Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

Raphael Thedomiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
442
Reaction score
729
Mtazamo mpya wa NATO ni kwamba, ili amani irejee katika huu mzozo, ni lazima Putin akatishwe tamaa kabisa kwamba hataweza kuidhibiti Ukraine kabisa, kwa kumuongezea Ukraine msaada zaidi wa silaha.

Katibu wa NATO anaamini hiyo ndio njia bora ya kumshawishi Putin aone anachokihitaji ni kama mlima mkubwa ambao hataweza kuupanda, na hivyo aachane na vita.

=====================

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Jens Stoltenberg ametoa wito wa kupelekwa silaha zaidi nchini Ukraine. Katika mahojiano yake na shirika la habari la Ujerumani, DPA, Stoltenberg amesema msaada wa kijeshi kwa Ukraine ni njia ya haraka ya kupatikana kwa amani. Amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapaswa kushawishiwa kwamba hatoweza kufanikiwa katika lengo lake la kuidhibiti Ukraine. Ameongeza kusema kuwa kila nchi ina haki ya kujilinda. Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa NATO, panaweza kuwepo suluhisho la mazungumzo ya amani kuhakikisha kwamba Ukraine inashinda kama taifa huru la kidemokrasia. Stoltenberg ameweka wazi kwamba anayachukulia mashambulizi ya hivi karibuni ya Ukraine dhidi ya maeneo ya kijeshi nchini Urusi kuwa halali.

DW
 
Mtazamo mpya wa NATO ni kwamba, ili amani irejee katika huu mzozo, ni lazima Putin akatishwe tamaa kabisa kwamba hataweza kuidhibiti Ukraine kabisa, kwa kumuongezea Ukraine msaada zaidi wa silaha.

Katibu wa NATO anaamini hiyo ndio njia bora ya kumshawishi Putin aone anachokihitaji ni kama mlima mkubwa ambao hataweza kuupanda, na hivyo aachane na vita.

=====================

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Jens Stoltenberg ametoa wito wa kupelekwa silaha zaidi nchini Ukraine. Katika mahojiano yake na shirika la habari la Ujerumani, DPA, Stoltenberg amesema msaada wa kijeshi kwa Ukraine ni njia ya haraka ya kupatikana kwa amani. Amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapaswa kushawishiwa kwamba hatoweza kufanikiwa katika lengo lake la kuidhibiti Ukraine. Ameongeza kusema kuwa kila nchi ina haki ya kujilinda. Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa NATO, panaweza kuwepo suluhisho la mazungumzo ya amani kuhakikisha kwamba Ukraine inashinda kama taifa huru la kidemokrasia. Stoltenberg ameweka wazi kwamba anayachukulia mashambulizi ya hivi karibuni ya Ukraine dhidi ya maeneo ya kijeshi nchini Urusi kuwa halali.

DW
NATO walipeleka silaha ndo kwanza mikoa minne ikaondoka[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtazamo mpya wa NATO ni kwamba, ili amani irejee katika huu mzozo, ni lazima Putin akatishwe tamaa kabisa kwamba hataweza kuidhibiti Ukraine kabisa, kwa kumuongezea Ukraine msaada zaidi wa silaha.

Katibu wa NATO anaamini hiyo ndio njia bora ya kumshawishi Putin aone anachokihitaji ni kama mlima mkubwa ambao hataweza kuupanda, na hivyo aachane na vita.

=====================

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, Jens Stoltenberg ametoa wito wa kupelekwa silaha zaidi nchini Ukraine. Katika mahojiano yake na shirika la habari la Ujerumani, DPA, Stoltenberg amesema msaada wa kijeshi kwa Ukraine ni njia ya haraka ya kupatikana kwa amani. Amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapaswa kushawishiwa kwamba hatoweza kufanikiwa katika lengo lake la kuidhibiti Ukraine. Ameongeza kusema kuwa kila nchi ina haki ya kujilinda. Kwa mujibu wa kiongozi huyo wa NATO, panaweza kuwepo suluhisho la mazungumzo ya amani kuhakikisha kwamba Ukraine inashinda kama taifa huru la kidemokrasia. Stoltenberg ameweka wazi kwamba anayachukulia mashambulizi ya hivi karibuni ya Ukraine dhidi ya maeneo ya kijeshi nchini Urusi kuwa halali.

DW
Mzee Putin hana ujanja tena, hii Vita hataweza kushinda.
 
Putin kayakanyaga[emoji38]

NATO wanaenda nae mdogo mdogo mpaka pumzi ikate dadeki[emoji3061]

Mwisho wa siku anawekwa rokap na mahakama ya kijeshi inaendesha kesi palepale Moscow then kitanzi kama sadam.[emoji2][emoji2]
 
Putin kayakanyaga[emoji38]

NATO wanaenda nae mdogo mdogo mpaka pumzi ikate dadeki[emoji3061]

Mwisho wa siku anawekwa rokap na mahakama ya kijeshi inaendesha kesi palepale Moscow then kitanzi kama sadam.[emoji2][emoji2]
Hicho ndicho kilichobakia, tatizo ni kwamba hataki kuamini kwamba maji aliyoyaingia yamemzidi kimo

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Putin kayakanyaga[emoji38]

NATO wanaenda nae mdogo mdogo mpaka pumzi ikate dadeki[emoji3061]

Mwisho wa siku anawekwa rokap na mahakama ya kijeshi inaendesha kesi palepale Moscow then kitanzi kama sadam.[emoji2][emoji2]
Inawezekana. Kesi kwake ni lazima hata Ukraine walishasema kwamba wanaendelea kukusanya ushahidi tuu, bado mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu.
Nadhani Putin ataweza kupona dhidi ya kesi zitakazoweza kufunguliwa dhidi yake kwa makubaliano ya mezani pekee
 
Inawezekana. Kesi kwake ni lazima hata Ukraine walishasema kwamba wanaendelea kukusanya ushahidi tuu, bado mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu.
Nadhani Putin ataweza kupona dhidi ya kesi zitakazoweza kufunguliwa dhidi yake kwa makubaliano ya mezani pekee
PUT IN sio ALBASHIR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NATO sio wamiliki wa Dunia hii.
NATO Kila wakiongeza silaha Ukraine ujue nao ndio watukua wanapungukia na akiba.
Juzi kati hapa walianza kulalamika kua wamepungukiwa na stock ya silaha ,na wengine kusema wamebakiza kwa ajili ya ulinzi wa mataifa Yao.
Hata wakizalisha na Urusi nae atazalisha.

Urusi alishajipanga miaka mingi kua Iko siku anaweza kupigana na NATO,hivyo Ukraine itabakia kuwa uwanja wa vita kati ya Urusi na NATO kwa mlango wa nyuma.

Msisahau Urusi atakapozidiwa washirika wake watamuunga mkono.
Mkidhani Urusi Hana washirika mtakua mnaota ndoto Huku mnatembea.
 
Back
Top Bottom