Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

kuna story huko inaitwa niliemdhania kahaba kumbe kibra ni bonge moja la story..
 
Hivi vipepeo weusi iliisha? Nilisoma ikaishia Kati hivi
 
Hii vipepeo weusi ni soo sikuaimaliza though
 
Story ya Khumbu ya Konda msafi.....How I met my wife.....Ally mpemba by Umughaka....Peniela....vipepeo weusi..... Story ya Hamida na hii ya BM.....ni story tamu zaidi nimewahi kuzisoma hapa JF.


Hii alosto kali sana mkuu BM X6
Ndugu naombeni link ya hizo story hasa Ile ya KUMBU niliisoma sikuimaliza. Msaada.......
 
Ndugu naombeni link ya hizo story hasa Ile ya KUMBU niliisoma sikuimaliza. Msaada.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…