Hattrick ⚽⚽⚽, Haji Manara aongeza mke wa tatu

Hattrick ⚽⚽⚽, Haji Manara aongeza mke wa tatu

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hattrick sio mpirani na Ndoani pia ipo.!! ndivyo unavyoweza kusema baada ya Haji Manara Leo kuongeza mke mwingine wa 3 bint anaitwa Rushaynah Athumani.Kumbuka.

Kwa utamaduni wa kiafrika walizoishi mababy zetu na kwa dini ya kiislam inaruhusiwa kuoa hata wake wanne kwa sababu wanaume wengi hasa sisi waafrika hatutosheki na mwanamke mmoja,

Huwa nashangaa huku kwengine maandiko yameruhusu kuongeza mke na hata manabii waliishi na wake zao kwa baraka zote za mwenyezi Mungu lakini ajabu siku hizi viongozi wa dini wanawabana wanaume kuoa mke mmoja tu kwa kuyapiga sarakasi maandiko, matokeo yake wanaume hawa waliobanwa wanazini nje ya ndoa kwa kuongeza michepuko ambayo wengine wamewapangia nyumba na watoto wamezaa nao.

Ni heri kuongeza mke kuliko kuzini na michepuko.


FdmV_IXXoAABfHY.jpg



FdmYE8pXkBIVMJh (1).jpg
 
Hattrick sio mpirani na Ndoani pia ipo.!! ndivyo unavyoweza kusema baada ya Haji Manara Leo kuongeza mke mwingine wa 3 bint anaitwa Rushaynah Athumani.Kumbuka.

Kwa utamaduni wa kiafrika na kwa dini ya kiislam kuoa hata wake wanne haina tatizo,

View attachment 2369147

Sio hilo tu, kwa sisi waislamu inaswihi kuowana ndugu, mtoto wa baba mdogo/shangazi/mjomba/mama mkubwa/mama mdogo, ila co mtoto wa dada/kaka
 
Kwa mwaka ndoa mbili? Hii sunna ya kuoa waislam wanaipenda kuliko kuswali
heri ndoa yenye baraka kuzidi michepuko, hata babu zetu nao wameishi kwa kuoa wake wengi na wala hakukuwa na tatizo.

shida yaja mwafrika kutaka kumuiga mzungu anaetosheka na mke moja, atajificha ficha ila ukweli anaujua yeye na michepuko yake.
 
Huwa nashangaa huku kwengine maandiko yameruhusu kuongeza mke na hata manabii waliishi na wake zao kwa baraka zote za mwenyezi Mungu lakini ajabu siku hizi viongozi wa dini wanawabana wanaume kuoa mke mmoja tu kwa kuyapiga sarakasi maandiko, matokeo yake wanaume hawa waliobanwa wanazini nje ya ndoa kwa kuongeza michepuko ambayo wengine wamewapangia nyumba na watoto wamezaa nao.
Hii ni njia ya uzazi wa mpango na kukosa ongezeko la uzazi duniani.
 
Back
Top Bottom