Watu mmezidi kushabikia ujinga, hata kama kuna sheria na alishaamua kuzifuata nyie mnaangaika na nini, kitu kingine mnasema ana dhalilisha Taifa ninachouliza ni wangapi wameridhalilisha Taifa na kuzorotesha uchumi wa nchi. Mmeona maziwa tu, kuna madawa ya kulevya, kuna rushwa n.k hivyo ndio dhalilisha Taifa.
Kwangu mimi sioni kama kuna kosa la ajabu alilofanya Shilole kuna mashindano ya ma miss watu wamekaa sana utupu kwa mavazi yao ya kuogelea hilo Basata halijaona na je umiss unaendana na maadili ya Taifa letu. Huko ni kumuonea tu Shilole na mimi nazidi kusisitiza ni wivu wa baadhi ya watu.
Watanzania tujaribu kutilia mkazo kwenye mambo muhimu sio upuuzi amba hauathili hata Taifa letu.