Huyu mdada ni mrembo kiasu chake na wife material....Huyu si ndo yule mdada mrembo tanzania nzima na visiwani. Picha yake si ndo ile aliyokuwa kama kaweka pozi la kushika shavu ehhh.
duhhh umbeya siuwezzi maana nakumbuka picha yake nilikuwa naiwekaga kwenye daftari langu kipindi nipo shule ila kuna mmoja alikuja niibia akaiweka kwenye locker lake naye akaja ibiwa
[emoji15] [emoji15] Jay oneIla kusema ukweli, huyu cheusi she is not sexy at all.. Yaani sio wa kumvutia mwanaume kabisa aiseee.. Mm sina hata wazo la kumtamani, yaani siwezi hata kidogo kunivutia haipo, ila ndio hivyo kila mtu na bahati yake.. Yaani mvuto hana kabisa, ukweli utabaki hivyo...
beautifulHuyu mdada ni mrembo kiasu chake na wife material....
Mpe sifa zake ban a mbona mzuri .Ila kusema ukweli, huyu cheusi she is not sexy at all.. Yaani sio wa kumvutia mwanaume kabisa aiseee.. Mm sina hata wazo la kumtamani, yaani siwezi hata kidogo kunivutia haipo, ila ndio hivyo kila mtu na bahati yake.. Yaani mvuto hana kabisa, ukweli utabaki hivyo...
Ila kusema ukweli, huyu cheusi she is not sexy at all.. Yaani sio wa kumvutia mwanaume kabisa aiseee.. Mm sina hata wazo la kumtamani, yaani siwezi hata kidogo kunivutia haipo, ila ndio hivyo kila mtu na bahati yake.. Yaani mvuto hana kabisa, ukweli utabaki hivyo...
Wambea wenzangu ebu nipeni ubuyu,
Hivi Zamaradi bado yupo Clouds baada ya kuolewa na mission town?
Maana kusema kweli alikua anajua sana kutangaza especially kwenye kipindi cha TAKE ONE na LEO TENA, alikua anapatia kweli. Kama aliacha sasa hivi sijui atakua wapi ila namshauri aende hata AZAM TV kutangaza, maana kipaji anacho.
Utakuwa na wazo la kumtamani wakati. Hata ile nafasi ya kuonana nae ni mtihani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kusema ukweli, huyu cheusi she is not sexy at all.. Yaani sio wa kumvutia mwanaume kabisa aiseee.. Mm sina hata wazo la kumtamani, yaani siwezi hata kidogo kunivutia haipo, ila ndio hivyo kila mtu na bahati yake.. Yaani mvuto hana kabisa, ukweli utabaki hivyo...
Uyu kisu