Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
😁😁
Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
Mkuu kahawa sio nzur kwa afya yako ukiitumia kwa muda mrefu
 
Hakuna dawa ya kukata usingizi sababu ni maumbile Mungu kaumba usiku wa kupumzika mchana kutafuta ila maisha yanatulazimu,kahawa najua humfanya mtu asilale japo Ina kilevi(caffeine) ukizoea unakuwa addicted na kama una matatizo ya presha haifai.
All the best tafuta hela ukipata muda utasimulia.
Asante nitaangalia alternative nyingine
 
Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
Umekuwa robot sasa. Kiafya si nzuri hii though pesa ni tamu mkuu😊
 
Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
Kula miraa mkuu,ila nayo ukizidisha cku 3 hujalala unaeza anguka kwa kizunguzungu na hapo usingiz hakuna ila ni mwili umechoka,
 
Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
Mkuu kama hautojali ningependa kujua chuo ulisomea nini hasa na je kazi unazofanya sasa hivi zinahusiana na kile ulichosomea, maana binafsi nisije nikawa najilimit mwenyewe kwa kudhani kwamba kwa hiki nilichosomea, kuna kazi zinazohusiana na mambo fulani sitaweza kuzifanya kumbe ni vile tu nimekosa connection
 
Mkuu kama hautojali ningependa kujua chuo ulisomea nini hasa na je kazi unazofanya sasa hivi zinahusiana na kile ulichosomea, maana binafsi nisije nikawa najilimit mwenyewe kwa kudhani kwamba kwa hiki nilichosomea, kuna kazi zinazohusiana na mambo fulani sitaweza kuzifanya kumbe ni vile tu nimekosa connection
Nitajali Mkuu, ila kwa kifupi courses nilizosomea hazihusiani kabisa na kazi ninazozifanya

Safari moja huanzisha nyingine, Kazi yangu ya kwanza ndio imenipa connection hizi zote kikubwa ni kujiamini tu, na kama usipojiamini ww basi onesha uwezo ili mtu wa karibu yako akuamini, kwasababu mimi mwenyewe kuna vitu vingine nilikuwa nasita kuvifanya lakini Mzee alikuwa akiniambia kuwa naweza

Hivyo kama siyo yule Mzee kwakweli hata mimi ningekuwa ni mtu wa kujilimit

Mzee (Baba yake Caryn) anakuambia Jitafute ukijipata Jitafute tena ukijipata Jitafute tena
 
Nitajali Mkuu, ila kwa kifupi courses nilizosomea hazihusiani kabisa na kazi ninazozifanya

Safari moja huanzisha nyingine, Kazi yangu ya kwanza ndio imenipa connection hizi zote kikubwa ni kujiamini tu, na kama usipojiamini ww basi onesha uwezo ili mtu wa karibu yako akuamini, kwasababu mimi mwenyewe kuna vitu vingine nilikuwa nasita kuvifanya lakini Mzee alikuwa akiniambia kuwa naweza

Hivyo kama siyo yule Mzee kwakweli hata mimi ningekuwa ni mtu wa kujilimit

Mzee (Baba yake Caryn) anakuambia Jitafute ukijipata Jitafute tena ukijipata Jitafute tena
Haha safi sana mkuu i love the spirit, endelea kupambana bila shaka naamini kazi unazofanya zinakupa mpunga mrefu pia, anyway vipi sasa muendelezo wa story august ndio hii hapa
 
Nipo mkuu ila kwasasa nipo busy mno kupita maelezo ndio maana nipo kimya ila huwa naingia mara moja moja humu kuchungulia

Na nipo busy kwasababu nafanya kazi tatu katika kampuni tatu tofauti, na kazi pia zimetofautiana

Kampuni ya kwanza nadhani wote mnaijua, Ile ya Mzee ya Usafirishaji

Kampuni ya pili pia ni ya Mzee Ile ya Real Estate ambayo Michelle ndiye Director

Kampuni ya tatu hii bado sijajua kama ni ya Mzee au lah, ila connection imetoka kwake, hii ni kazi ya tofauti kidogo pengine nikija kuendeleza story nitapata wasaha wa kuielezea kiundani, ila kwa kifupi ni kazi flani inahusiana na mtandao wa simu wa hapa Bongo katika kuweka/kuboresha Internet speed (5g) na hii kazi inafanyika usiku tu

Huo mtandao hiyo tenda wamewapa wahidi na Mimi ndio nafanya nao kazi, Sasa utaona namna ratiba yangu ilivyokuwa ngumu, hapa nilipo najiandaa kwaajili ya Kazi ya Usiku huu, At least kesho Jumapili nitapumzika ila Jumatatu naamkia Ofisini kwa Michelle nikitoka kwa Michelle nalala masaa matano naingia night shift na wahindi hadi asubuhi siku hapo inakuwa imegeuka na kuwa Jumanne so natakiwa kuwepo Bandarini kwaajili ya kutoa mzigo, hadi saa sita mchana nakuwa nimeshamaliza, so muda huo naenda kwa Michelle kuendelea na Ratiba zingine hadi saa kumi jioni narudi nyumbani kulala kwaajili ya maandalizi ya Kazi ya Usiku tena (That's daily routine)

Uzuri huku kwa Caryn huwa nahitajika Jumanne na Jumamosi tu, ila kwa Wahindi ni Kila siku usiku kasoro Jumapili na kwa Michelle pia ni karibia Kila siku inategemea na wingi wa wateja pia

Changamoto yangu kubwa ni usingizi, coz sometimes nalala masaa machache hivyo nikiingia job usiku sitoboi hadi asubuhi by Saa nane au tisa usiku usingizi unanikamata kama Jana ilibidi tusitishe kuendelea na kazi kwasababu ya Usingizi

Dawa ya kukata usingizi ni gani? kahawa siwezani nazo
Piga kazi mkuu
 
Why utoe 100% moyo wako umpe binadamu mwenye udhaifu na tamaa za kila siku. Wewe hapo mwenyewe ukipata wawili akatokea mmoja akawa yupo more advanced unawaacha Hawa wawili kabla jogoo halijawika. Huwa Hakuna upendo Bali kila kitu duniani huwa Ni TRADING.
Yaani unacheki maximize profit muda huo huo unamliza mwenzako yaani unamlalia. Unataka mahusiano ufaidike nayo,upate maisha mazuri na mme mzuri ama mke na huku wewe hujajiuliza una value gani mbali na kiungo chako na huku mwenzake naye ana kiungo.

Watu ,miti hata wanyama vinacheki palipo na rutuba ama mbolea. Usije ukaniambia mti ama magugu maji yataenda kuota jangwani kuonyesha upendo na mchanga na huku yanatakiwa yaote majini.
The same Simba asile nyati eti akale kuku kisa kuonyesha kuwa anampenda kuku haipo hiyo. Ama maji Yapande mlima yasiteremke ama sumaku isivute chuma ivute mbao eti kuonyesha eti Kuna upendo.

Huwa Hakuna upendo duniani Mana upendo upo against na nature.cheki wanyama wenyewe wanafukuzana kwenye chakula ama kifaranga ajichanganye aende kwa asiye mama yake yaani anavyoraruliwa utalielewa jiji so mbona upendo amfukuze kwa amani kuwa mama yako Ni yule.


Yani kila kitu Ni biashara Kwisha habari,mfano ukiwa hauna value ya kua add kwa mama yako ama familia yako inaonekana huna lolote sawa na jiwe tu yaani unakuwepo mtu jina.
Truth, Yaani UKWEEELI👆 👆 👆
 
Hii story nilikua naipita tu ila baada ya kusema acha niisome nione kuna kipi ndio nika prove the say "Do not judge the book by only looking at the cover"... Story imekuwa na mengi zaidi ya kujifunza kuliko nilivyotegemea salute kwa mleta mada
 
Back
Top Bottom