Hatma ya Shilole mikononi mwa BASATA

Hatma ya Shilole mikononi mwa BASATA

Wewe unaangalia miguuni pako , angalia mbele
Basata wataanza kumfungia huyo pimbi mwenzako, wakimaliza kova atakuwa ameshakughulikia kwa udanguro wako.

Nikuone wivu kwa kujidhalilisha. :what:

Hiyo ni ndoto, hata akifungiwa huko anaweza akaamia nchi yoyote na biashara ikaendelea kama kawa.
 
Ni dhahiri kuwa umeishiwa hoja lala maana unataka kuleta matusi sasa. Umesema mamiss wanakaa uchi nikakwambia weka picha sasa dada yangu anakujaje humu?

Mimi huku ni saa 04:43pm, ndio jioni sina usingizi kama wewe huko usiku wa manane.
Au wewe una uchi nini ndio maana unaonea wivu uchi wa mwenzako, hivi hujisikii vibaya unavyodai haki kwa uchi wa mwenzako, uchi wako kama umeufunika ni sawa acha mwenzako aonyeshe.
 
Mfyuuuu

Wauza nyapu utawajua tu..

Hizo shughuli za kiuchumi unazotetea ni zipi hizo, ni hizo za kuuza nyapu sio?

Na huyo Shilole ana kitu gani hasa cha kufanya majority wanaopitia uzi huu waone kachemka.. Au ni hiyo ndala, kuperform kwenyewe ana perform sebuleni, ana Tsh ngapi benki tumuonee wivu?

Maana umeng'ang'ana na wivu wivu.. Unayongea hayana mashiko, kajipange upya.

Katoe kibanzi kwenye jicho lako ndio utoe kwa mwenzako. Ni wivu tu unawasumbua, na wivu sio lazima uwe wa pesa kuna vitu vingi tu. Mwacheni mtoto wa watu atulie, wazazi wake ndio wanajukumu sio wewe kibaka.
 
Shilole ndugu yako?

kwa hiyo kuonesha Yale manyonyo meusi kama ugoko wa Shadraki Nsajigwa ni sawa kisa anaingiza hela?

Hivi wewe unaakili kweli, kwani yakiwa meusi ni yako nsi ya kwake nakama aibu nsi ya kwake, wewe hasira za nini, kama humpendi usiende kwenye shoo zake hata nyimbo zake usisikilize.
 
Hivi wewe unaakili kweli, kwani yakiwa meusi ni yako nsi ya kwake nakama aibu nsi ya kwake, wewe hasira za nini, kama humpendi usiende kwenye shoo zake hata nyimbo zake usisikilize.

ndio yule yule sambi nyigwaa...
 
Mimi huku ni saa 04:43pm, ndio jioni sina usingizi kama wewe huko usiku wa manane.
Au wewe una uchi nini ndio maana unaonea wivu uchi wa mwenzako, hivi hujisikii vibaya unavyodai haki kwa uchi wa mwenzako, uchi wako kama umeufunika ni sawa acha mwenzako aonyeshe.

Lugha ya malkia inakusumbua hata kiswahili pia? Aibu
 
Hivi wewe unaakili kweli, kwani yakiwa meusi ni yako nsi ya kwake nakama aibu nsi ya kwake, wewe hasira za nini, kama humpendi usiende kwenye shoo zake hata nyimbo zake usisikilize.



Yaani mimi nisikilize nyimbo za huyo kichaa??
Tena Na show zake nihudhurie??

kweli nitakuwa mwenda wazimu!!!!!

sasa Wewe mtetee ,huko basata anakula ban
 
Kumtambulisha msanii anapoomba viza ni sehemu ya matakwa ya viza isiwe ndio sababu ya kumfuatilia mtu hata akiwa nje ya nchi simply walimuandikia Introduction Letter. Kwani alienda kwenye show kuwakilisha nchi au kuwakilisha kipato chake binafsi? Hao BASATA hawaoni uchafu wa wasanii kwenye magazeti ya Shigongo? Au wana-react kwa sababu ya kuombwa na watu? Kama ni kosa katika nchi husika, aadhibiwe na mamlaka husika za Ubelgiji. Mbona dada zetu kibao wanaenda kudhadhalishwa na kujidhadhalisha uarabuni hawafanywi kitu?
 
Basata hawana lolote mbona hata huku Tanzania alikuwa anacheza hivyo, hiyo ni chuki ya watanzania wanaoishi ughaibuni kujidai wanajua kulinda mila na desturi za kitanzania wakati wao ndio wanaiga mambo ya ughaibuni, huo wote ni wivu, wamuache ajitafutie pesa hiyo ni biashara hakuna mtu atakayemsaidia shida zake, mimi nasema aendelee aonyeshe mpaka papuchi ni mali yake.

We nae umekunywa maji ya chooni unakuja kutapika humu? Yani akae uchi ndio apate pesa? hahaha.. Toa ukahaba wako hapo.
 
Tunazungumzia maadili ya nchi, kwa hiyo wengine kwa sababu hawana usajili wa basata ndio wasifuste maadili ya nchi yao, basi huo ni upuuzi na vigodoro kwani sio sanaa.
Sema basata labda walinyimwa .....

Ni wajibu wa kila Mtanzania kulinda maadili yake.. Kaanzia ktk ngazi ya familia. Wewe usiangalie maadili ya watoto wako usubiri Basata waje wakutizamie.

Mydia.. Elewa lugha, Basata wanahusika na shilole kwa sababu yeye ni msanii, na wao ni mamlaka inayosimamia sanaa kwa mujibu wa Sheria. Yeyote anayefanya kinyume na maadili ambaye si msanii hutawasikia wakijihusisha, na zaidi ya hayo shilole angefanya hayo nje ya jukwaa huenda wasingembuguz as ni maisha yake... Ktk hili alikuwa kazin, kazi ya sanaa.. Na kila kazi ina maadili na taratibu zake. Na uzuri.. Mkuu Ruttashobolwa alishakutajia baadhi ya masharti ya kibali alichonacho.
Vigodoro ni sanaa? Jaribu kutafuta maana ya sanaa then utajua kama ni sanaa au ni mashikoro gani
 
Last edited by a moderator:
Ni wajibu wa kila Mtanzania kulinda maadili yake.. Kaanzia ktk ngazi ya familia. Wewe usiangalie maadili ya watoto wako usubiri Basata waje wakutizamie.

Mydia.. Elewa lugha, Basata wanahusika na shilole kwa sababu yeye ni msanii, na wao ni mamlaka inayosimamia sanaa kwa mujibu wa Sheria. Yeyote anayefanya kinyume na maadili ambaye si msanii hutawasikia wakijihusisha, na zaidi ya hayo shilole angefanya hayo nje ya jukwaa huenda wasingembuguz as ni maisha yake... Ktk hili alikuwa kazin, kazi ya sanaa.. Na kila kazi ina maadili na taratibu zake. Na uzuri.. Mkuu Ruttashobolwa alishakutajia baadhi ya masharti ya kibali alichonacho.
Vigodoro ni sanaa? Jaribu kutafuta maana ya sanaa then utajua kama ni sanaa au ni mashikoro gani

Kumbe hilo unalijua la kwamba kila mtu maadili yaanze kwenye familia yake, je wewe familia yako ina maadili? Na huo umri aliokuwa nao Shilole kama familia yake haijampatia maadili mema unafikiri basata ndio itampatia maadili mazuri? Hicho ndicho nilichokuwa nasema kwamba huo ni mtu mzima na samaki mkunje angali mbichi akishakauka hakunjiki, Basata hapo hawawezi na ataendelea kama kawaida, atapumzika siku kidogo na ngoma itarudi palepale bora hiyo sheria ya basata ingekuwa na sheria ya kufungwa lkn onya hiyo ni bureeeee. SHILOLE anafanya biashara na ataendelea na biashara yake.

Nakushauri mkuu angalia maadili ya familia yako na ulikosea kuwakunja utotoni ukubwani hutaweza kabisa ukiwakunja watavunjika.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo na shoo ya Shilole kulikuwa kuna watu chini ya miaka 18, na unauhakika wanaotizama ngona Tanzania ni chini ya miaka 18. Hao watoto wanaofanya ngono chini ya umri walimuona Shilole.
Mimi nafikiri utafute kitu cha kufanya ili uache upuuzi wa kufuatilia vitu ambavyo havitakujenga kimaisha.
isupport you
 
Jamani Basata hilo ni uonevu huo ni mwili wake ana haki ya kuutumia anavyotaka mmemuona Shilole tu, kigodolo hamjakiona mpaka mnamuadhibu shilole!

Soma taarifa kwanza kabla ya kujump ktk kuongea
Unaambiwa Shilole ni msanii aliesajiliwa BASATA , kigodoro nao wamesajiliwa ????
Usitetee upuuzi kwanza umri wa Shilole ni mkubwa huwezi mfananisha na Vanesa but atleast wenzake wanaonyesha ustaarabu fulani.
Yeye sifa na kujifanya bado kibinti wakati mama wa watoto kibao
sehemu zenyewe zimepwelepweta badala kuzisitiri analeta usista du.

hao kina Biyonce wenyewe anaowaiga hawayafanyi hayo.
 
Soma taarifa kwanza kabla ya kujump ktk kuongea
Unaambiwa Shilole ni msanii aliesajiliwa BASATA , kigodoro nao wamesajiliwa ????
Usitetee upuuzi kwanza umri wa Shilole ni mkubwa huwezi mfananisha na Vanesa but atleast wenzake wanaonyesha ustaarabu fulani.
Yeye sifa na kujifanya bado kibinti wakati mama wa watoto kibao
sehemu zenyewe zimepwelepweta badala kuzisitiri analeta usista du.

hao kina Biyonce wenyewe anaowaiga hawayafanyi hayo.

Yaani sikujua kama haunazo, sasa hizo sehemu zilizopwelepeta mnazioneaje wivu, watanzania wote maadili yanatoka kwa wazazi kwa hiyo Shilole ndio maadili aliyoyapata wewe kinakuuma nini, hata kama ni Mama wa watoto kibao nsi umuache, na pili watu wengi wamelalamika maadili ya watanzania yataharibika kwa ajili ya Shilole, na basata inalinda maadili ya Taifa, je hivyo vigodoro haviharibu maadili ya Taifa tena vinachezwa mbele ya watoto wadogo.
Hebu soma taarifa ya basata inazungumzia maadili ya Taifa, haizungumzii Shilole kalepweta na ana watoto kibao, sasa mkuu nimeshakuona una wivu, hujasoma post inasemaje unakimbilia kujibu acha uvivu wa kusoma.
Huo ni wivu wako
 
Back
Top Bottom