Hattrick ⚽⚽⚽, Haji Manara aongeza mke wa tatu

Haji asubiri kupigwa tukio Kama sio matukio...ni swala la mda tu,kuoa kunahitaji evaluation and analysis!
 
Wake wa tatu ina maana akipumzika siku moja moja anakuja kumrudia wa kwanza baada ya siku nne.

Aisee inabidi awe anakula vizuri na kutokuwa na stress ili mwili uwe na nguvu.
 
Hata peponi tutaoa pia huku nyinyi mnaimba mapambio sisi tunaburidika na warembo wazuri wazuri na nguvu ya tendo tutaongezewa hamna haja ya Mkongo kule
Wakati huo wanawake wa huku duniani watakuwa wanafanya nini?
 

Shoga kumbe huyu rushyna kazaa iyogo
 
Huyu anatafuta kufa kwa pressure mwanamke mmoja tu hakuna rangi utaacha ona mpaka rangi ya ushuzi[emoji41] hao wote [emoji848]
 
Afu anapata wanawake wazuri ila sijui kama wanakaa mana sio kwakuoa huku,,,hongera yake Mungu awajaalie idumu!
Kitengo chake cha scouting kipo vizuri kina sort Mali Safi
 
Yaani mtoto mzuri kweli, anaenda kuwa mke wa 3!! Tena kwa jamaa fulani msema hovyo na mropokaji tu!

Wanawake kuna muda mwingine hata hamueleweki mnataka nini aisee.
Nadhani kamkomoa yogo beats Hapa!aliyezaa nae!kaona ngoja niolewe kabla ya kuwa single mama forever
 
Kuna watu wapuuz sana wanafanya uziz kweny mwamfuli wa dini fln siyo sawa kbsa hili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…