Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Best postKwa mwaka ndoa mbili? Hii sunna ya kuoa waislam wanaipenda kuliko kuswali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best postKwa mwaka ndoa mbili? Hii sunna ya kuoa waislam wanaipenda kuliko kuswali
Dada mbona hukuniambia mapema kuwa kuna mrembo sehemu tumfanhe namba mbili?Daaah...Rushaynah jamani!kwelii Pesa mwana kharamu...na alivyo mremboo!!
Ila mashallah muache atimize Sunnah
Umaarufu unaleta pesa,Ni umatemate au ni kitu gani kinawavutia wachuchu warembo kwa Haji?
Maana jamaa anag'oa vyuma kweli kweli
Jana kuna Padri kapandishwa kizimbani Kwa kulawiti watoto 9.Huo ndio uchafu wa uislamu. Yaani ushetani na zinaa
Ongea vizuri na Babra, Yule ndo kiboko yake!Waungwana nipeni mbinu za kumpora uyu mtoto kwa manara[emoji16][emoji16]View attachment 2369464
[emoji1][emoji1]kaka angu huyu bwana maji marefu angekutia stress tu,nn hakika mobeto anahusika na Hii ndoa maana ni mtu wa karibuu yake huyu Rushaynah ,yaani Hii kama sio pasi ya goli sijui yaani!Dada mbona hukuniambia mapema kuwa kuna mrembo sehemu tumfanhe namba mbili?
Pesa tu happo ndo Kila kitu!Ni umatemate au ni kitu gani kinawavutia wachuchu warembo kwa Haji?
Maana jamaa anag'oa vyuma kweli kweli
Sana.Ramadhami ikiisha mfano ana wake wanne idadi imeshatimia anatoa talaka kwa wawili kiislamu analeta vijana wapya wawiliKwa mwaka ndoa mbili? Hii sunna ya kuoa waislam wanaipenda kuliko kuswali
Tuache na dini yetu kaka,Kaa na ya kwakoo iliyokamilika!Huo ndio uchafu wa uislamu. Yaani ushetani na zinaa
Mtafute Mobeto !!!!!Waungwana nipeni mbinu za kumpora uyu mtoto kwa manara[emoji16][emoji16]View attachment 2369464
Kisu unachoWaungwana nipeni mbinu za kumpora uyu mtoto kwa manara[emoji16][emoji16]View attachment 2369464
Dada yangu wewe kwa habari za mjini nakuaminia.[emoji1][emoji1]kaka angu huyu bwana maji marefu angekutia stress tu,nn hakika mobeto anahusika na Hii ndoa maana ni mtu wa karibuu yake huyu Rushaynah ,yaani Hii kama sio pasi ya goli sijui yaani!
Ila Manara Ana Pesa Sasa hivi halafu sio mnyimi haji ukiwa karibuu nae unakula vzr tu
Ndoa ilifanyikia dar au tanga nipe abc niunganishe dot.Daaah...Rushaynah jamani!kwelii Pesa mwana kharamu...na alivyo mremboo!!
Ila mashallah muache atimize Sunnah
Wewe umeyaona ya Jana tu na ya yule ustadhi aliyelawiti watoto 22 hukuyaona?Jana kuna Padri kapandishwa kizimbani Kwa kulawiti watoto 9.
Hapo Nani mzinzi Bora hao wengine dini Yao imewaruhusu kuongezea Hadi WA nne.
Kuliko kwenda kuzini nje halafu jioni unarudi Kwa mke wako Mmoja, Bora hao wanaooa.