SiimaK
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 340
- 158
Kama anatambua kuwa ule ni mwili wake na ana uhuru nao basi asingelijipeleka huko BASATA kujisajili...
Kujisajili BASATA maana yake alikubali kuwa atalinda sheria na maadili ya Kitanzania na hapo ndipo alipojifunga...
Kujisajili sio shida hiyo ni haki yake, kama wewe unavyosajiliwa NECTA kufanya mitihani na mbona unafeli NECTA walikuadhibu, kusajiliwa sehemu yoyote ni haki ya kila mtu anayehitaji hiyo huduma na je kwenye usajili kuna sehemu unaambiwa usionyeshe ziwa? Hiyo ni sawa unapoenda dukani lazima upewe stakabadhi ya kitu ulichonunua na hauulizwi unaenda kukifanyia nini.
Acheni wivu wa kijinga huo mwili ni wake na ana haki ya kufanya anavyotaka.
GOD IS ONLY FAIR JUDGE NOT YOU.