Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Leo tarehe 12 October bado hatujapata muendelezo wa huu mkasa shida nini mtoa mkasa
Mwamba katuacha mataa ya Ubungo, hatujui tuelekee Posta[emoji3591]Mwenge[emoji3591]Mbezi au Buguruni kabisa story hii ilipoanzia
 
I'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua

Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
 
I'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua

Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
We are waiting take your time
 
I'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua

Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
Sawa ndugu. Wengine walihisi umeingia mitini. Welcome back!
 
Mzee yuko smart sana upstairs so is Caryn. Now I'm definetly seeing a big picture kwanini hatma ya maisha yako yapo juu ya kijana wa buguruni.
 
Nahisi unaeza rudi hapa tena feb2023,na hivi caryn ashakuonjesha mbususu ndio bas tena😂,...........
Karibu tena jamvini mkuu BM X6
 
I'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua

Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
Tunasubiri
 
Back
Top Bottom