Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Kuna muda nakuelewa sana
 
Hii ndio JF ya zamani ninayoipenda mimi yenye vichwa namna hii
 
Hii ndio JF pendwa yenye vichwa vya namna hii.
 
kupitia michelle na jamaa yake kweli mboo sio mchezo tuzitumie vizuri jamani
bm caryn usiharakishe nae demu haeleweki,lakin kitendo cha kumdanganya mzee wake kuhusu gari kinatia hamasa sana
 
Mmmh....! Acha kumdanganya. Kila mtu ana njia zake za kufanikiwa kimaisha.
Na huyu kijana njia zake za kufanikiwa ziko hapa. Huwezi kumwambia aache kazi,aache kwa mzee ajue atakavyojua,kisa?

Kuna wengine pia huko juu wamecomment kwa nini iwe wewe BM tu uwe na bahati ya kukutana na familia bora?. Yeye hapo amehadithia familia hizo tu hajahadithia maisha yake yote hata familia zingine alizokutana nazo hata zile ambazo sio bora. Lakini souce ya hii story ni hizo familia tu alizohadithia
 
Ndugu kumfanya mnyonge kama alivyomaanisha mnyonge wangu Anie sio kwa maana uliyoitafsiri wewe. Anamaanisha Anie hamuogopi ana uwezo kumuamlisha chochote kama mke. Au kwa lugha nyingine wanaweza kukubariana ktk mambo mengi wakaenda sawa.
Hata hivyo oa mwanamke unaeweza kumuonea,na kusema chochote kwake. Ndoa nyingi zimevunjika ksbb ya mwanaume kuwa mnyonge kwa mke. Hasa hawa wanawake wanaopenda kuwa juu na kuongea sana. Kwa hiyo mkuu anamtaka Anie asiwe mnyonge,awe juu?. Akiwa hivyo kesho tu anaachika
 
BM tunakuskilizia mzee? Au mshua kajua Carry anakutaka kwahyo kakufukuza job?[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…