fitonenendefu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 428
- 881
Leo tarehe 12 October bado hatujapata muendelezo wa huu mkasa shida nini mtoa mkasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popo bawa kashamchumbia na kumuweka ndani.Leo tarehe 12 October bado hatujapata muendelezo wa huu mkasa shida nini mtoa mkasa
Mwamba katuacha mataa ya Ubungo, hatujui tuelekee Posta[emoji3591]Mwenge[emoji3591]Mbezi au Buguruni kabisa story hii ilipoanziaLeo tarehe 12 October bado hatujapata muendelezo wa huu mkasa shida nini mtoa mkasa
We are waiting take your timeI'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua
Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
Sawa ndugu. Wengine walihisi umeingia mitini. Welcome back!I'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua
Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
Nahisi unaeza rudi hapa tena feb2023,na hivi caryn ashakuonjesha mbususu ndio bas tena
TunasubiriI'm Back wakuu, sijaingia Jf karibia Mwezi Sasa, Pilika Pilika zimekuwa ni nyingi kwasasa Majukumu yameongezea, God is Good Bado tunapumua
Muendelezo wa hii story naanza kuiandika Usiku huu, japokuwa Safari hii naona nikipata ugumu katika kuiandika ila kabla huu mwezi haujakatika kitu kitakuwa mezani
Ni kuendelea tu na maombi mkuu,ili jamaa arejee ktk hali yake ya kawaida 😂[emoji23][emoji23] ila kweli, halafu siku zinavyozidi kwenda ndio story inazidi kuwa ndefu
Hivi umepotelea wapi mamyKumbe bado ipogo
Nipogo best angu... ila ww hahhahaHivi umepotelea wapi mamy
Nini jmnNipogo best angu... ila ww hahhaha
Najua wajua au unataka nikujuze zaidi??Nini jmn