mtz daima
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,561
- 579
- Thread starter
-
- #21
Shilole hana aimbalo na hajui mziki sasa ili kupata kiki anaona afanye vituko vya kujiacha wazi ili azungumzwe kumbe ndo anazidi kujizalilisha. Sio Mara moja kuna siku alipost kashikwa nyonyo hadharani bila hata braa na nuhu nyingine makalio. Nahisi watakua wanavuta bangi si bure hata kama ni Uhuru wa kufanya mambo hawa wamezidi wehu kabisa.
Sijui kwa kweli ila kama ndivyo basi siku ya show watakuwa wanazidisha dozi. Ila nina mashaka na mahusiano yao, jamaa alitakiwa awe mshauri wake lakini inaonekana yupo yupo tu. Hivi kweli mpenzi wako anavaa unamwona alafu unamsifia wakati kapiga bra tu?
Kwa ujumla ni rahisi kuwa star ila ni vigumu sana kuendelea kuwa celebrity (ku-maintain) na hili linasababishwa na wasanii kutokuwa na washauri hasa waliosomea sychology si kana kwamba hawapo ila wanaogopa gharama.