Hatma ya Muungano Tanganyika na Zanzibar

Hatma ya Muungano Tanganyika na Zanzibar

Wanasemaga pia eti hata chama cha ASP alikuja kukianzisha Nyerere mwaka 57. Angalia simulizi za Shiekh Barwani youtub
 
Hivi mkoa unaweza shitaki mahakama ya jumuiya ya afrika mashariki kuomba kujitenga? Tanzania ni mwanachama wa jumuiya .Zanzibar ni kama mkoa tu hauna nguvu kisheria kujitambulisha kama nchi mahakama za kimataifa.Walioshtaki wanapoteza muda.Pia muungano uliliridhiwa na bunge na baraza la wawakilishi wao ni kina nani? Huwezi tengua kitu kilichoridhiwa na bunge na baraza la wawakilishi ambao ndio wawakilishi halali na kisheria wa wananchi.Huwezi kusanya sahihi za vibaka na wanga elfu 40 vijiweni eti wanataka muungano uvunjike.Muungano haukufanywa vijiweni

Aisee taratibu na punguza mahaba kiasi hicho. Nilikuwa na mtazamo kama wako nilipokuwa primary...udogo wa eneo sio kigezo cha kutokuwa nchi...kimsingi huu muungano wetu ni muhimu sana, ila Tanganyika imeimeza Zanzibar sana.
 
Wadau nataka jibu....."je kama hiyo mahakama itahukumu kuwa muungano sio wahaki itakuwaje?"😉
 
Kweli unaamini hivyo?? kwani hao walifngaua kesi wao kama nani katika huu mungano..?
Wanawainchi iliyoingia mkataba wa kuungana na nchi jirani.
sasa wameuchoka muungano tuwwache wende zao wajitafutie riziki wenyewe badala ya kuwa tegemezi
 
Wanawainchi iliyoingia mkataba wa kuungana na nchi jirani.
sasa wameuchoka muungano tuwwache wende zao wajitafutie riziki wenyewe badala ya kuwa tegemezi
Nimekufahamu mkuu,lakini bado najiuliza kwanini watawala wakubali kuwapa wananchi uhuru wakwenda kutafuta riziki sehemu wanayotaka kwa njia ya Mahakama,wakati watawala wameshawanyima wananchi kwenda kutafuta riziki kwa njia uchaguzi,njia ya kupiga kura...??
 
HIZI NI BAADHI YA NCHI ZINAZOENDELEWA KUTAWALIWA KIMABAVU NA MABWANA ZAO

USA wanazitawala nchi za (alaska, guam ,hawaii etc)

MOROCCO wanatawala nchi ya SAHARA MAGHARIBI

ENGLAND inazitawala nchi za IRERAND YA KASKAZINI, WALES NA SCOTTLAND

TANGANYIKA inaitawala nchi ya ZANZIBAR kimabavu.

Nazenginezo...
East Timor ilitawaliwa kimabavu na Indonesia hadi 2002 iliponijasua kutoka utawala wa Indonesia.
East Timor declared itself independent from Portugal on 28 November 1975, but was invaded by neighbouring Indonesia nine days later. The country was later incorporated as a province of Indonesia afterwards. During the subsequent two-decade occupation , a campaign of pacification ensued. Although Indonesia did make substantial investment in infrastructures during its occupation in East Timor, [1] dissatisfaction remained widespread. Between 1975 and 1999, there were an estimated about 102,800 conflict-related deaths (approximately 18,600 killings and 84,200 'excess' deaths from hunger and illness), the majority of which occurred during the Indonesian occupation.
On 30 August 1999, in a UN-sponsored referendum, an overwhelming majority of East Timorese voted for independence from Indonesia. Immediately following the referendum, anti-independence Timorese militias — organised and supported by the Indonesian military — commenced a punitive scorched-earth campaign. The militias killed approximately 1,400 Timorese and forcibly pushed 300,000 people into
West Timor as refugees. The majority of the country's infrastructure was destroyed during this punitive attack. On 20 September 1999, the
International Force for East Timor (INTERFET) was deployed to the country and brought the violence to an end. Following a United Nations-administered transition period , East Timor was internationally recognised as an independent nation on 20 May 2002.
 
utaratibu wa

kulipeleka UNO na VETO huwa ukoje process zinaanzia wapi
Process ni zile zile kama jinsi Nyerere alivyopeleka barua UN huko New York Marekani kutoka TANU wakitaka kujitawala au kuwa taifa huru.
Sema inataka lobbing kweli kweli ili uweze hata kusikilizwa especialy ukitokea nchi za aina yake kama yetu.
 
Wazanzibari hawajielewi! Wacha waendelee kutawaliwa mpaka watakapo amka.
Nahisi ni watanganyika hawajielewi,ni hivi tokea cku ya kwanza ya muungano huu hakuna mahali kisheria wazanzibar wameukubali muungano huu na ndio ukaona hadi hii leo hawaukubali muungano huu,wanajivunia kuwa wazanzibar, sasa tuje kwa watanganyika ambao kwa mawazo ya mtu mmoja tu aliejifanya mungu mtu (mzee kifimbo) kipindi hicho eti kwa utashi wake kaifuta tanganyika iliyopigania uhuru na watanganyika wanamtizama tu, sasa hapo nani hajielewi baina ya waznbr na watanganyika?
 
Wazanzibari hawajielewi! Wacha waendelee kutawaliwa mpaka watakapo amka.
Nahisi ni watanganyika hawajielewi,ni hivi tokea cku ya kwanza ya muungano huu hakuna mahali kisheria wazanzibar wameukubali muungano huu na ndio ukaona hadi hii leo hawaukubali muungano huu,wanajivunia kuwa wazanzibar, sasa tuje kwa watanganyika ambao kwa mawazo ya mtu mmoja tu aliejifanya mungu mtu (mzee kifimbo) kipindi hicho eti kwa utashi wake kaifuta tanganyika iliyopigania uhuru na watanganyika wanamtizama tu, sasa hapo nani hajielewi baina ya waznbr na watanganyika?
 
Kwahiyo bwana Pascal unataka kutuambia kwamba zile kesi zote za kikatiba ambazo zimejenga Jurisprudence ya nchi hii zilisikilizwa kimakosa ??? Au kwa minajili hiyo unataka kuwaaminisha watanzania kwamba Tanzania hakuwajawahi kuwepo na migogoro ya kikatiba tokea tumefanyia hii katiba yetu Marekebisho ???

CC: Prof
Hapana, kuna hoja nyingi za kikatiba zimewahi kuamuliwa na mahakama kuu ya mwisho ni ile hoja ya mgombea binafsi, lakini kesi yoyote inayohusu the legality ya muungano, hii ni over and above the jurisdiction ya mahakama zetu, inahitaji mahakama ya katiba iwe constituted.
P
 
Hapana, kuna hoja nyingi za kikatiba zimewahi kuamuliwa na mahakama kuu ya mwisho ni ile hoja ya mgombea binafsi, lakini kesi yoyote inayohusu the legality ya muungano, hii ni over and above the jurisdiction ya mahakama zetu, inahitaji mahakama ya katiba iwe constituted.
P


Mahakama ya katiba yenye jaji msomali , askari msomali , anayeshitakiwa msomali ???😛😛😛
 
Mahakama ya katiba yenye jaji msomali , askari msomali , anayeshitakiwa msomali ???😛😛😛
Sikumbuki the composition ya mahakama ya katiba ila inaundwa na majaji 7, watatu kutoka Mahakama Kuu ya Zanzibar na watatu kutoka mahakama kuu ya JMT, inaongozwa na CJ wa JMT, wanasheria wakuu wa JMT na Zanzibar ni ex officials wa mahakama hii. Inateua ma amicus curiae 5, wawili kutoka Zanzibar na wawili kutoka bara na mmoja kutoka Jumuiya ya Kimataifa. Nimetafuta nilipoisoma sijapapata.

P
 
Sikumbuki the composition ya mahakama ya katiba ila inaundwa na majaji 7, watatu kutoka Mahakama Kuu ya Zanzibar na watatu kutoka mahakama kuu ya JMT, inaongozwa na CJ wa JMT, wanasheria wakuu wa JMT na Zanzibar ni ex officials wa mahakama hii. Inateua ma amicus curiae 5, wawili kutoka Zanzibar na wawili kutoka bara na mmoja kutoka Jumuiya ya Kimataifa. Nimetafuta nilipoisoma sijapapata.

P

Wote hao si huteuliwa na msomali??
 
Huu "Muungano" umepitwa na wakati na sababu zilizopelekea kuasisiwa kwake hazipo tena leo.

Ni muungano wa watawala huku wananchi wakibaki watazamaji, umeshikiliwa kwa "Bolt" moja inayoweza kukatika muda wowote na kwa wananchi wa kawaida hawaoni faida yake.
 
Back
Top Bottom