana wa rikiboy
BM umefanya la maana kutokumgusa huyo binti….. binti anavyokohoa ni kama anajua labda ni moja ya vile vipimo alivyoambiwa akupime, sasa unaangaliwa jinsi gani unaweza kuji defend kwenye msala…. Je utamtupia pira Careen au la [emoji28]… Mzee ana mafumbo sana.