warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Wambea wenzangu ebu nipeni ubuyu,
Hivi Zamaradi bado yupo Clouds baada ya kuolewa na mission town?
Maana kusema kweli alikua anajua sana kutangaza especially kwenye kipindi cha TAKE ONE na LEO TENA, alikua anapatia kweli. Kama aliacha sasa hivi sijui atakua wapi ila namshauri aende hata AZAM TV kutangaza, maana kipaji anacho.
Hivi Zamaradi bado yupo Clouds baada ya kuolewa na mission town?
Maana kusema kweli alikua anajua sana kutangaza especially kwenye kipindi cha TAKE ONE na LEO TENA, alikua anapatia kweli. Kama aliacha sasa hivi sijui atakua wapi ila namshauri aende hata AZAM TV kutangaza, maana kipaji anacho.