Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

1. How I met my wife
2. Story ya Khumbu
3. Penzi la Amida.
4. Peniela
5. Vipepeo weusi.


NB:
1. Namba 4 na 5 ni story za kutunga. 1,2 na 3 ni true stories

2. Huu ni mpangilio tu ambao nimeutoa lakini hizi stories ni hatari sana. Yaani kama umchukue MESSI kwenye Ubora wake na RONALDO kwenye ubora wake....Hapo nani zaidi ni Debate ambayo haina mwisho...Anza tu na mpangilioa niliokupa afu ukimaliza kusoma wewe ndiyo utajua ipi ndiyo kali zaidi kuliko zote maana nimeshindwa kuzi-rank

Kitu pekee nachukuhakikishia....HAUTAJUTIA time yako kama wewe ni Mtu wa kupenda stories!!!
kuna story huko inaitwa niliemdhania kahaba kumbe kibra ni bonge moja la story..
 
1. How I met my wife
2. Story ya Khumbu
3. Penzi la Amida.
4. Peniela
5. Vipepeo weusi.


NB:
1. Namba 4 na 5 ni story za kutunga. 1,2 na 3 ni true stories

2. Huu ni mpangilio tu ambao nimeutoa lakini hizi stories ni hatari sana. Yaani kama umchukue MESSI kwenye Ubora wake na RONALDO kwenye ubora wake....Hapo nani zaidi ni Debate ambayo haina mwisho...Anza tu na mpangilioa niliokupa afu ukimaliza kusoma wewe ndiyo utajua ipi ndiyo kali zaidi kuliko zote maana nimeshindwa kuzi-rank

Kitu pekee nachukuhakikishia....HAUTAJUTIA time yako kama wewe ni Mtu wa kupenda stories!!!
Hivi vipepeo weusi iliisha? Nilisoma ikaishia Kati hivi
 
1. How I met my wife
2. Story ya Khumbu
3. Penzi la Amida.
4. Peniela
5. Vipepeo weusi.


NB:
1. Namba 4 na 5 ni story za kutunga. 1,2 na 3 ni true stories

2. Huu ni mpangilio tu ambao nimeutoa lakini hizi stories ni hatari sana. Yaani kama umchukue MESSI kwenye Ubora wake na RONALDO kwenye ubora wake....Hapo nani zaidi ni Debate ambayo haina mwisho...Anza tu na mpangilioa niliokupa afu ukimaliza kusoma wewe ndiyo utajua ipi ndiyo kali zaidi kuliko zote maana nimeshindwa kuzi-rank

Kitu pekee nachukuhakikishia....HAUTAJUTIA time yako kama wewe ni Mtu wa kupenda stories!!!
Hii vipepeo weusi ni soo sikuaimaliza though
 
Story ya Khumbu ya Konda msafi.....How I met my wife.....Ally mpemba by Umughaka....Peniela....vipepeo weusi..... Story ya Hamida na hii ya BM.....ni story tamu zaidi nimewahi kuzisoma hapa JF.


Hii alosto kali sana mkuu BM X6
Ndugu naombeni link ya hizo story hasa Ile ya KUMBU niliisoma sikuimaliza. Msaada.......
 
Ndugu naombeni link ya hizo story hasa Ile ya KUMBU niliisoma sikuimaliza. Msaada.......
 
Back
Top Bottom