Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Ilipoishia

Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake

Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"

BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"

Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"

Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"

Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"

Mzee;"Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."

Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha, Mimi sikutikisa hata mguu, nikajua hapa kumekucha na makucha yake

Muendelezo

(Episode 12 SEASON 2)


Mzee: "Unajua nyie mmeshakua watu wazima sasa, kuna maisha mengine siwezi kuwapangia lakini kwenye maswala ya Kazi hapo inabidi mfuate matakwa yangu, I mean Kuna maamuzi ya kikazi hamfai kufanya nyinyi kama ninyi"

Mzee: "Michelle ni kwanini unachukua maamuzi ya kuajiri Mfanyakazi bila kufuata utaratibu?"

Michelle kabla ya kujibu akamuangalia Caryn ni kama alihisi kitu

Michelle: "Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa bila kufuata utaratibu Dad"

Caryn: "Okay! Mzee anamaanisha kwamba Why did you employ (Jina) without the Board of Directors sanctioning his appointments?"

Michelle: "Caryn....you question everything decision I take in the company....why? mbona mimi sikupangii yakufanya huko kwenye Kampuni yako"

Caryn; "Because everything you do is wrong and you hate being corrected"

Mzee: "Naomba utulivu, labda nikuulize mwanangu Michelle wewe huyu mtu unampenda kweli au ni huruma tu ndio imekutawala kwasababu huyu mtu nimemsikia kwa muda sasa hadi umeamua kumuajiri mbaya zaidi sijawahi hata kumuona"

Michelle: "I love him Dad"

Mzee: "Ninachokiona hapo sio upendo bali ni huruma ndio umetengeneza Upendo, ngoja niwaambie kitu kimoja wanangu hasa Michelle, siku zote katika maisha yenu ya mahusiano ya kimapenzi hakikisha unatanguliza Upendo halafu huruma ndio ifuate"

Michelle: "Sasa Baba unawezaje kumpenda mtu halafu usimuhurumie pindi anapokuwa katika hali mbaya"

Mzee: Nadhani hujanielewa, unajua sio kila nayehurumiwa anapendwa, ninachosisitiza ni kwamba hakikisha Upendo ndio unatengeneza huruma na sio huruma kuleta Upendo, kwasababu mahusiano yanayoanza na huruma huwa hayafiki mbali"

Michelle: "Okay! trying to understand"

Mzee: "Huyo mtu wako umemuajiri kama nani pale ofisini? I mean position yake"

Michelle akataja position aliyompa jamaa yake kwenye ofisi

Mzee: "Sasa nisikilize kwa makini, mtoe mtu wako katika hiyo nafasi halafu tafuta mtu mwingine wa ku replace hiyo position, baada ya hapo Caryn atajua Cha kufanya"

Michelle: "Sijakuelewa Mzee...mtu yupo katikati ya project naanzaje kumuachisha kazi? nikimuachisha kazi na project yenyewe itasimama na kupata mtu kwa haraka haraka itakuwa ngumu"

Caryn: "Which project are you talking about?"

Michelle: "Bagamoyo"

Caryn: "Are you sure the guy will handle that project? coz the project might be too heavy on him"

Mzee: "Kesho nitamuagiza kijana mwingine aje ofisini akifika wewe mpatie kazi aendelee na hiyo Project"

Michelle: "Lakini Dad ni kwanini tunafanya hii panga pangua na wakati hakuna kitu kilichoharibika kwenye kazi"

Mzee: "Kwahiyo unataka tusubiri vitu viharibike ndio tufanye maamuzi?"

Caryn: "Let me ask you a question Sis, huyu mtu wako ikitokea ameharibu kazi unaweza kumuadabisha kwa namna yeyote Ile kama staff wengine wa kawaida?"

Michelle: "Sasa mtu hata hajaharibu tayari mshaanza kumuwazia mabaya, hii si sawa"

Mzee: "Michelle Unajua wewe ni smart sana ndio maana nimekupa jukumu la kuongoza kampuni lakini umenipa wasiwasi nilivyosikia unaweka watu wako bila kufuata utaratibu na kumbuka Ile ni Ofisi,

"Huyo mtu wako Mimi sina shida nae ndio maana nimemuambia Caryn amtafutie kazi ya kufanya mahala pengine, Ofisi zipo nyingi hata Caryn anaweza kumchukua akamuajiri huko kwake lakini kama utakadhania yeye aendelee kufanya kazi wewe utanipa wasiwasi"

Michelle ikabidi tu awe mpole, na muda wote mimi nipo kimya sina cha kuchangia lakini nikiwa makini na kila kinachojadiliwa ila hili jukumu analopewa Caryn kumtafutia huyu jamaa kazi ni kweli atafanya kama alivyoagizwa? sababu Caryn hampendi yule jamaa na hataki hata kumuona kwanza mimi mwenyewe alinibania kunipa mchongo wake wa Udereva Bolt

Sasa baada ya kumalizana na Michelle, Mzee akaturudia sisi sasa, Caryn akaanza kubananishwa

Mzee: "Caryn hukunipatia report ya mwezi uliopita, unajua sitaki reports zibebane"

Caryn: "Kesho nikitoka kazini nitakuwa nimeikamilisha Dad"

Mzee: "Nasikia ushaanza kufukuza watu huko ofisini, shida ni nini?"

Caryn akashtuka ni kama vile hakutegemea kuulizwa swali kama lile na Mzee halafu akaniangalia

Caryn: "Dad we nani kakuambia?"

Mzee: "BM Unajua hawa watoto wana matatizo sana, Dada mtu anaajiri watu bila kufuata utaratibu na mdogo wake nae anafukuza watu bila kufuata Sheria"

Caryn: "Speaking of Sheria Dad, unajua pale ofisini staff wote hawakusainishwa mikataba ya Kazi, na watu wa sales nao hawajajaza zile fomu za mwanasheria, Ivi unajua watu wa sales ukiacha commissions zao pia tunawapa pesa ya transport kila wiki halafu mtu huyu huyu akihama Kampuni ujue wanahama na wateja wao kitu ambacho hakitakiwi ila hayo yanatokea kwasababu hawajapitishwa kwa mwanasheria"

Mzee: "Kwani kuna ubaya mtu kuhama Kampuni pamoja na wateja wake?"

Caryn: "Ubaya upo Dad, kumbuka hawa watu Kampuni ndio inawawezesha kuwapata hao wateja, tunawapa pesa ya transport so wakihama hawatakiwi kuhama na mteja yeyote aliyempata akiwa ndani ya Kampuni yetu"

Mzee: "Ndio maana nimekuweka pale wewe ndio unajua namna ya kufanya"

Caryn: "But Dad.....lakini sawa tu nitajua"

Mzee: "Nadhani tumemalizana mnaweza kwenda, niacheni na BM, Caryn nitengenezee Kahawa niletee.....BM tuondoke hapa hapatufai kwa mazungumzo yetu"

Tukatoka tukaelekea Backyard wakati tunatembea kuelekea huko Mzee akaanza kunihoji kuhusu wazazi wangu kuulizia maendeleo yao

BM: "Mama hajambo hata Mzee pia japokuwa sijaenda kwa Mzee muda mrefu"

Mzee: "Usifanye hivyo, kama huishi pamoja na wazee wako jenga tabia ya kuwatembelea mara kwa mara, unajua Mzazi aliyetelekezwa na mtoto anaumia zaidi kuliko mtoto aliyetelekezwa na Wazazi"

BM: "Sawa, nitajitahidi kufanya hivyo mzee"

Mzee: "Hata hawa Dada zako siku zao zinahesabika wanatakiwa waondoke kwasababu uwezo wa kujitegemea wanao wakiendelea kukaa hapa tutakoseana heshima"

Mzee aliendelea kuongea "Unajua Wazazi ambao wanabanana na watoto ambao sio watoto tena wanateseka, wakubanana nae ni mtoto, kwasababu hana nia lakini mtoto akishakua mkubwa ana 'Nia' ukibanana nae atakutesa, Ukiwa na ugomvi na mtoto uliyemzaa 'mtoto mdogo' hatakusumbua, utamsamehe hata akikupiga kibao utaona tu kwamba hajui lolote,"

"Lakini mtoto ambae ameshakua na ana uwezo wa kuchagua 'kufanya maamuzi' mzazi inabidi uachane nae, kwani Mimi na Caryn tukiwa na ugomvi atakaeumia zaidi ni Mimi mzazi sio Caryn, hata wewe kijana wangu ukija kupata mtoto halafu ukamkosea hutoumia sawa na yeye akikukosea"

BM: "Dah! nimekuelewa sana Mzee Unajua mara ya kwanza ulivyoniambia kuwa unataka wakina Michelle wakajitegemee nilikuwa sijakuelewa kabisa lakini kwa maelezo uliyonipa ni wazi kuwa upo sahihi, Inaonekana Mzee unasoma sana vitabu eeh?"

Mzee: "Nitakudanganya kama nikijibu ndio, Mimi napenda sana kusikiliza sana watu, watu wa rika zote ila hasa wazee wenzangu kwasababu wao ndio wana experiences nyingi zaidi na haya maisha, hapo mm ndipo ninapopata materials na kujifunza mambo tofauti, hii pia haina tofauti na kusoma kitabu kwani wanao andika vitabu wanaandika experiences zao za maisha"

Hapa sasa na mimi nikamuuliza Mzee swali la kimtego...."Mzee unajua una busara na hekima sana najifunza vitu vingi kutoka kwako, ivi kati ya Michelle na Caryn ni nani kakurithi hizi Akili na hekima zako"

Mzee alikuwa kashanyanyua Bilauri ya Maji ili anywe lakini alirudisha Ile glass mezani na kuanza kunijibu

Mzee: "Swali lako ni jepesi lakini tata kidogo, Unajua watu wengi tunawadhania wana akili kwasababu wamefunga vinywa vyao, sasa Michelle ana usmart wa kawaida lakini ana hekima sana sasa sijui ni kwasababu sio muongeaji sana, maana ukitaka kuipima hekima ya mtu sio wakati amenyamaza, ni wakati anaongea"

"Kwa upande wa Caryn, yule mtoto bhana yeye ni muongeaji ila pia ni smart sana hicho ndicho kinachombeba lakini amekosa hekima hasa kwa age mate wenzake"


Kucheki saa mida imekimbia kidogo nikamuaga Mzee, kabla hajaniruhusu akaulizia kuhusu wale madogo nilipofikia, nikaanza kumuelezea (sijui na nyie kama nilishawaelezea kwenye episodes zilizopita)

Anyways ila kwa kifupi ni kwamba Dogo nilimpeleka sehemu akaongeze ujuzi wa kutengeneza furniture kwasababu alikuwa nao lakini haukumtosheleza halafu baada ya hapo Dogo akishakwiva nimtafutie sehemu ka workshop flani hivi ambako atakuwa anafanyia kazi zake, hiyo ndio plan ambayo ipo

Wale madogo wengine wawili imebidi kwa Sasa watulie home kule kule kwa sister huku tukifanya taratibu za wao kuanza shule Mwakani 2023

Ila ilibidi nimpange Mzee kisawasawa mwisho wa siku akanielewa mara Caryn akaja kule Backyard kumuita Mzee, Bi Mkubwa ndani alikuwa anamuita, Mzee akanitaka nisiondoke nimsubiri kwanza arudi

Mzee alivyoingia ndani Caryn akakaa pale pale alipokuwa amekaa Mzee

Caryn: "Wewe na Mzee Kuna agenda gani ya Siri inaendelea?"

BM: "Agenda ya siri?"

Caryn: "Unajua tangu nianze kazi Mzee hajawahi kukanyaga pale ofisini lakini Leo kuna vitu kaviongea Inaonekana anajua Kila kitu kinachoendelea pale ofisini, Sasa nikuulize wewe ndiye infomer wake?"

BM: "Hapana kwa kweli labda ni wewe mwenyewe huwa unaongea na Michelle Habari za ofisini so Michelle labda kamchana Mzee"

Caryn: "Sijawahi kuongea na Michelle chochote kile kinachohusu ofisini labda kama akiwa anataka usaidizi wa kusafirishiwa vitu vyake"

BM: "Lakini hata hivyo sioni ubaya, wewe mbona unatu spy sisi na hatulalamiki, wewe umejuaje kama Michelle kamuajiri mtu mpya kule ofisini kwake?"

Caryn: "Ooh! Sasa nimepata jibu"

Caryn akanikata jicho hilo halafu akaondoka, nikajua hapa nishatengeneza bifu tena bifu kali maana kashajua namzunguka kumbe wala ila wasiwasi wangu mimi upo kwa Michelle kwasababu nilimuuliza makusudi Caryn kama huwa anashea mambo yake ya ofisini na Michelle lakini amekataa,

Sasa Michelle hizi habari za mimi kulala na Caryn chumba kimoja atakuwa kazipata wapi? huenda huyu ndiye spy wa Mzee, na kama ni kweli Spy basi Mzee atakuwa anacheza na Akili zao

Hawa watoto wawili wa Mzee Kila mmoja amepewa Ofisi yake lakini ninachokiona ni kwamba Mzee katengeneza mazingira ya Kila mmoja ajue kwa mwenzie kinaendelea kitu gani, hizo ni hisia zangu lakini sina uhakika kama ndio Iko hivyo

So hadi sasa nimeconfirm kwamba Caryn hajui kama Michelle ana taarifa zetu nyeti ila sijajua kwamba kashamfikishia Mzee au lah, kwasababu zile taarifa kama zitafika kwa Mzee kama zilivyo basi hiyo itakuwa ni kesi nyingine tena kubwa sana

Mzee akarudi Kuna maelekezo akanipa then nikaagana nae, nimerudi zangu nyumbani Wakati najiandaa kulala message ikaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Michelle ambayo ilisomeka

BM kama ulikuwa hujui ni kwamba Mzee kanipa kazi ya kuwafuatilia na taarifa nilizonazo kuhusu wewe na Caryn nikisema nimuambie Mzee Unajua wewe ndio unachakupoteza, Sasa kama unataka niendelee kukaa kimya hakikisha unamshawishi Caryn hadi akubali kumuajiri bwana angu hapo ofisini kwenu, wiki 1 inakutosha kukamilisha kazi yangu

Nilivyomaliza kusoma text ya Michelle usingizi wote ukakata, kwanza ngoja niwachane ukweli ndugu zangu wana Jamii forum, unajua siku Ile Mimi sijamgusa Caryn kabisa ila kwa hiki ninachokiona nahisi Michelle anajua nimepita na mdogo wake kitu ambacho sio kweli kwanza amejuaje sisi tumelala room moja na Caryn anadai hakuongea chochote na Michelle

Kitu kingine Caryn mwenyewe kashajua mimi nam snitch kwa Baba yake kumbe ni Dada yake mwenyewe ndio anamzunguka na nikisema nimsanue ndio kwanza nitaharibu mambo, kwanza nitawagombanisha na wakishagombana tu Caryn ndio hatotaka kabisa kusikia lolote linalomuhusu Michelle na mwisho wa siku Michelle atakinukisha, na akikinukisha kifuatacho ni ITV


Asubuhi mapema tu nikaingia job, nikakuta X3 imepark nikajua tu Caryn kashafika, nikapanda juu hadi second floor nikaingia ofisini kwa Caryn

Sasa jinsi Ile Ofisi ilivyo ukiingia Caryn hakuoni kwasababu imegawanyishwa ambapo huku kwenye room nyingine ndio kwa Secretary ila room ni moja hiyo hiyo na wakati naingia secretary hakuwepo

Nilivyosikia Caryn anaongea na simu ikabidi ni chill kwanza huku upande wa Ofisi ya secretary
lakini anachokiongea Caryn nakisikia huku nilipo japokuwa maongezi nimekuta ndio yapo mwishoni

Caryn:".....nitawasiliana nae ameshanitumia makaratasi yake nitafanya lolote tu ili awe disqualified.......nakuja nayo nikitoka lakini ni kama nitachelewa

Kukawa na ukimya kwa muda nikahisi kashamaliza kuongea na simu nikaingia ndani ofisini

BM: "Madam mambo"

Caryn: "Safi"

Kwa namna alivyoitikia salama leo Caryn naona mood yake iko off, ila sasa shauku yangu ni kujua anamuwazia nini yule bwana ake na Michelle ikabidi nimuanzie mbali

BM: "Leo ndio naenda Zenji, ivi Bado hujapata mtu wa kumteua? vipi unaonaje kama nikiwa naongozana na Bwana ake Michelle ndio awe ananisaidia"

Caryn: "Sitaki hata kumsikia, hakuna kazi anatafutiwa huyo mtu, Ile ilikuwa mbinu ya kumchomoa kule kwa Michelle"

BM: "Kwahiyo kumbe hakuna Mpango wowote wa ajira kuhusu yule jamaa"

Caryn: "Ivi unajua unanichefua unavyozidi kumuongelea huyo mtu"

Nikaona hii ngoma ngumu, kazi niliyopewa na Michelle sijui kama nitaiweza, hapa ngoja nitoke nje nikatafakari zaidi nini Cha kufanya,

Unajua kama soo likibumburuka Mimi ndio nina Cha kupoteza kama alivyosema Michelle, na Mzee hawezi kukuelewa eti umelala na Mwanaye halafu hujamfanya kitu hata Mimi sitokuelewa nitahisi tu mliruka majoka

Sasa Wakati natoka kabla hata sijaugusa mlango wa kutokea Caryn akaniita nikarudi kumsikiliza hii siku Caryn alionekana kuwa na mawazo sana

BM: "Yes, nakusikiliza"

Caryn: "Give me your phone"

BM: "Simu yangu ya nini tena?"

Caryn: "I need to see your incoming calls, your outgoing call, your messages. Everything, I need to watch my back"


Itaendelea
 
Ilipoishia

Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake

Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"

BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"

Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"

Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"

Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"

Mzee;"Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."

Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha, Mimi sikutikisa hata mguu, nikajua hapa kumekucha na makucha yake

Muendelezo

(Episode 12 SEASON 2)


Mzee: "Unajua nyie mmeshakua watu wazima sasa, kuna maisha mengine siwezi kuwapangia lakini kwenye maswala ya Kazi hapo inabidi mfuate matakwa yangu, I mean Kuna maamuzi ya kikazi hamfai kufanya nyinyi kama ninyi"

Mzee: "Michelle ni kwanini unachukua maamuzi ya kuajiri Mfanyakazi bila kufuata utaratibu?"

Michelle kabla ya kujibu akamuangalia Caryn ni kama alihisi kitu

Michelle: "Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa bila kufuata utaratibu Dad"

Caryn: "Okay! Mzee anamaanisha kwamba Why did you employ (Jina) without the Board of Directors sanctioning his appointments?"

Michelle: "Caryn....you question everything decision I take in the company....why? mbona mimi sikupangii yakufanya huko kwenye Kampuni yako"

Caryn; "Because everything you do is wrong and you hate being corrected"

Mzee: "Naomba utulivu, labda nikuulize mwanangu Michelle wewe huyu mtu unampenda kweli au ni huruma tu ndio imekutawala kwasababu huyu mtu nimemsikia kwa muda sasa hadi umeamua kumuajiri mbaya zaidi sijawahi hata kumuona"

Michelle: "I love him Dad"

Mzee: "Ninachokiona hapo sio upendo bali ni huruma ndio umetengeneza Upendo, ngoja niwaambie kitu kimoja wanangu hasa Michelle, siku zote katika maisha yenu ya mahusiano ya kimapenzi hakikisha unatanguliza Upendo halafu huruma ndio ifuate"

Michelle: "Sasa Baba unawezaje kumpenda mtu halafu usimuhurumie pindi anapokuwa katika hali mbaya"

Mzee: Nadhani hujanielewa, unajua sio kila nayehurumiwa anapendwa, ninachosisitiza ni kwamba hakikisha Upendo ndio unatengeneza huruma na sio huruma kuleta Upendo, kwasababu mahusiano yanayoanza na huruma huwa hayafiki mbali"

Michelle: "Okay! trying to understand"

Mzee: "Huyo mtu wako umemuajiri kama nani pale ofisini? I mean position yake"

Michelle akataja position aliyompa jamaa yake kwenye ofisi

Mzee: "Sasa nisikilize kwa makini, mtoe mtu wako katika hiyo nafasi halafu tafuta mtu mwingine wa ku replace hiyo position, baada ya hapo Caryn atajua Cha kufanya"

Michelle: "Sijakuelewa Mzee...mtu yupo katikati ya project naanzaje kumuachisha kazi? nikimuachisha kazi na project yenyewe itasimama na kupata mtu kwa haraka haraka itakuwa ngumu"

Caryn: "Which project are you talking about?"

Michelle: "Bagamoyo"

Caryn: "Are you sure the guy will handle that project? coz the project might be too heavy on him"

Mzee: "Kesho nitamuagiza kijana mwingine aje ofisini akifika wewe mpatie kazi aendelee na hiyo Project"

Michelle: "Lakini Dad ni kwanini tunafanya hii panga pangua na wakati hakuna kitu kilichoharibika kwenye kazi"

Mzee: "Kwahiyo unataka tusubiri vitu viharibike ndio tufanye maamuzi?"

Caryn: "Let me ask you a question Sis, huyu mtu wako ikitokea ameharibu kazi unaweza kumuadabisha kwa namna yeyote Ile kama staff wengine wa kawaida?"

Michelle: "Sasa mtu hata hajaharibu tayari mshaanza kumuwazia mabaya, hii si sawa"

Mzee: "Michelle Unajua wewe ni smart sana ndio maana nimekupa jukumu la kuongoza kampuni lakini umenipa wasiwasi nilivyosikia unaweka watu wako bila kufuata utaratibu na kumbuka Ile ni Ofisi,

"Huyo mtu wako Mimi sina shida nae ndio maana nimemuambia Caryn amtafutie kazi ya kufanya mahala pengine, Ofisi zipo nyingi hata Caryn anaweza kumchukua akamuajiri huko kwake lakini kama utakadhania yeye aendelee kufanya kazi wewe utanipa wasiwasi"

Michelle ikabidi tu awe mpole, na muda wote mimi nipo kimya sina cha kuchangia lakini nikiwa makini na kila kinachojadiliwa ila hili jukumu analopewa Caryn kumtafutia huyu jamaa kazi ni kweli atafanya kama alivyoagizwa? sababu Caryn hampendi yule jamaa na hataki hata kumuona kwanza mimi mwenyewe alinibania kunipa mchongo wake wa Udereva Bolt

Sasa baada ya kumalizana na Michelle, Mzee akaturudia sisi sasa, Caryn akaanza kubananishwa

Mzee: "Caryn hukunipatia report ya mwezi uliopita, unajua sitaki reports zibebane"

Caryn: "Kesho nikitoka kazini nitakuwa nimeikamilisha Dad"

Mzee: "Nasikia ushaanza kufukuza watu huko ofisini, shida ni nini?"

Caryn akashtuka ni kama vile hakutegemea kuulizwa swali kama lile na Mzee halafu akaniangalia

Caryn: "Dad we nani kakuambia?"

Mzee: "BM Unajua hawa watoto wana matatizo sana, Dada mtu anaajiri watu bila kufuata utaratibu na mdogo wake nae anafukuza watu bila kufuata Sheria"

Caryn: "Speaking of Sheria Dad, unajua pale ofisini staff wote hawakusainishwa mikataba ya Kazi, na watu wa sales nao hawajajaza zile fomu za mwanasheria, Ivi unajua watu wa sales ukiacha commissions zao pia tunawapa pesa ya transport kila wiki halafu mtu huyu huyu akihama Kampuni ujue wanahama na wateja wao kitu ambacho hakitakiwi ila hayo yanatokea kwasababu hawajapitishwa kwa mwanasheria"

Mzee: "Kwani kuna ubaya mtu kuhama Kampuni pamoja na wateja wake?"

Caryn: "Ubaya upo Dad, kumbuka hawa watu Kampuni ndio inawawezesha kuwapata hao wateja, tunawapa pesa ya transport so wakihama hawatakiwi kuhama na mteja yeyote aliyempata akiwa ndani ya Kampuni yetu"

Mzee: "Ndio maana nimekuweka pale wewe ndio unajua namna ya kufanya"

Caryn: "But Dad.....lakini sawa tu nitajua"

Mzee: "Nadhani tumemalizana mnaweza kwenda, niacheni na BM, Caryn nitengenezee Kahawa niletee.....BM tuondoke hapa hapatufai kwa mazungumzo yetu"

Tukatoka tukaelekea Backyard wakati tunatembea kuelekea huko Mzee akaanza kunihoji kuhusu wazazi wangu kuulizia maendeleo yao

BM: "Mama hajambo hata Mzee pia japokuwa sijaenda kwa Mzee muda mrefu"

Mzee: "Usifanye hivyo, kama huishi pamoja na wazee wako jenga tabia ya kuwatembelea mara kwa mara, unajua Mzazi aliyetelekezwa na mtoto anaumia zaidi kuliko mtoto aliyetelekezwa na Wazazi"

BM: "Sawa, nitajitahidi kufanya hivyo mzee"

Mzee: "Hata hawa Dada zako siku zao zinahesabika wanatakiwa waondoke kwasababu uwezo wa kujitegemea wanao wakiendelea kukaa hapa tutakoseana heshima"

Mzee aliendelea kuongea "Unajua Wazazi ambao wanabanana na watoto ambao sio watoto tena wanateseka, wakubanana nae ni mtoto, kwasababu hana nia lakini mtoto akishakua mkubwa ana 'Nia' ukibanana nae atakutesa, Ukiwa na ugomvi na mtoto uliyemzaa 'mtoto mdogo' hatakusumbua, utamsamehe hata akikupiga kibao utaona tu kwamba hajui lolote,"

"Lakini mtoto ambae ameshakua na ana uwezo wa kuchagua 'kufanya maamuzi' mzazi inabidi uachane nae, kwani Mimi na Caryn tukiwa na ugomvi atakaeumia zaidi ni Mimi mzazi sio Caryn, hata wewe kijana wangu ukija kupata mtoto halafu ukamkosea hutoumia sawa na yeye akikukosea"

BM: "Dah! nimekuelewa sana Mzee Unajua mara ya kwanza ulivyoniambia kuwa unataka wakina Michelle wakajitegemee nilikuwa sijakuelewa kabisa lakini kwa maelezo uliyonipa ni wazi kuwa upo sahihi, Inaonekana Mzee unasoma sana vitabu eeh?"

Mzee: "Nitakudanganya kama nikijibu ndio, Mimi napenda sana kusikiliza sana watu, watu wa rika zote ila hasa wazee wenzangu kwasababu wao ndio wana experiences nyingi zaidi na haya maisha, hapo mm ndipo ninapopata materials na kujifunza mambo tofauti, hii pia haina tofauti na kusoma kitabu kwani wanao andika vitabu wanaandika experiences zao za maisha"

Hapa sasa na mimi nikamuuliza Mzee swali la kimtego...."Mzee unajua una busara na hekima sana najifunza vitu vingi kutoka kwako, ivi kati ya Michelle na Caryn ni nani kakurithi hizi Akili na hekima zako"

Mzee alikuwa kashanyanyua Bilauri ya Maji ili anywe lakini alirudisha Ile glass mezani na kuanza kunijibu

Mzee: "Swali lako ni jepesi lakini tata kidogo, Unajua watu wengi tunawadhania wana akili kwasababu wamefunga vinywa vyao, sasa Michelle ana usmart wa kawaida lakini ana hekima sana sasa sijui ni kwasababu sio muongeaji sana, maana ukitaka kuipima hekima ya mtu sio wakati amenyamaza, ni wakati anaongea"

"Kwa upande wa Caryn, yule mtoto bhana yeye ni muongeaji ila pia ni smart sana hicho ndicho kinachombeba lakini amekosa hekima hasa kwa age mate wenzake"


Kucheki saa mida imekimbia kidogo nikamuaga Mzee, kabla hajaniruhusu akaulizia kuhusu wale madogo nilipofikia, nikaanza kumuelezea (sijui na nyie kama nilishawaelezea kwenye episodes zilizopita)

Anyways ila kwa kifupi ni kwamba Dogo nilimpeleka sehemu akaongeze ujuzi wa kutengeneza furniture kwasababu alikuwa nao lakini haukumtosheleza halafu baada ya hapo Dogo akishakwiva nimtafutie sehemu ka workshop flani hivi ambako atakuwa anafanyia kazi zake, hiyo ndio plan ambayo ipo

Wale madogo wengine wawili imebidi kwa Sasa watulie home kule kule kwa sister huku tukifanya taratibu za wao kuanza shule Mwakani 2023

Ila ilibidi nimpange Mzee kisawasawa mwisho wa siku akanielewa mara Caryn akaja kule Backyard kumuita Mzee, Bi Mkubwa ndani alikuwa anamuita, Mzee akanitaka nisiondoke nimsubiri kwanza arudi

Mzee alivyoingia ndani Caryn akakaa pale pale alipokuwa amekaa Mzee

Caryn: "Wewe na Mzee Kuna agenda gani ya Siri inaendelea?"

BM: "Agenda ya siri?"

Caryn: "Unajua tangu nianze kazi Mzee hajawahi kukanyaga pale ofisini lakini Leo kuna vitu kaviongea Inaonekana anajua Kila kitu kinachoendelea pale ofisini, Sasa nikuulize wewe ndiye infomer wake?"

BM: "Hapana kwa kweli labda ni wewe mwenyewe huwa unaongea na Michelle Habari za ofisini so Michelle labda kamchana Mzee"

Caryn: "Sijawahi kuongea na Michelle chochote kile kinachohusu ofisini labda kama akiwa anataka usaidizi wa kusafirishiwa vitu vyake"

BM: "Lakini hata hivyo sioni ubaya, wewe mbona unatu spy sisi na hatulalamiki, wewe umejuaje kama Michelle kamuajiri mtu mpya kule ofisini kwake?"

Caryn: "Ooh! Sasa nimepata jibu"

Caryn akanikata jicho hilo halafu akaondoka, nikajua hapa nishatengeneza bifu tena bifu kali maana kashajua namzunguka kumbe wala ila wasiwasi wangu mimi upo kwa Michelle kwasababu nilimuuliza makusudi Caryn kama huwa anashea mambo yake ya ofisini na Michelle lakini amekataa,

Sasa Michelle hizi habari za mimi kulala na Caryn chumba kimoja atakuwa kazipata wapi? huenda huyu ndiye spy wa Mzee, na kama ni kweli Spy basi Mzee atakuwa anacheza na Akili zao

Hawa watoto wawili wa Mzee Kila mmoja amepewa Ofisi yake lakini ninachokiona ni kwamba Mzee katengeneza mazingira ya Kila mmoja ajue kwa mwenzie kinaendelea kitu gani, hizo ni hisia zangu lakini sina uhakika kama ndio Iko hivyo

So hadi sasa nimeconfirm kwamba Caryn hajui kama Michelle ana taarifa zetu nyeti ila sijajua kwamba kashamfikishia Mzee au lah, kwasababu zile taarifa kama zitafika kwa Mzee kama zilivyo basi hiyo itakuwa ni kesi nyingine tena kubwa sana

Mzee akarudi Kuna maelekezo akanipa then nikaagana nae, nimerudi zangu nyumbani Wakati najiandaa kulala message ikaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Michelle ambayo ilisomeka

BM kama ulikuwa hujui ni kwamba Mzee kanipa kazi ya kuwafuatilia na taarifa nilizonazo kuhusu wewe na Caryn nikisema nimuambie Mzee Unajua wewe ndio unachakupoteza, Sasa kama unataka niendelee kukaa kimya hakikisha unamshawishi Caryn hadi akubali kumuajiri bwana angu hapo ofisini kwenu, wiki 1 inakutosha kukamilisha kazi yangu

Nilivyomaliza kusoma text ya Michelle usingizi wote ukakata, kwanza ngoja niwachane ukweli ndugu zangu wana Jamii forum, unajua siku Ile Mimi sijamgusa Caryn kabisa ila kwa hiki ninachokiona nahisi Michelle anajua nimepita na mdogo wake kitu ambacho sio kweli kwanza amejuaje sisi tumelala room moja na Caryn anadai hakuongea chochote na Michelle

Kitu kingine Caryn mwenyewe kashajua mimi nam snitch kwa Baba yake kumbe ni Dada yake mwenyewe ndio anamzunguka na nikisema nimsanue ndio kwanza nitaharibu mambo, kwanza nitawagombanisha na wakishagombana tu Caryn ndio hatotaka kabisa kusikia lolote linalomuhusu Michelle na mwisho wa siku Michelle atakinukisha, na akikinukisha kifuatacho ni ITV


Asubuhi mapema tu nikaingia job, nikakuta X3 imepark nikajua tu Caryn kashafika, nikapanda juu hadi second floor nikaingia ofisini kwa Caryn

Sasa jinsi Ile Ofisi ilivyo ukiingia Caryn hakuoni kwasababu imegawanyishwa ambapo huku kwenye room nyingine ndio kwa Secretary ila room ni moja hiyo hiyo na wakati naingia secretary hakuwepo

Nilivyosikia Caryn anaongea na simu ikabidi ni chill kwanza huku upande wa Ofisi ya secretary
lakini anachokiongea Caryn nakisikia huku nilipo japokuwa maongezi nimekuta ndio yapo mwishoni

Caryn:".....nitawasiliana nae ameshanitumia makaratasi yake nitafanya lolote tu ili awe disqualified.......nakuja nayo nikitoka lakini ni kama nitachelewa

Kukawa na ukimya kwa muda nikahisi kashamaliza kuongea na simu nikaingia ndani ofisini

BM: "Madam mambo"

Caryn: "Safi"

Kwa namna alivyoitikia salama leo Caryn naona mood yake iko off, ila sasa shauku yangu ni kujua anamuwazia nini yule bwana ake na Michelle ikabidi nimuanzie mbali

BM: "Leo ndio naenda Zenji, ivi Bado hujapata mtu wa kumteua? vipi unaonaje kama nikiwa naongozana na Bwana ake Michelle ndio awe ananisaidia"

Caryn: "Sitaki hata kumsikia, hakuna kazi anatafutiwa huyo mtu, Ile ilikuwa mbinu ya kumchomoa kule kwa Michelle"

BM: "Kwahiyo kumbe hakuna Mpango wowote wa ajira kuhusu yule jamaa"

Caryn: "Ivi unajua unanichefua unavyozidi kumuongelea huyo mtu"

Nikaona hii ngoma ngumu, kazi niliyopewa na Michelle sijui kama nitaiweza, hapa ngoja nitoke nje nikatafakari zaidi nini Cha kufanya,

Unajua kama soo likibumburuka Mimi ndio nina Cha kupoteza kama alivyosema Michelle, na Mzee hawezi kukuelewa eti umelala na Mwanaye halafu hujamfanya kitu hata Mimi sitokuelewa nitahisi tu mliruka majoka

Sasa Wakati natoka kabla hata sijaugusa mlango wa kutokea Caryn akaniita nikarudi kumsikiliza hii siku Caryn alionekana kuwa na mawazo sana

BM: "Yes, nakusikiliza"

Caryn: "Give me your phone"

BM: "Simu yangu ya nini tena?"

Caryn: "I need to see your incoming calls, your outgoing call, your messages. Everything, I need to watch my back"


Itaendelea
Shukran
 
Ilipoishia

Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake

Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"

BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"

Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"

Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"

Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"

Mzee;"Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."

Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha, Mimi sikutikisa hata mguu, nikajua hapa kumekucha na makucha yake

Muendelezo

(Episode 12 SEASON 2)


Mzee: "Unajua nyie mmeshakua watu wazima sasa, kuna maisha mengine siwezi kuwapangia lakini kwenye maswala ya Kazi hapo inabidi mfuate matakwa yangu, I mean Kuna maamuzi ya kikazi hamfai kufanya nyinyi kama ninyi"

Mzee: "Michelle ni kwanini unachukua maamuzi ya kuajiri Mfanyakazi bila kufuata utaratibu?"

Michelle kabla ya kujibu akamuangalia Caryn ni kama alihisi kitu

Michelle: "Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa bila kufuata utaratibu Dad"

Caryn: "Okay! Mzee anamaanisha kwamba Why did you employ (Jina) without the Board of Directors sanctioning his appointments?"

Michelle: "Caryn....you question everything decision I take in the company....why? mbona mimi sikupangii yakufanya huko kwenye Kampuni yako"

Caryn; "Because everything you do is wrong and you hate being corrected"

Mzee: "Naomba utulivu, labda nikuulize mwanangu Michelle wewe huyu mtu unampenda kweli au ni huruma tu ndio imekutawala kwasababu huyu mtu nimemsikia kwa muda sasa hadi umeamua kumuajiri mbaya zaidi sijawahi hata kumuona"

Michelle: "I love him Dad"

Mzee: "Ninachokiona hapo sio upendo bali ni huruma ndio umetengeneza Upendo, ngoja niwaambie kitu kimoja wanangu hasa Michelle, siku zote katika maisha yenu ya mahusiano ya kimapenzi hakikisha unatanguliza Upendo halafu huruma ndio ifuate"

Michelle: "Sasa Baba unawezaje kumpenda mtu halafu usimuhurumie pindi anapokuwa katika hali mbaya"

Mzee: Nadhani hujanielewa, unajua sio kila nayehurumiwa anapendwa, ninachosisitiza ni kwamba hakikisha Upendo ndio unatengeneza huruma na sio huruma kuleta Upendo, kwasababu mahusiano yanayoanza na huruma huwa hayafiki mbali"

Michelle: "Okay! trying to understand"

Mzee: "Huyo mtu wako umemuajiri kama nani pale ofisini? I mean position yake"

Michelle akataja position aliyompa jamaa yake kwenye ofisi

Mzee: "Sasa nisikilize kwa makini, mtoe mtu wako katika hiyo nafasi halafu tafuta mtu mwingine wa ku replace hiyo position, baada ya hapo Caryn atajua Cha kufanya"

Michelle: "Sijakuelewa Mzee...mtu yupo katikati ya project naanzaje kumuachisha kazi? nikimuachisha kazi na project yenyewe itasimama na kupata mtu kwa haraka haraka itakuwa ngumu"

Caryn: "Which project are you talking about?"

Michelle: "Bagamoyo"

Caryn: "Are you sure the guy will handle that project? coz the project might be too heavy on him"

Mzee: "Kesho nitamuagiza kijana mwingine aje ofisini akifika wewe mpatie kazi aendelee na hiyo Project"

Michelle: "Lakini Dad ni kwanini tunafanya hii panga pangua na wakati hakuna kitu kilichoharibika kwenye kazi"

Mzee: "Kwahiyo unataka tusubiri vitu viharibike ndio tufanye maamuzi?"

Caryn: "Let me ask you a question Sis, huyu mtu wako ikitokea ameharibu kazi unaweza kumuadabisha kwa namna yeyote Ile kama staff wengine wa kawaida?"

Michelle: "Sasa mtu hata hajaharibu tayari mshaanza kumuwazia mabaya, hii si sawa"

Mzee: "Michelle Unajua wewe ni smart sana ndio maana nimekupa jukumu la kuongoza kampuni lakini umenipa wasiwasi nilivyosikia unaweka watu wako bila kufuata utaratibu na kumbuka Ile ni Ofisi,

"Huyo mtu wako Mimi sina shida nae ndio maana nimemuambia Caryn amtafutie kazi ya kufanya mahala pengine, Ofisi zipo nyingi hata Caryn anaweza kumchukua akamuajiri huko kwake lakini kama utakadhania yeye aendelee kufanya kazi wewe utanipa wasiwasi"

Michelle ikabidi tu awe mpole, na muda wote mimi nipo kimya sina cha kuchangia lakini nikiwa makini na kila kinachojadiliwa ila hili jukumu analopewa Caryn kumtafutia huyu jamaa kazi ni kweli atafanya kama alivyoagizwa? sababu Caryn hampendi yule jamaa na hataki hata kumuona kwanza mimi mwenyewe alinibania kunipa mchongo wake wa Udereva Bolt

Sasa baada ya kumalizana na Michelle, Mzee akaturudia sisi sasa, Caryn akaanza kubananishwa

Mzee: "Caryn hukunipatia report ya mwezi uliopita, unajua sitaki reports zibebane"

Caryn: "Kesho nikitoka kazini nitakuwa nimeikamilisha Dad"

Mzee: "Nasikia ushaanza kufukuza watu huko ofisini, shida ni nini?"

Caryn akashtuka ni kama vile hakutegemea kuulizwa swali kama lile na Mzee halafu akaniangalia

Caryn: "Dad we nani kakuambia?"

Mzee: "BM Unajua hawa watoto wana matatizo sana, Dada mtu anaajiri watu bila kufuata utaratibu na mdogo wake nae anafukuza watu bila kufuata Sheria"

Caryn: "Speaking of Sheria Dad, unajua pale ofisini staff wote hawakusainishwa mikataba ya Kazi, na watu wa sales nao hawajajaza zile fomu za mwanasheria, Ivi unajua watu wa sales ukiacha commissions zao pia tunawapa pesa ya transport kila wiki halafu mtu huyu huyu akihama Kampuni ujue wanahama na wateja wao kitu ambacho hakitakiwi ila hayo yanatokea kwasababu hawajapitishwa kwa mwanasheria"

Mzee: "Kwani kuna ubaya mtu kuhama Kampuni pamoja na wateja wake?"

Caryn: "Ubaya upo Dad, kumbuka hawa watu Kampuni ndio inawawezesha kuwapata hao wateja, tunawapa pesa ya transport so wakihama hawatakiwi kuhama na mteja yeyote aliyempata akiwa ndani ya Kampuni yetu"

Mzee: "Ndio maana nimekuweka pale wewe ndio unajua namna ya kufanya"

Caryn: "But Dad.....lakini sawa tu nitajua"

Mzee: "Nadhani tumemalizana mnaweza kwenda, niacheni na BM, Caryn nitengenezee Kahawa niletee.....BM tuondoke hapa hapatufai kwa mazungumzo yetu"

Tukatoka tukaelekea Backyard wakati tunatembea kuelekea huko Mzee akaanza kunihoji kuhusu wazazi wangu kuulizia maendeleo yao

BM: "Mama hajambo hata Mzee pia japokuwa sijaenda kwa Mzee muda mrefu"

Mzee: "Usifanye hivyo, kama huishi pamoja na wazee wako jenga tabia ya kuwatembelea mara kwa mara, unajua Mzazi aliyetelekezwa na mtoto anaumia zaidi kuliko mtoto aliyetelekezwa na Wazazi"

BM: "Sawa, nitajitahidi kufanya hivyo mzee"

Mzee: "Hata hawa Dada zako siku zao zinahesabika wanatakiwa waondoke kwasababu uwezo wa kujitegemea wanao wakiendelea kukaa hapa tutakoseana heshima"

Mzee aliendelea kuongea "Unajua Wazazi ambao wanabanana na watoto ambao sio watoto tena wanateseka, wakubanana nae ni mtoto, kwasababu hana nia lakini mtoto akishakua mkubwa ana 'Nia' ukibanana nae atakutesa, Ukiwa na ugomvi na mtoto uliyemzaa 'mtoto mdogo' hatakusumbua, utamsamehe hata akikupiga kibao utaona tu kwamba hajui lolote,"

"Lakini mtoto ambae ameshakua na ana uwezo wa kuchagua 'kufanya maamuzi' mzazi inabidi uachane nae, kwani Mimi na Caryn tukiwa na ugomvi atakaeumia zaidi ni Mimi mzazi sio Caryn, hata wewe kijana wangu ukija kupata mtoto halafu ukamkosea hutoumia sawa na yeye akikukosea"

BM: "Dah! nimekuelewa sana Mzee Unajua mara ya kwanza ulivyoniambia kuwa unataka wakina Michelle wakajitegemee nilikuwa sijakuelewa kabisa lakini kwa maelezo uliyonipa ni wazi kuwa upo sahihi, Inaonekana Mzee unasoma sana vitabu eeh?"

Mzee: "Nitakudanganya kama nikijibu ndio, Mimi napenda sana kusikiliza sana watu, watu wa rika zote ila hasa wazee wenzangu kwasababu wao ndio wana experiences nyingi zaidi na haya maisha, hapo mm ndipo ninapopata materials na kujifunza mambo tofauti, hii pia haina tofauti na kusoma kitabu kwani wanao andika vitabu wanaandika experiences zao za maisha"

Hapa sasa na mimi nikamuuliza Mzee swali la kimtego...."Mzee unajua una busara na hekima sana najifunza vitu vingi kutoka kwako, ivi kati ya Michelle na Caryn ni nani kakurithi hizi Akili na hekima zako"

Mzee alikuwa kashanyanyua Bilauri ya Maji ili anywe lakini alirudisha Ile glass mezani na kuanza kunijibu

Mzee: "Swali lako ni jepesi lakini tata kidogo, Unajua watu wengi tunawadhania wana akili kwasababu wamefunga vinywa vyao, sasa Michelle ana usmart wa kawaida lakini ana hekima sana sasa sijui ni kwasababu sio muongeaji sana, maana ukitaka kuipima hekima ya mtu sio wakati amenyamaza, ni wakati anaongea"

"Kwa upande wa Caryn, yule mtoto bhana yeye ni muongeaji ila pia ni smart sana hicho ndicho kinachombeba lakini amekosa hekima hasa kwa age mate wenzake"


Kucheki saa mida imekimbia kidogo nikamuaga Mzee, kabla hajaniruhusu akaulizia kuhusu wale madogo nilipofikia, nikaanza kumuelezea (sijui na nyie kama nilishawaelezea kwenye episodes zilizopita)

Anyways ila kwa kifupi ni kwamba Dogo nilimpeleka sehemu akaongeze ujuzi wa kutengeneza furniture kwasababu alikuwa nao lakini haukumtosheleza halafu baada ya hapo Dogo akishakwiva nimtafutie sehemu ka workshop flani hivi ambako atakuwa anafanyia kazi zake, hiyo ndio plan ambayo ipo

Wale madogo wengine wawili imebidi kwa Sasa watulie home kule kule kwa sister huku tukifanya taratibu za wao kuanza shule Mwakani 2023

Ila ilibidi nimpange Mzee kisawasawa mwisho wa siku akanielewa mara Caryn akaja kule Backyard kumuita Mzee, Bi Mkubwa ndani alikuwa anamuita, Mzee akanitaka nisiondoke nimsubiri kwanza arudi

Mzee alivyoingia ndani Caryn akakaa pale pale alipokuwa amekaa Mzee

Caryn: "Wewe na Mzee Kuna agenda gani ya Siri inaendelea?"

BM: "Agenda ya siri?"

Caryn: "Unajua tangu nianze kazi Mzee hajawahi kukanyaga pale ofisini lakini Leo kuna vitu kaviongea Inaonekana anajua Kila kitu kinachoendelea pale ofisini, Sasa nikuulize wewe ndiye infomer wake?"

BM: "Hapana kwa kweli labda ni wewe mwenyewe huwa unaongea na Michelle Habari za ofisini so Michelle labda kamchana Mzee"

Caryn: "Sijawahi kuongea na Michelle chochote kile kinachohusu ofisini labda kama akiwa anataka usaidizi wa kusafirishiwa vitu vyake"

BM: "Lakini hata hivyo sioni ubaya, wewe mbona unatu spy sisi na hatulalamiki, wewe umejuaje kama Michelle kamuajiri mtu mpya kule ofisini kwake?"

Caryn: "Ooh! Sasa nimepata jibu"

Caryn akanikata jicho hilo halafu akaondoka, nikajua hapa nishatengeneza bifu tena bifu kali maana kashajua namzunguka kumbe wala ila wasiwasi wangu mimi upo kwa Michelle kwasababu nilimuuliza makusudi Caryn kama huwa anashea mambo yake ya ofisini na Michelle lakini amekataa,

Sasa Michelle hizi habari za mimi kulala na Caryn chumba kimoja atakuwa kazipata wapi? huenda huyu ndiye spy wa Mzee, na kama ni kweli Spy basi Mzee atakuwa anacheza na Akili zao

Hawa watoto wawili wa Mzee Kila mmoja amepewa Ofisi yake lakini ninachokiona ni kwamba Mzee katengeneza mazingira ya Kila mmoja ajue kwa mwenzie kinaendelea kitu gani, hizo ni hisia zangu lakini sina uhakika kama ndio Iko hivyo

So hadi sasa nimeconfirm kwamba Caryn hajui kama Michelle ana taarifa zetu nyeti ila sijajua kwamba kashamfikishia Mzee au lah, kwasababu zile taarifa kama zitafika kwa Mzee kama zilivyo basi hiyo itakuwa ni kesi nyingine tena kubwa sana

Mzee akarudi Kuna maelekezo akanipa then nikaagana nae, nimerudi zangu nyumbani Wakati najiandaa kulala message ikaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Michelle ambayo ilisomeka

BM kama ulikuwa hujui ni kwamba Mzee kanipa kazi ya kuwafuatilia na taarifa nilizonazo kuhusu wewe na Caryn nikisema nimuambie Mzee Unajua wewe ndio unachakupoteza, Sasa kama unataka niendelee kukaa kimya hakikisha unamshawishi Caryn hadi akubali kumuajiri bwana angu hapo ofisini kwenu, wiki 1 inakutosha kukamilisha kazi yangu

Nilivyomaliza kusoma text ya Michelle usingizi wote ukakata, kwanza ngoja niwachane ukweli ndugu zangu wana Jamii forum, unajua siku Ile Mimi sijamgusa Caryn kabisa ila kwa hiki ninachokiona nahisi Michelle anajua nimepita na mdogo wake kitu ambacho sio kweli kwanza amejuaje sisi tumelala room moja na Caryn anadai hakuongea chochote na Michelle

Kitu kingine Caryn mwenyewe kashajua mimi nam snitch kwa Baba yake kumbe ni Dada yake mwenyewe ndio anamzunguka na nikisema nimsanue ndio kwanza nitaharibu mambo, kwanza nitawagombanisha na wakishagombana tu Caryn ndio hatotaka kabisa kusikia lolote linalomuhusu Michelle na mwisho wa siku Michelle atakinukisha, na akikinukisha kifuatacho ni ITV


Asubuhi mapema tu nikaingia job, nikakuta X3 imepark nikajua tu Caryn kashafika, nikapanda juu hadi second floor nikaingia ofisini kwa Caryn

Sasa jinsi Ile Ofisi ilivyo ukiingia Caryn hakuoni kwasababu imegawanyishwa ambapo huku kwenye room nyingine ndio kwa Secretary ila room ni moja hiyo hiyo na wakati naingia secretary hakuwepo

Nilivyosikia Caryn anaongea na simu ikabidi ni chill kwanza huku upande wa Ofisi ya secretary
lakini anachokiongea Caryn nakisikia huku nilipo japokuwa maongezi nimekuta ndio yapo mwishoni

Caryn:".....nitawasiliana nae ameshanitumia makaratasi yake nitafanya lolote tu ili awe disqualified.......nakuja nayo nikitoka lakini ni kama nitachelewa

Kukawa na ukimya kwa muda nikahisi kashamaliza kuongea na simu nikaingia ndani ofisini

BM: "Madam mambo"

Caryn: "Safi"

Kwa namna alivyoitikia salama leo Caryn naona mood yake iko off, ila sasa shauku yangu ni kujua anamuwazia nini yule bwana ake na Michelle ikabidi nimuanzie mbali

BM: "Leo ndio naenda Zenji, ivi Bado hujapata mtu wa kumteua? vipi unaonaje kama nikiwa naongozana na Bwana ake Michelle ndio awe ananisaidia"

Caryn: "Sitaki hata kumsikia, hakuna kazi anatafutiwa huyo mtu, Ile ilikuwa mbinu ya kumchomoa kule kwa Michelle"

BM: "Kwahiyo kumbe hakuna Mpango wowote wa ajira kuhusu yule jamaa"

Caryn: "Ivi unajua unanichefua unavyozidi kumuongelea huyo mtu"

Nikaona hii ngoma ngumu, kazi niliyopewa na Michelle sijui kama nitaiweza, hapa ngoja nitoke nje nikatafakari zaidi nini Cha kufanya,

Unajua kama soo likibumburuka Mimi ndio nina Cha kupoteza kama alivyosema Michelle, na Mzee hawezi kukuelewa eti umelala na Mwanaye halafu hujamfanya kitu hata Mimi sitokuelewa nitahisi tu mliruka majoka

Sasa Wakati natoka kabla hata sijaugusa mlango wa kutokea Caryn akaniita nikarudi kumsikiliza hii siku Caryn alionekana kuwa na mawazo sana

BM: "Yes, nakusikiliza"

Caryn: "Give me your phone"

BM: "Simu yangu ya nini tena?"

Caryn: "I need to see your incoming calls, your outgoing call, your messages. Everything, I need to watch my back"


Itaendelea
Story kalee kinyambis
 
Ilipoishia

Mzee akarudi akakaa kimya kama Dakika 2 hivi huku akiwa anachezea simu, ni kama alikuwa anajibu jumbe kwenye simu yake

Mzee: "Umefanya vizuri BM kuja leo, maana nilikuwa nafikiria kukutafuta, vipi maendeleo lakini?"

BM: "Mungu mkubwa maendeleo si mabaya"

Mzee: "Vizuri kusikia hivyo"

Mzee: "Unajua BM pamoja na Binti zangu hapa nyie Bado ni vijana wadogo, na katika umri wenu huo mdogo mmepata bahati ya kuongoza Kampuni kubwa mnazofanyia kazi"

Mzee; "Ni ngumu sana kukuta Kampuni ambayo inaendeshwa na kijana inapata maendeleo mazuri kwasababu vijana wana mambo mengi sana, vichwa vyenu vinakuwa havijatulia lakini nilichukua maamuzi magumu nikawapa hiyo dhamana"

Mzee;"Unajua hakuna kitu kibaya kama kuchanganya Mapenzi na kazi...."

Caryn akakohoa, Michelle akajinyoosha, Mimi sikutikisa hata mguu, nikajua hapa kumekucha na makucha yake

Muendelezo

(Episode 12 SEASON 2)


Mzee: "Unajua nyie mmeshakua watu wazima sasa, kuna maisha mengine siwezi kuwapangia lakini kwenye maswala ya Kazi hapo inabidi mfuate matakwa yangu, I mean Kuna maamuzi ya kikazi hamfai kufanya nyinyi kama ninyi"

Mzee: "Michelle ni kwanini unachukua maamuzi ya kuajiri Mfanyakazi bila kufuata utaratibu?"

Michelle kabla ya kujibu akamuangalia Caryn ni kama alihisi kitu

Michelle: "Hakuna mfanyakazi aliyeajiriwa bila kufuata utaratibu Dad"

Caryn: "Okay! Mzee anamaanisha kwamba Why did you employ (Jina) without the Board of Directors sanctioning his appointments?"

Michelle: "Caryn....you question everything decision I take in the company....why? mbona mimi sikupangii yakufanya huko kwenye Kampuni yako"

Caryn; "Because everything you do is wrong and you hate being corrected"

Mzee: "Naomba utulivu, labda nikuulize mwanangu Michelle wewe huyu mtu unampenda kweli au ni huruma tu ndio imekutawala kwasababu huyu mtu nimemsikia kwa muda sasa hadi umeamua kumuajiri mbaya zaidi sijawahi hata kumuona"

Michelle: "I love him Dad"

Mzee: "Ninachokiona hapo sio upendo bali ni huruma ndio umetengeneza Upendo, ngoja niwaambie kitu kimoja wanangu hasa Michelle, siku zote katika maisha yenu ya mahusiano ya kimapenzi hakikisha unatanguliza Upendo halafu huruma ndio ifuate"

Michelle: "Sasa Baba unawezaje kumpenda mtu halafu usimuhurumie pindi anapokuwa katika hali mbaya"

Mzee: Nadhani hujanielewa, unajua sio kila nayehurumiwa anapendwa, ninachosisitiza ni kwamba hakikisha Upendo ndio unatengeneza huruma na sio huruma kuleta Upendo, kwasababu mahusiano yanayoanza na huruma huwa hayafiki mbali"

Michelle: "Okay! trying to understand"

Mzee: "Huyo mtu wako umemuajiri kama nani pale ofisini? I mean position yake"

Michelle akataja position aliyompa jamaa yake kwenye ofisi

Mzee: "Sasa nisikilize kwa makini, mtoe mtu wako katika hiyo nafasi halafu tafuta mtu mwingine wa ku replace hiyo position, baada ya hapo Caryn atajua Cha kufanya"

Michelle: "Sijakuelewa Mzee...mtu yupo katikati ya project naanzaje kumuachisha kazi? nikimuachisha kazi na project yenyewe itasimama na kupata mtu kwa haraka haraka itakuwa ngumu"

Caryn: "Which project are you talking about?"

Michelle: "Bagamoyo"

Caryn: "Are you sure the guy will handle that project? coz the project might be too heavy on him"

Mzee: "Kesho nitamuagiza kijana mwingine aje ofisini akifika wewe mpatie kazi aendelee na hiyo Project"

Michelle: "Lakini Dad ni kwanini tunafanya hii panga pangua na wakati hakuna kitu kilichoharibika kwenye kazi"

Mzee: "Kwahiyo unataka tusubiri vitu viharibike ndio tufanye maamuzi?"

Caryn: "Let me ask you a question Sis, huyu mtu wako ikitokea ameharibu kazi unaweza kumuadabisha kwa namna yeyote Ile kama staff wengine wa kawaida?"

Michelle: "Sasa mtu hata hajaharibu tayari mshaanza kumuwazia mabaya, hii si sawa"

Mzee: "Michelle Unajua wewe ni smart sana ndio maana nimekupa jukumu la kuongoza kampuni lakini umenipa wasiwasi nilivyosikia unaweka watu wako bila kufuata utaratibu na kumbuka Ile ni Ofisi,

"Huyo mtu wako Mimi sina shida nae ndio maana nimemuambia Caryn amtafutie kazi ya kufanya mahala pengine, Ofisi zipo nyingi hata Caryn anaweza kumchukua akamuajiri huko kwake lakini kama utakadhania yeye aendelee kufanya kazi wewe utanipa wasiwasi"

Michelle ikabidi tu awe mpole, na muda wote mimi nipo kimya sina cha kuchangia lakini nikiwa makini na kila kinachojadiliwa ila hili jukumu analopewa Caryn kumtafutia huyu jamaa kazi ni kweli atafanya kama alivyoagizwa? sababu Caryn hampendi yule jamaa na hataki hata kumuona kwanza mimi mwenyewe alinibania kunipa mchongo wake wa Udereva Bolt

Sasa baada ya kumalizana na Michelle, Mzee akaturudia sisi sasa, Caryn akaanza kubananishwa

Mzee: "Caryn hukunipatia report ya mwezi uliopita, unajua sitaki reports zibebane"

Caryn: "Kesho nikitoka kazini nitakuwa nimeikamilisha Dad"

Mzee: "Nasikia ushaanza kufukuza watu huko ofisini, shida ni nini?"

Caryn akashtuka ni kama vile hakutegemea kuulizwa swali kama lile na Mzee halafu akaniangalia

Caryn: "Dad we nani kakuambia?"

Mzee: "BM Unajua hawa watoto wana matatizo sana, Dada mtu anaajiri watu bila kufuata utaratibu na mdogo wake nae anafukuza watu bila kufuata Sheria"

Caryn: "Speaking of Sheria Dad, unajua pale ofisini staff wote hawakusainishwa mikataba ya Kazi, na watu wa sales nao hawajajaza zile fomu za mwanasheria, Ivi unajua watu wa sales ukiacha commissions zao pia tunawapa pesa ya transport kila wiki halafu mtu huyu huyu akihama Kampuni ujue wanahama na wateja wao kitu ambacho hakitakiwi ila hayo yanatokea kwasababu hawajapitishwa kwa mwanasheria"

Mzee: "Kwani kuna ubaya mtu kuhama Kampuni pamoja na wateja wake?"

Caryn: "Ubaya upo Dad, kumbuka hawa watu Kampuni ndio inawawezesha kuwapata hao wateja, tunawapa pesa ya transport so wakihama hawatakiwi kuhama na mteja yeyote aliyempata akiwa ndani ya Kampuni yetu"

Mzee: "Ndio maana nimekuweka pale wewe ndio unajua namna ya kufanya"

Caryn: "But Dad.....lakini sawa tu nitajua"

Mzee: "Nadhani tumemalizana mnaweza kwenda, niacheni na BM, Caryn nitengenezee Kahawa niletee.....BM tuondoke hapa hapatufai kwa mazungumzo yetu"

Tukatoka tukaelekea Backyard wakati tunatembea kuelekea huko Mzee akaanza kunihoji kuhusu wazazi wangu kuulizia maendeleo yao

BM: "Mama hajambo hata Mzee pia japokuwa sijaenda kwa Mzee muda mrefu"

Mzee: "Usifanye hivyo, kama huishi pamoja na wazee wako jenga tabia ya kuwatembelea mara kwa mara, unajua Mzazi aliyetelekezwa na mtoto anaumia zaidi kuliko mtoto aliyetelekezwa na Wazazi"

BM: "Sawa, nitajitahidi kufanya hivyo mzee"

Mzee: "Hata hawa Dada zako siku zao zinahesabika wanatakiwa waondoke kwasababu uwezo wa kujitegemea wanao wakiendelea kukaa hapa tutakoseana heshima"

Mzee aliendelea kuongea "Unajua Wazazi ambao wanabanana na watoto ambao sio watoto tena wanateseka, wakubanana nae ni mtoto, kwasababu hana nia lakini mtoto akishakua mkubwa ana 'Nia' ukibanana nae atakutesa, Ukiwa na ugomvi na mtoto uliyemzaa 'mtoto mdogo' hatakusumbua, utamsamehe hata akikupiga kibao utaona tu kwamba hajui lolote,"

"Lakini mtoto ambae ameshakua na ana uwezo wa kuchagua 'kufanya maamuzi' mzazi inabidi uachane nae, kwani Mimi na Caryn tukiwa na ugomvi atakaeumia zaidi ni Mimi mzazi sio Caryn, hata wewe kijana wangu ukija kupata mtoto halafu ukamkosea hutoumia sawa na yeye akikukosea"

BM: "Dah! nimekuelewa sana Mzee Unajua mara ya kwanza ulivyoniambia kuwa unataka wakina Michelle wakajitegemee nilikuwa sijakuelewa kabisa lakini kwa maelezo uliyonipa ni wazi kuwa upo sahihi, Inaonekana Mzee unasoma sana vitabu eeh?"

Mzee: "Nitakudanganya kama nikijibu ndio, Mimi napenda sana kusikiliza sana watu, watu wa rika zote ila hasa wazee wenzangu kwasababu wao ndio wana experiences nyingi zaidi na haya maisha, hapo mm ndipo ninapopata materials na kujifunza mambo tofauti, hii pia haina tofauti na kusoma kitabu kwani wanao andika vitabu wanaandika experiences zao za maisha"

Hapa sasa na mimi nikamuuliza Mzee swali la kimtego...."Mzee unajua una busara na hekima sana najifunza vitu vingi kutoka kwako, ivi kati ya Michelle na Caryn ni nani kakurithi hizi Akili na hekima zako"

Mzee alikuwa kashanyanyua Bilauri ya Maji ili anywe lakini alirudisha Ile glass mezani na kuanza kunijibu

Mzee: "Swali lako ni jepesi lakini tata kidogo, Unajua watu wengi tunawadhania wana akili kwasababu wamefunga vinywa vyao, sasa Michelle ana usmart wa kawaida lakini ana hekima sana sasa sijui ni kwasababu sio muongeaji sana, maana ukitaka kuipima hekima ya mtu sio wakati amenyamaza, ni wakati anaongea"

"Kwa upande wa Caryn, yule mtoto bhana yeye ni muongeaji ila pia ni smart sana hicho ndicho kinachombeba lakini amekosa hekima hasa kwa age mate wenzake"


Kucheki saa mida imekimbia kidogo nikamuaga Mzee, kabla hajaniruhusu akaulizia kuhusu wale madogo nilipofikia, nikaanza kumuelezea (sijui na nyie kama nilishawaelezea kwenye episodes zilizopita)

Anyways ila kwa kifupi ni kwamba Dogo nilimpeleka sehemu akaongeze ujuzi wa kutengeneza furniture kwasababu alikuwa nao lakini haukumtosheleza halafu baada ya hapo Dogo akishakwiva nimtafutie sehemu ka workshop flani hivi ambako atakuwa anafanyia kazi zake, hiyo ndio plan ambayo ipo

Wale madogo wengine wawili imebidi kwa Sasa watulie home kule kule kwa sister huku tukifanya taratibu za wao kuanza shule Mwakani 2023

Ila ilibidi nimpange Mzee kisawasawa mwisho wa siku akanielewa mara Caryn akaja kule Backyard kumuita Mzee, Bi Mkubwa ndani alikuwa anamuita, Mzee akanitaka nisiondoke nimsubiri kwanza arudi

Mzee alivyoingia ndani Caryn akakaa pale pale alipokuwa amekaa Mzee

Caryn: "Wewe na Mzee Kuna agenda gani ya Siri inaendelea?"

BM: "Agenda ya siri?"

Caryn: "Unajua tangu nianze kazi Mzee hajawahi kukanyaga pale ofisini lakini Leo kuna vitu kaviongea Inaonekana anajua Kila kitu kinachoendelea pale ofisini, Sasa nikuulize wewe ndiye infomer wake?"

BM: "Hapana kwa kweli labda ni wewe mwenyewe huwa unaongea na Michelle Habari za ofisini so Michelle labda kamchana Mzee"

Caryn: "Sijawahi kuongea na Michelle chochote kile kinachohusu ofisini labda kama akiwa anataka usaidizi wa kusafirishiwa vitu vyake"

BM: "Lakini hata hivyo sioni ubaya, wewe mbona unatu spy sisi na hatulalamiki, wewe umejuaje kama Michelle kamuajiri mtu mpya kule ofisini kwake?"

Caryn: "Ooh! Sasa nimepata jibu"

Caryn akanikata jicho hilo halafu akaondoka, nikajua hapa nishatengeneza bifu tena bifu kali maana kashajua namzunguka kumbe wala ila wasiwasi wangu mimi upo kwa Michelle kwasababu nilimuuliza makusudi Caryn kama huwa anashea mambo yake ya ofisini na Michelle lakini amekataa,

Sasa Michelle hizi habari za mimi kulala na Caryn chumba kimoja atakuwa kazipata wapi? huenda huyu ndiye spy wa Mzee, na kama ni kweli Spy basi Mzee atakuwa anacheza na Akili zao

Hawa watoto wawili wa Mzee Kila mmoja amepewa Ofisi yake lakini ninachokiona ni kwamba Mzee katengeneza mazingira ya Kila mmoja ajue kwa mwenzie kinaendelea kitu gani, hizo ni hisia zangu lakini sina uhakika kama ndio Iko hivyo

So hadi sasa nimeconfirm kwamba Caryn hajui kama Michelle ana taarifa zetu nyeti ila sijajua kwamba kashamfikishia Mzee au lah, kwasababu zile taarifa kama zitafika kwa Mzee kama zilivyo basi hiyo itakuwa ni kesi nyingine tena kubwa sana

Mzee akarudi Kuna maelekezo akanipa then nikaagana nae, nimerudi zangu nyumbani Wakati najiandaa kulala message ikaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Michelle ambayo ilisomeka

BM kama ulikuwa hujui ni kwamba Mzee kanipa kazi ya kuwafuatilia na taarifa nilizonazo kuhusu wewe na Caryn nikisema nimuambie Mzee Unajua wewe ndio unachakupoteza, Sasa kama unataka niendelee kukaa kimya hakikisha unamshawishi Caryn hadi akubali kumuajiri bwana angu hapo ofisini kwenu, wiki 1 inakutosha kukamilisha kazi yangu

Nilivyomaliza kusoma text ya Michelle usingizi wote ukakata, kwanza ngoja niwachane ukweli ndugu zangu wana Jamii forum, unajua siku Ile Mimi sijamgusa Caryn kabisa ila kwa hiki ninachokiona nahisi Michelle anajua nimepita na mdogo wake kitu ambacho sio kweli kwanza amejuaje sisi tumelala room moja na Caryn anadai hakuongea chochote na Michelle

Kitu kingine Caryn mwenyewe kashajua mimi nam snitch kwa Baba yake kumbe ni Dada yake mwenyewe ndio anamzunguka na nikisema nimsanue ndio kwanza nitaharibu mambo, kwanza nitawagombanisha na wakishagombana tu Caryn ndio hatotaka kabisa kusikia lolote linalomuhusu Michelle na mwisho wa siku Michelle atakinukisha, na akikinukisha kifuatacho ni ITV


Asubuhi mapema tu nikaingia job, nikakuta X3 imepark nikajua tu Caryn kashafika, nikapanda juu hadi second floor nikaingia ofisini kwa Caryn

Sasa jinsi Ile Ofisi ilivyo ukiingia Caryn hakuoni kwasababu imegawanyishwa ambapo huku kwenye room nyingine ndio kwa Secretary ila room ni moja hiyo hiyo na wakati naingia secretary hakuwepo

Nilivyosikia Caryn anaongea na simu ikabidi ni chill kwanza huku upande wa Ofisi ya secretary
lakini anachokiongea Caryn nakisikia huku nilipo japokuwa maongezi nimekuta ndio yapo mwishoni

Caryn:".....nitawasiliana nae ameshanitumia makaratasi yake nitafanya lolote tu ili awe disqualified.......nakuja nayo nikitoka lakini ni kama nitachelewa

Kukawa na ukimya kwa muda nikahisi kashamaliza kuongea na simu nikaingia ndani ofisini

BM: "Madam mambo"

Caryn: "Safi"

Kwa namna alivyoitikia salama leo Caryn naona mood yake iko off, ila sasa shauku yangu ni kujua anamuwazia nini yule bwana ake na Michelle ikabidi nimuanzie mbali

BM: "Leo ndio naenda Zenji, ivi Bado hujapata mtu wa kumteua? vipi unaonaje kama nikiwa naongozana na Bwana ake Michelle ndio awe ananisaidia"

Caryn: "Sitaki hata kumsikia, hakuna kazi anatafutiwa huyo mtu, Ile ilikuwa mbinu ya kumchomoa kule kwa Michelle"

BM: "Kwahiyo kumbe hakuna Mpango wowote wa ajira kuhusu yule jamaa"

Caryn: "Ivi unajua unanichefua unavyozidi kumuongelea huyo mtu"

Nikaona hii ngoma ngumu, kazi niliyopewa na Michelle sijui kama nitaiweza, hapa ngoja nitoke nje nikatafakari zaidi nini Cha kufanya,

Unajua kama soo likibumburuka Mimi ndio nina Cha kupoteza kama alivyosema Michelle, na Mzee hawezi kukuelewa eti umelala na Mwanaye halafu hujamfanya kitu hata Mimi sitokuelewa nitahisi tu mliruka majoka

Sasa Wakati natoka kabla hata sijaugusa mlango wa kutokea Caryn akaniita nikarudi kumsikiliza hii siku Caryn alionekana kuwa na mawazo sana

BM: "Yes, nakusikiliza"

Caryn: "Give me your phone"

BM: "Simu yangu ya nini tena?"

Caryn: "I need to see your incoming calls, your outgoing call, your messages. Everything, I need to watch my back"


Itaendelea
Michelle kaamua kumwaga mboga

Caryn nae anakaribia kumwaga ugali
 
EPISODE 06, SEASON 1


ILIPOISHIA [emoji1484]

Caryn: "Sorry Dad, first of all I want to know where these kids came from?

Tukaanza kuangaliana na yule jamaa aliyekuwa anaendesha Gari, Wakati najipanga kujibu.....

Caryn: BM, You should answer this question

Nikamuambia wametoka Buguruni Rozana

Caryn: "Dad, I think you should change your strategy on how to help these kids

The food we're gonna give them was it gonna change their life?
So as a rich man if you think you want to help someone give them the kind of help that would transform their life not leaving them with food in my opinion"


MUENDELEZO [emoji1484]

Mzee akamuangalia Caryn halafu akaniangalia na Mimi, Akasema "Kwahiyo unashauri tufanye nini Binti yangu"

Caryn: Let me speak swahili so that they can understand me, Hawa watoto kwa umri waliokuwa nao wanatakiwa wawepo shuleni, labda mtasema mnawapatia chakula kwasababu hawajafika umri wa kujishughulisha na shughuli zozote za kujiingizia kipato, huyo Kaka yao je maana anaoneka ni mtu mzima

Caryn: "How old...ooh sorry, Una miaka mingapi kaka?"

Kijana: "Kumi na Saba"

Mzee: Kumi na Saba Bado mdogo sheria haruhusu

Caryn: Come on Dady, Kwahiyo kama sheria hairuhusu ndio abaki kuomba omba, Kuna situation ikikufika hutakiwi kuangalia Sheria inasemaje inakubidi kufanya kile unachotakiwa kufanya ili u survive, Kijana you have to do whatever it takes to survive out here in this jungle called life

Michelle: Sometimes you sound more like an adult than a teenager

Caryn: And you sound like you're better than me, and you're not

Mama: Na nyie mshaanza sasa na malumbano yenu, ebu Kuweni na adabu hata kidogo mbele za watu msiowajua

Caryn: Ambae hana adabu ni huyo mwanao mama, Watu tunaongea vitu serious yeye analeta utani, mm teenager sawa, yeye huo utu uzima umemsaidia Nini hadi sasa, Anawaza Mapenzi tu......

Mzee: "Caryn basi Inatosha, unajua huyo atabaki kuwa Dada yako inabidi umuheshimu, halafu kwanini siku hizi nyie watu hampendani?"

Caryn: "Kwasababu nimekuambia Habari za huyo bwana ake wa huko Kibaha, I told you Dady na nakuambia tena the guy is more interested in money hakuna Mapenzi hapo"

Mzee: Caryn hiyo ni topic ya siku nyingine all in all nimeipenda maoni yako kuhusu Hawa vijana wadogo

Ila Caryn hapana asee [emoji1544] yule Demu kachukua akili za Baba yake, ni PISI KALI halafu sauti yake ni kama ya Bahati Bukuku na mara nyingi anakuaga serious, nyumba nzima hapa kwa Mzee ni yeye tu ndio sijawahi kumuona akicheka

Tukamaliza kula, Mzee akawahoji wale watoto mambo kadhaa, akawapatia na Pesa halafu akanambia "BM Nadhani Ushauri wa Caryn ni mzuri, Sasa ule mtihani nililokuambia nitakupa umekaribia get yourself ready. chukueni Gari warudisheni Hawa watoto halafu na Kijana atakudrop kwako,

Basi tukaondoka, tukawadrop madogo na mm nikadropiwa, kufika kwa nyumba nikamkuta Annie nikakuta ameandaa my favorite food Wali Nazi Njegere Nazi, Asee halafu nimetoka kubonya Pilau la Kuku kwa Mzee, nikaona hapa busara ni kula hata kama ni nusu sahani, Unajua Annie anajua natoka Kazi hakujua ratiba yangu imeendaje na Wala hajui Mahali nimetoka

Akaniwekea food kwa meza nimeipiga kama vijiko vitatu ivi nikamuuliza "Are you sure it's not Christmas yet?"

Annie: "of course it's not"

Maana sio utamu huu wa msosi, saa hiyo mm nikiendelea kula Annie alionyesha kuwa na mawazo, nikamuuliza nini mbaya?

Annie: "You know what BM, now i believe that circumstances change people"

Me: "Unamaanisha nini?"

Annie: "Hadi hapa tulipofikia life has taught me not to plant my seed in other people's garden"

Nikawa nishajua alichokuwa anamaanisha, TURUDI NYUMA Kidogo ili na wewe umuelewe Annie

Ukisema "Table turns" Mtu wa kwanza kuelewa ni Annie, niulize kwanini? Okay ilikuwa hivi, Miaka mitano nyuma Annie alikuwa mtoto wa kishua nikisema wakishua wakishua haswa haya maisha acheni nyie,

Natamani niandike mengi kuhusu Annie lakini haitawezekana kwasababu code yake nimeifungua, ndio muhusika pekee Jina lake ni halisi kwenye hii story wengine wote nimetunga majina na baadhi yao niliishia kuwaita Mzee, Mama, Jamaa nk

Ila kwa kifupi ni kwamba Annie alipiga taff sana enzi hizo wakiwa bado wako vizuri, Alinilipia hadi ada ya mwaka wa mwisho chuoni. Baba yake alikuja kupata matatizo flani kipindi Cha awamu ya 5, na Annie Mama yake Alishaaga kitambo so alibaki na Baba, Baba nae ndio hivyo akapotezwa, acheni asee kila nikikumbuka roho inaniuma ndio maana nakuwa mzito kumuachia huyu mwanamke

LEO

Nikamwambia Najua unachoniwazia ila nikwambie tu unaniwazia vibaya, acha nikuambie ukweli pengine utakuumiza ila ni Bora kuliko kudanganyana, inawezekana nimekucheat lakini sio kwa mazingira niliyoyaandaa, Najua nilishakuambia mengi kuhusu yule mwanamke (Accountant) lakini hili la kucheat nilikuficha kwasababu sikudhamilia mimi na kuhusu swala la kuacha kazi ili kumkwepa yule mwanamke sidhani kama ni sahihi kwasababu unajua hali halisi ya maisha ilivyo Mimi nakuomba tu uridhie Mimi kundelea kufanya kazi Mimi nitajua tu jinsi ya kudeal na yule mwanamke na nakuahidi sitarudia kosa, Nakuomba usikatae, ni swala la muda tu nikakamilisha malengo yangu flani naachana rasmi na Ile Kampuni

Annie: "Okay! i trust you BM, you can go ahead, but remember not everyone in this life gets a second chance to write their wrongs"

BM: "Nakuahidi haitojirudia, na nakupenda sana japokuwa ww mara nyingi husemi kwa Mdomo kama unanipenda"

Annie: "Ushaanza, listen BM 'I trust you' is better compliment than 'I love you' because you may not always trust the person you love but you can always love the person you trust"

BM: "Wow! thanks, i didn't even know that"

Basi Mama lao akatoa vyombo pale, Leo hajaachwa mtu Sebuleni, Najua mshaelewa. siku zilikatika mambo yalikuwa mswano na Annie

Asubuhi ya Jumamosi moja nimeamka nimechelewa sana kwenda job, nikajiandaa fasta nikasepa nikafika eneo langu la kazi Sasa wakati naingia Ofisini nikamkuta Accountant kakaa kwenye kiti changu ni kama alikuwa ananisubiri kwa hamu, nikamsalimia akaitikia halafu akanambia

Accountant: "Naona maisha yako yanaenda kuwa mazuri ila endapo tu utafanya Maamuzi sahihi"

BM: "Nikamuuliza Maamuzi gani?"

Accountant: "Usiwe na haraka BM, Mama alikuwa anakuulizia amesema ukifika tu nikwambie uende Ofisini kwake so we nenda kaonane na Mama"

Nikawa najiuliza Kuna jipya gani maana Accountant anafuraha kupita maelezo na si kawaida yake, basi Mimi nikaelekea ofisini kwa Mama, nikasalimia nae halafu nikakaa kwenye kiti

Mama: "Mwanangu si kawaida yako kuchelewa kazini, Leo imekuaje?"

BM: "Jana nilichoki sana Mama, hali iliyosababisha kupitiwa na usingizi Leo na kuchelewa kuamka"

Mama: "Ooh, halafu hata hivyo hukuwahi kuchukua likizo ya kueleweka tangu uanze kufanya kazi kwenye hii Kampuni"

BM: "Yeah ni kweli Mama lakini sikuona ilazima huo"

Mama: "Sasa Mimi nakupa likizo ya mwezi mmoja ya lazima hata kama hutaki, japokuwa hapa nilikuitia jambo lingine lakini Nadhani tutapata nafasi Nzuri zaidi ya kulijadili hilo jambo akili yako Ikiwa refreshed"

BM: "Ni jambo gani hilo Mama?"

Mama: "Nilijadili na mwenzako lile swala la wewe kurithi hii nafasi yangu, amefurahi sana lakini ametaka mvishane kwanza Pete ya kabla ya kukalia hiki kiti, na Mimi Nadhani ni jambo zuri so nilikuitia hapa ili tupange siku ya kufanya zoezi hili, lakini wewe nenda kwanza likizo ukirudi tutapanga vizuri"

Nikamuitikia tu "Sawa Mama" huku nikimuwaza Accountant, ndio kashaanza kuchezesha Karata zake kama alivyoniahidi, Basi mm Nikatoka Ofisini kwa Mama, nilimkuta Accountant Bado yupo pale kwenye kiti changu, Nilifika tu nakumwambia kwa userious wa hali ya juu "nipishe Mimi niendelee na Kazi"

Accountant: "I hope umefanya Maamuzi ya kiume, halafu kumbe huwa mnaongeaga mambo mengi na Mama bila kunishirikisha, ivi unajua maamuzi mengi anayoyafanya mama juu yako ni kwasababu anajua Mimi na wewe ni wapenzi, Sasa isije ikawa umeshaharibu mambo huko"

BM: "Sikiliza **** (Accountant) naomba kwasasa uende kwenye ofisi yako, Nina mambo mengi ya kufanya, sitakiwi kuacha kiporo Cha aina yoyote kwasababu kuanzia Jumatatu siji kazini"

Accountant: "Unasemaje wewe?"

Alivyosikia "Kuanzia Jumatatu siji kazini" alipagawa sijui alidhani nimeshaacha kazi, Alitoka mbio sijui kaelekea wapi ila itakua tu kwa Mama yake bila shaka

Nimekaa kidogo akarudi akanambia "Inawezekana wewe ndio umeomba hii likizo ili ukajipange maana inaonesha Kazi unaitaka lakini mwenye kazi humtaki, Sasa Mimi nakuambia hivi, we nenda hiyo likizo lakini siku utakayorudi hapa uwe umeshaamua jambo moja kati ya haya mawili, UNIOE au uandike barua ya kuacha kazi, Sitakubari uwe Director wa hii Kampuni a halafu raha unakula watu wengine" alivyomaliza hakutaka nimjibu akaondoka

Aliniacha na mawazo, kusema ukweli hii nafasi naitaka ili niweze kufikia malengo yangu lakini ndio hivyo tena ili ni qualify kwenye hiyo nafasi basi nilazima nimuoe Accountant, nikifanya hivyo Annie wangu nitamuweka katika nafasi gani na Jana tu tumetoka kula kiapo, na huyu Accountant mwenyewe hana sifa hata moja ya wife ila kitandani kwakweli yupo vizuri japokuwa ilikuwa ni mara moja na kwa bahati mbaya na hiyo dhambi nishaimbea msamaha kwa Annie na kanisamehe kwa kumuahidi kutorudia tena

Siku ikaisha na ndio ikawa nimeianza likizo yangu ya mwezi mmoja rasmi, lakini ya mawazo kwasababu natakiwa kufanya uamuzi sahihi, hapa kichwa kiliniuma zaidi kwasababu ya mtihani wa Mzee niliopewa,

Wakati naandika huu Uzi nilikuwa Bado sijapewa likizo, Uzi nimeuanza kuaandika jumatano ya tarehe 6/7/2022 na likizo nimepewa juzi Jumamosi tarehe 9/7/2022 hii siku kama mnakumbuka nilicomment hapa hiyo comment ipo namba 272 kama sikosei nilitoa maelezo kwanini hii story imekua ndefu Sasa siku hii ndio nilipewa likizo ya lazima so hili tukio ndio nimeliunganisha kwenye Uzi.

Na Uzi ulikuwa una muhusi Mzee ila niliongea story zingine kwasababu ili kufaulu mtihani wa Mzee inategemea pia mm kuendelea kubaki kazini

Inatakiwa Utulivu wa hali ya juu kuelewa, TURUDI NYUMA KWENYE MTIHANI NILIOPEWA NA MZEE

Ilikuwa Alhamisi, saa nne na dakika thelathini na saba sekunde ya sita simu ya Mzee iliingia nikiwa Ofisini najiandaa kwenda Zanzibar na Boti ya mchana

Mzee: [emoji338]"Kijana wangu hujambo?"

BM: "Sijambo Mzee, Shikamoo"

Mzee: "Marhaba, Sasa nataka kukujuza kwamba siku ya Jumapili jioni nasafiri hivyo nakuomba tuonane siku hiyo kabla sijaondoka

BM: "Sawa Mzee Haina shida"[emoji3513]

Basi nilienda Zanzibar nakurudi kesho yake, Jumapili Ikafika nikajua kabisa LEO NDIO ILE SIKU, Ile siku ya kupatiwa mtihani, Nakumbuka nilienda kwa Mzee mida ya saa sita mchana, nimeingia kwenye Ile nyumba harafu za misosi tu ndio zimetamalaki,

Kama kawaida chimbo langu na Mzee ni Backyard tukaongea sana mambo mengi, Sasa bhana safari yenyewe kumbe ni ya nje ya nchi, Mimi nilijua ni zile safari zake za mkoani kumbe Mzee anaenda United Kingdom (Uingereza) na atakaa huko kwa muda wa miezi miwili na nusu

Acha nifungue code kwenye Biashara moja ya Mzee, Ni hivi, Mzee ana mabiashara mengi ila moja ya hizo Biashara ni maduka ya Ex UK, Sasa huko UK alikua anaenda kibiashara zaidi, Sasa Mzee alinambia kwa muda wote. huo ambao atakuwa nje ya nchi niwe natembelea familia yake mara kwa mara, muda wa msosi ukafika tukakutana wote mezani yani Mimi, Michelle, Caryn, Mama na Mzee, Wakati tunaendelea kula mazungumzo nayo yaliendelea

Mama: "BM usipotee sana kwasababu Baba hayupo, uwe inakuja nyumbani tena mara kwa mara zaidi

Mzee: "Nimeshamsisitizia hilo, halafu BM kuhusu ule mtihani niliosema nitakupatia maelezo yote anayo Caryn, So ni wewe Tu kutafuta muda ukae chini na Caryn akuelezee

Nikajibu "Sawa Mzee" (huku nikimuangalia Caryn na yeye akinipiga jicho la kimtindo)

Michelle: "Baba kwani ni mtihani gani huo?"

Mzee: "Hili halikuhusu Michelle, wewe si ulishafeli wa kwako, Majukumu anayofanya Caryn ulipaswa kufanya wewe. Na Caryn zidisha umakini katika kumsaidia Mama yako majukumu ya Ofisini, Kuna baadhi ya mambo Mama yako anasahau"

Caryn: "Okay Dady, we will miss you"

Eeh!!! nilishangaa, kumbe Caryn ndio anapewa majukumu makubwa kiasi hiki, basi tulimaliza kula tukakaa kama 1 hour tukaanza safari ya kuelekea Airport, hii ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupanda 'Jeep Wrangler' halafu Mzee akaniambia nikae mbele, Guess Sasa nani anaendesha? ni Caryn jamani dah!

Tukafika Airport Wakati tunamuaga Mzee akanambia "BM nikirudi nikukute ushapata Driving Licence" Nikamwambia "nitajitahidi Mzee" Basi ndio hvyo tena Mzee akaingia kwenye kale ka mlango kalikoandikwa DEPARTURE sisi tukaenda kwenye Gari na kurudi nyumbani,

Wakati tumefika Tazara tunacross kuelekea Buguruni Nikamwambia Caryn "Mimi mtanidrop hapo Tabata"

Caryn: "Okay, I will text you, Dady gave me your number"

Tukafika Tabata wakanishusha nikatafuta Daladala la kuelekea Tabata Kimanga

Blue Monday mapema kabisa nimeamka kwaajili ya kwenda kazi, nashika simu kuangalia muda naona meseji ya namba ngeni kuifungua "Hey! Mornie, It's me Caryn" Nika reply "I got you" then nikasave namba yake

Wakati nipo Ofisini Caryn akanipigia akanambia kuwa yupo ofisini kwa Baba yake atatoka jioni na kuelekea **** ni Ile Hotel ambayo nilikutana na Baba yake, hivyo akaniambia nimkute hapo

Sasa yeye aliwahi sana kutoka siunajua wao ndio mabosi so wanajiamulia muda wa kutoka, mm ilibidi nisubiri Hadi ifike angalau saa kumi na nusu, Mida ikafika ya kutoka kazi moja kwa moja nikaelekea Hotelini lakini hiyo foleni niliyokutana nayo Njiani siyo ya kitoto, nikajua yule mtoto (Caryn) alivyo serious katika Kila Kitu sidhani kama nitamkuta, Mungu alisaidia nikamkuta Ile nimefika tu nikakaribishwa na

Caryn: "why are you late, you kept me waiting almost 2 hours?"

BM: "It wasn't deliberate the traffic was crazy it was terrible"

Caryn: "That is the senseless excuse"

BM: "Ok, let's discuss what brought us here"

Caryn: "let me start by asking you a question, Have you ever...."

BM: "Wait pls, Sijawahi kusikia ukitumia kiswahili japo kwa sentensi 3 mfululizo, naomba Leo tutumie kiswahili kwenye haya mazungumzo"

Caryn: "Ni sawa tu, as you wish"

Nikasema 'Yes' maana Nisingemuwahi huyu angenitemea Yai[emoji1639] hapa mwanzo mwisho na hata misamiati mingine nisingeielewa"

Caryn: "Umeshawahi kufanya Biashara?"

BM: "Kama Biashara gani labda?"

Caryn: "Typical Tanzanian man you're answering questions for questions"

BM: "Madam anayejibu swali kwa swali mwisho wa siku jibu lake linakuwa la uhakika, yani hiyo ni njia ya kulielewa swali vizuri zaidi, ila na wewe Kingereza unakipenda sana bhana"

Caryn: "Okay, Just any Business hata kama ya kuuza chupi"

BM: "Hapana, sijawahi Fanya Biashara"

Caryn: "Interesting, kama ni hivyo hukuwa katika nafasi ya kujibu Swali kwa swali kama ulivyofanya"

BM: "Nimekosa mimi, twende kwenye Point"(Nikajisemea moyoni Leo kazi ninayo)

Caryn: "Ebu kwanza nieleze kuhusu yule kijana aliyekuja na wadogo zake pamoja na watoto wengine"

BM: "Nikueleze nini?"

Caryn: "Ooh shit! same mistake, Are sure you will handle this?"

BM: "You wasn't specific enough, ukiuliza swali jaribu kuwa specific zaidi"

Caryn: "You're not smart enough as I expected, I see that you're even worse than i imagined"

BM: "Madam mimi naomba niende tu, maana naona Sasa umekuja kunichora tu"

Nikanyanyuka kwenye kiti, kabla sijapiga hatua akanambia "Ebu acha utoto Kaa chini na unisikilize kwa Makini, naku challenge kidogo na wewe umejaa kweli"

Nikakaa chini moyoni namsema huyu mtu inabidi nimsome akili yake ndio nitaenda nae sawa lasivyo atanitoa knock out

BM: "Caryn jaribu kuwa serious kidogo, unajua kama ningekuwa na Mzee hapa tungekuwa tushamaliza maongezi"

Caryn: "Thus why I am not Mzee, you know what BM, kwa muda huu mchache tuliokaa hapa Kuna Kitu nishakisoma kutoka kwako

BM; "Kitu gani?"

Caryn: "Unakosa some confidence pengine hasa ukiwa na mtu ambae hujamzoea, kwa Mfano kwenye swala la Kingereza sidhani kama ww hujui Kingereza, unakijua vizuri tu lakini ukataka niongee kiswahili, chaajabu nikawa naongea Kingereza makusudi na wewe unanijibu Kingereza, hiyo maana yake Nini?"

BM: "Sawa nimekusikia, nitayafanyia kazi si ni hayo tu?" (Katika siku ambayo nimejihisi mdhaifu ni leo)

Caryn: "Hapana! sio hayo tu, Pia una shida katika kuongea japokuwa tuko pale pale kwenye confidence, nimekusoma wewe ni mjanja ambae huna confidence, Sasa ukiongea mbele ya mtu ambae hayupo Makini atajua una confidence kumbe ni ujanja tu, So you should talk like gentleman with confidence"

BM: "Dah! Leo kazi ninayo, kama mambo yenyewe ndio haya nyumbani kule si wanapata shida sana?"

Caryn: "Nadhani utakuwa umenielewa, acha niende straight tu the point, Japokuwa nilikuuliza swali mara ya kwanza ila ukaleta ujuaji, Yule kijana uliyemleta siku ile nyumbani na wadogo zake, Mzee kasema kamtafutie nyumba umpangie halafu utaniambiaa Kodi ni kiasi gani nikupatie pesa ya Kodi ya miezi sita, hiyo ni moja mbili Sasa, Amesema umpatie pesa ya mtaji afanye Biashara na uhakikishe katika hiyo Biashara atakayofanya huyo kijana ndani ya miezi sita iwe imeshasimama na waweze kujilipia Kodi,"

BM: "Biashara gani sasa na mtaji kiasi gani?

Caryn: "Hapo kwenye Biashara amesema wewe ndio utakayemchagulia na mtaji pia hajakuwekea limitation kwasababu wewe ndio utakayetoa hiyo pesa ila ameweka vigezo katika nyumba utakayo watafutia, Amesema Nyumba isiwe chini ya shilingi laki 1"

BM: "Dah! Baba yako sijamuelewa hapo kwenye swala la nyumba tu, kwasababu kama mm mtu ambae najiweza nakaa nyumba ya laki na nusu iweje yule kijana tumtafutie nyumba ya pesa yote hio Ikiwa ndio anaanza maisha?"

(Kabla ya kujibu Caryn akacheka kwanza)

Caryn: "I'm so proud to have him as my Dady, Sasa acha nikuambie ni Kwanini amekuwekea vigezo hapo kwenye nyumba, Cha kwanza hapo Dady ameshaku limit katika upande wa kuchagua Biashara, kwasababu asingefanya hivyo ungemtafutia tu yule kijana chumba Cha elfu 10 halafu ungempa na mtaji wa Biashara ya karanga"

BM: "Mbona kama mtihani wenyewe nishafeli, kwasababu ili mtu aweze kula na kufanya mambo mengine na aweze kulipa Kodi ya laki moja kwa mwezi basi hiyo Biashara mtaji wake usiwe chini ya milioni 1"

Caryn: "What do you mean? huna hiyo pesa?

BM; "Tatizo sio Pesa, nawaza ni Biashara gani hiyo yule kijana ataimudu kuendesha ya kiwango hicho Cha pesa"

Caryn: "Ndio maana mwanzo nilikuambia nieleze kuhusu kijana ili nikishakupa haya maelezo niweze kukushauri lakini ukajifanya mjuaji"

BM: "Yule kijana kwanza kaishia form 3, katika kumuhoji kanambia hajawahi kufanya hata Biashara ya mtualikua anaishiaga kupata vibarua vya kawaida tu"

Caryn: "Too late, hili swali ulitakiwa ulijibu pale pale nilivyokuuliza, kwasababu unaweza kuulizwa swali Dar ukiwa unaelekea Mwanza na usione mantiki kwenye swali uliloulizwa ila ukifika Mwanza sasa ndio akili inakukaa sawa na hapo inakuwa too late, So next time uwe Makini ukiwa unazungumza na Mimi"

BM: "Kwahiyo unanisaidiaje katika hili?"

Caryn: "Cha kukusaidia labda nikupe maelezo ya mwisho ambayo ndio ya umuhimu zaidi, Baba Amesema ukifaulu kwenye huu mtihani basi na wewe utakuwa katika nafasi ya kutaja kiasi chochote cha pesa as mtaji wa kufanyia Biashara

BM: "Caryn! some jokes are too experience, you don't meat it.... right?"

Caryn: "I am serious but don't cheat on this, I know my Dady....have a wonderful night"

Caryn ndio ameenda hivyo, na mazungumzo yakaishia hapo


Nakumbusha huu mtihani nilipewa kabla sijapewa likizo ya lazima, so Wakati nikitafakari vile nitafanya ili kufaulu mtihani wa Mzee ndio stress nyingine ya Ofisini ikaja

Wadau natoboa kweli hapa kwenye Situation zote mbili? TRUE STORY



MWISHO To be continued (SEASON 2)
Hii to be continued ndo naona leo, kumbe kuna muendelezo, sio poa
 
Hongera. Story inaweza kuwa ya kweli lakini maneno mengine ni ubunifu wako.

Skia kijana, wewe na Careen wote mko ktk kipimo ila mzee anajifanya kama amemkamisheni Careen kwako. Ila ambaye yupo zaidi katika mtihani ni Careen na siyo wewe. Mzee anataka kumpima bintiye kama anaweza kuhimili biashara na mahusiano. Hiyo biashara unayotaka kuanzisha ni kipimo cha Careen kuisimamia. Wewe utaripoti kwake na yeye ataripoti kwa mzee. Na wote kwa wakati wenu mtakuwa mnaripoti madhaifu yenu kwa mzee.
Mzee anaona bintiye hana uelekeo ktk jambo fulani la biashara au mahusiano. Na dada mkubwa alikuwepo kukusoma. Yule kijana anayekudrop anafahamu kuhusu Anne na mengi ya kwako na anaripoti kwa mzee kwa mamamuzi why? Hawezi kukuamini hivyo bila kujua vitu kadhaa kuhusu wewe.

Siku utakayoamua kulala na Careen umefeli. Ukioa Accountant umefeli. Acc, Carleen na Anne Wakigombana umefeli.
Biashara ikifa unaweza usifeli.

Baishara ni hiyo ya vifaa vya pikipiki, nguo hapa tafuta meza Manzese au karume au sehemu yoyote au chakula good luck.


Na wamekupa Careen as a lamb to hyena wakupime na wampime pia.
Hii theory nimeielewa, hii angle wengi tumeshafeli bila kujitambua
 
Hii kitu kumbe haikuisha jamaa si alikuja kuomba ushauri na alipewa hopefully huu muendelezo ni chai.
 
Back
Top Bottom