Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

BM umefanya la maana kutokumgusa huyo binti….. binti anavyokohoa ni kama anajua labda ni moja ya vile vipimo alivyoambiwa akupime, sasa unaangaliwa jinsi gani unaweza kuji defend kwenye msala…. Je utamtupia pira Careen au la [emoji28]… Mzee ana mafumbo sana.
 
Mzee anataka kumpa shavu BM sema hii mithiani anayompa ni kiboko awe makini hata huyo Caren ni right hand man wa mzee hiyo mithiani usikute anahusika kuitunga
 

Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…