Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

... jinga lile lizee! The best option aliyobaki nayo ni nukes; uwanja ni wake.
Mhhh. Eti Nukes. Putin akionesha hata nia tu, yaani kabla hajazifikia buttons za "ON" "ENTER" au "FIRE" wajanja watakuwa weshamlamba kichwa. AMINI NAKUAMBIA hawezi kutumia nukes hata kidogo kwani hanazo nukes yy peke yake. Na wenzake wanazo ambazo ni more advanced and with high precision/accurate sio kama anavyo broadcast makombora yake hayo ya Analogy kubahatisha-bahatisha target.
 
NATO sio wamiliki wa Dunia hii.
NATO Kila wakiongeza silaha Ukraine ujue nao ndio watukua wanapungukia na akiba.
Juzi kati hapa walianza kulalamika kua wamepungukiwa na stock ya silaha ,na wengine kusema wamebakiza kwa ajili ya ulinzi wa mataifa Yao.
Hata wakizalisha na Urusi nae atazalisha.

Urusi alishajipanga miaka mingi kua Iko siku anaweza kupigana na NATO,hivyo Ukraine itabakia kuwa uwanja wa vita kati ya Urusi na NATO kwa mlango wa nyuma.

Msisahau Urusi atakapozidiwa washirika wake watamuunga mkono.
Mkidhani Urusi Hana washirika mtakua mnaota ndoto Huku mnatembea.
Yes; Ni kweli NATO sio wamiliki wa dunia hii lakini pia usisahau kuwa Urussi nao sio wamiliki pia. Cha msingi hapa ni "TUHESHIMIANE bro" Kaa kwako nami nikae kwangu. Usijimilikishe kwa nguvu nchi za wenzako kibabe. Kama ni ubabe matokeo yake ndo hayo. Kama Urussi anao Washirika haijazuiwa washirika wake kumuunga mkono. Tunachoona hapo ni Mrussi kuomba-omba Iran , N.K , kukodi Mamluki(Wagner group) kukusanya watu mitaani(mobilise), Kulazimisha wafungwa (Me na Ke)n.k. Yan ni RUKSA Putin atumie washirika wake na mbinu nyinginezo kama anavyoweza. Asitishie Nuklia - si atumie ijulikane??
Ukraine kugeuka kuwa uwanja wa vita ni sahihi (kweli)na nadhani hiyo ni plan/strategy ya muda mrefu kwamba Frontline itakuwa Ukraine.
 
Baada ya kumuwekea fixed price kwenye mafuta yake...

Mwamba naye akakataa kabisa kuwauzia hayo mafuta...

Sasa hao hao NATO wanaanza kuweweseka eti Urusi atakata pumzi...

Who told you Russia ni nchi ya kukatikiwa pumzi?

Siku hizo nchi za NATO zinakatiwa mafuta ya Urusi, ndiyo itakuwa mwisho wa serikali zinazoongoza, mark these phrase.

Lengo lao la kuweka fixed price kwenye mafuta ya mrusi ilikuwa ni kupunguza mfumuko wa maisha kwenye nchi zao..

Sasa kitendo cha kuyakata kabisa, kitaleta mfumuko ambao hautaelezeka..

Ili kuiface hii reality, inakuhitaji uweke akilinza udhabiki maandazi pembeni.
 
Baada ya kumuwekea fixed price kwenye mafuta yake...

Mwamba naye akakataa kabisa kuwauzia hayo mafuta...

Sasa hao hao NATO wanaanza kuweweseka eti Urusi atakata pumzi...

Who told you Russia ni nchi ya kukatikiwa pumzi?

Siku hizo nchi za NATO zinakatiwa mafuta ya Urusi, ndiyo itakuwa mwisho wa serikali zinazoongoza, mark these phrase.

Lengo lao la kuweka fixed price kwenye mafuta ya mrusi ilikuwa ni kupunguza mfumuko wa maisha kwenye nchi zao..

Sasa kitendo cha kuyakata kabisa, kitaleta mfumuko ambao hautaelezeka..

Ili kuiface hii reality, inakuhitaji uweke akilinza udhabiki maandazi pembeni.
Hakuna ambaye (Kati yao Urussi + NATO) Hataathirika. Utofauti utakuwa ni katika Viwango. Kwani Mrussi anajitosheleza kifedha? Vivyo hivyo NATO hajitoshelezi kwa mafuta. Kwa maneno mengine iko hivi; Pamoja na Kutofautiana, Ugomvi, n.k. Bado wanahitajiana.
 
Inawezekana. Kesi kwake ni lazima hata Ukraine walishasema kwamba wanaendelea kukusanya ushahidi tuu, bado mashirika ya kimataifa ya haki za binadamu.
Nadhani Putin ataweza kupona dhidi ya kesi zitakazoweza kufunguliwa dhidi yake kwa makubaliano ya mezani pekee
Watu tunaipenda sana Dunia, ina nini hasa hii "Dunia"inachotufanya tuing'ang'anie!?
Kwahiyo bado tunahisi yeye "Putin"anapambania uhai wake!? Kwamba hayupo tayari kufa kwa maamuzi yake mwenyewe!?
 
So tumeambiwa vita kuu ya tatu ya dunia inaanza 2023? Tuisubiri tu ianze
Nna hamu na hii kitu mbaya kabisa, mambo ya kuisoma tu kwenye makaratasi haina radha, kwa hiyo Putin atakuwa ndio Hitler wa vita ya III! Ama hakika hata Hitler alionewa dhidi ya Propaganda za wayahudi na West….
 
Muda Ambao Hiyo Mnaita Ukraine Ikija Kuamka Itakua ni Magofu matupu..Wataishi Miaka Mingi mnoo Wakijiuliza kama ni Sahihi Kukimbia kimbia na usanii wanaoufanya....
Oh! Hapo mkuu, hakuna cha usanii; ni mtu anapigika kama ngoma.Ninachodhani kinaweza kutokea ni Taifa la Urussi kusambaratika na kuwa ni vinchi vidogo-vidogo yan kama bara la Afrika lilivyogawanywa enzi hizo (WW11)kwa Mataifa ya Ulaya na kuwa ni nchi zinazojitegemea lakini chini ya uangalizi(Protectorate) Urussi kama tuijuavyo sasa haitakuwepo tena. Na Historia inaonesha ni mwendelezo wa kutoka USSR then Russia na baadaye (baada ya vita hii ya sasa) ni kutokuwepo kwa Taifa la Russia.
 
Oh! Hapo mkuu, hakuna cha usanii; ni mtu anapigika kama ngoma.Ninachodhani kinaweza kutokea ni Taifa la Urussi kusambaratika na kuwa ni vinchi vidogo-vidogo yan kama bara la Afrika lilivyogawanywa enzi hizo (WW11)kwa Mataifa ya Ulaya na kuwa ni nchi zinazojitegemea lakini chini ya uangalizi(Protectorate) Urussi kama tuijuavyo sasa haitakuwepo tena. Na Historia inaonesha ni mwendelezo wa kutoka USSR then Russia na baadaye (baada ya vita hii ya sasa) ni kutokuwepo kwa Taifa la Russia.
Hapo bara la Afrika kugawanywa kwa WWII umepuyanga
 
Ninachojua ni Putin atauawawa na watu wake karibu hapa ndiyo itakuwa mwisho wa vita hii
Upo nyuma ya taarifa. Majasusi ya Kremlin yametengeneza Putin kama watatu hivi (body double)wanafanana hivyo hivyo na wote wanaoparate. Putin halisi hajulikani. Mishoga na waviziaji hawaelewi cha kufanya.
 
[emoji378][emoji378]Breaking news: Kuna taarifa za milipuko Kyiv,Ukraine (misile strikes on Kyiv)


Vita bado mbichi sana.

Kampeni ya bwana Putin ya kupiga strategic infrastructures on Ukraine naona inaendelea vizuri kabisa
 
Hapa tutapiga porojo kama ilivyo Kuja Corona watu wanaanza ooh ndo mwisho WA Dunia Mara ukichanjwa ndio umeenda hivyo... Bla Bla.
Hii vita itaenda itaisha tutasahau na Wala Hakuna atanayeitwa mshindi.
But soon bei za mafuta zitaleta shida sana Ulaya kuanzia mwakani. Its by design not by mistake kwa Russia kuacha kuwauzia mafuta Ulaya.
Uchumi wa Dunia unaenda kuangushwa so lazima watafute kisingizio.... Corona was the first step then Russia vs Ukraine War then Inflation kubwa Inakuja hapo ndio itakuwa chaos wala hatutakuwa tunaongelea Habari za putin wala Biden wala Nato. (Hao wote watatu wanajua wanachokifanya... They are all playing their part very well.) while yule WA MASHARIKI aliyetabiriwa akiweka sawa kitambo for 2030 (WW3)....... And we are all fucked!!!!!
 
Back
Top Bottom