Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤐Toka 2015 mpaka leo hajaolewa? Hili lao wakalitazame
Sawa ila yaonekana ametoa mimba zako kibao,au ni mtaalamu wa kutumia p2 😅😅Kila mtu ana destiny yake, ndoa ni bahati hata kuzaa ni bahati
Akikupa haraka utakula utakimbiaKwamba ni vicoba? Muda wa marejesho utafika?
Hongera Kwa kupendaSema neno apa mchumbaa
Lol basi kaanza kutumika akiwa mdogo mno,15 years🤔kameishia diploma eeh?She is turning 23 this year, naamini bado utoto unamsumbua
That's y,kaona mmeshajuana muda mrefu halafu hamna uelekeo,saivi yuko kwenye umri wa kutafuta mume sasa,ndomana anakunyima mbususu,peleka posa kwao ashafuzu huyoActually that time alikua amegraduate o level kaanza chuo diploma
Aise inabidi niachane na hii kampeni ya kataa ndoa naona itanipotezea huyu mtoto cecyThat's y,kaona mmeshajuana muda mrefu halafu hamna uelekeo,saivi yuko kwenye umri wa kutafuta mume sasa,ndomana anakunyima mbususu,peleka posa kwao ashafuzu huyo
Ila una moyo wa subira sana miaka ni mingi hadi lengo lenu litimiePoint ilikua amalize chuo ili tukitulia tumetulia alipaliza tu nimeanza kuona rangi zake nyingi
Mahusiano hayo ni batili mkuuKazi iende na dawa hata pesa iende na huduma unayopokea.
Huyu ni mwanadada mmoja tulianza mahusiano late 2015 hakua na mbambamba, she gave everything and everytime alikua na uwezo wa kusafiri kunifuata nilipo tunapokumbukana that was so sweet kiukweli.
Sasa mambo yalianza kubadilika mapema 2019 mbususu hatoi, Kwa sababu zisizo za msingi yaani mtu anaamua tu kubana miguu na tulikua kwenye hatua nzuri tu
Ila kwenye suala la kuomba pesa anadai kama wale jamaa wa branch au tala🤣
Nikakomaa mwaka mzima ukapita bila bila no sex no Nini 😱😱 basi ikabidi taratibu nianze kujiengua pili nianze kusitisha zile huduma zote hasa pesa mpaka Sasa sijapata mbususu yake huyu parasite toka 2019 na tunawasiliana kama kawaida ila si kama zamani.
Saizi najiona kama ndo napambania kombe sana kuliko yeye😀 huku yeye akiwa Hana habari 😓 meli inaelekea kuzama maana.
Sitadaiwa Kwa kupoteza mda wake I really have to move on
Huyu ni katika wanawake nilimpenda sana nae alinipenda zaidi ila bila mbususu hayo mahusiano ni batili nawasilisha.