Hatua mpya za NATO dhidi ya Urusi

Huwa yanapendaga kujitambulisha humu kimtindo. Puuza.
Ukiona mtu anaishabikia simba, yanga nk ujue ana mapenzi nayo.Na ataipenda kwa vingi sana.
Ukiona mtu anaishabikia USA(ambao ni washadadiaji wa ushoga na ubaradhuli)
Basi huyo mtu atakuwa na ukaribu kabisa na ushoga.
 
Ukiona mtu anaishabikia simba, yanga nk ujue ana mapenzi nayo.Na ataipenda kwa vingi sana.
Ukiona mtu anaishabikia USA(ambao ni washadadiaji wa ushoga na ubaradhuli)
Basi huyo mtu atakuwa na ukaribu kabisa na ushoga.
Maelfu kwa maelfu ya watu duniani wakiwemo viongozi wakuu wa nchi na Serikali huitembelea Marekani; hufuata ushoga? Unajua kila mwaka Marekani hupokea watalii na wafanya biashara wangapi duniani kote? Wote hao wanashabikia ushoga?

Unajua ni nchi ipi China inauza zaidi? Ni Marekani; China wanashabikia ushoga? Unajua uarabuni products zao wanauza zaidi nchi gani? Sina hakika kama unajua ulichokiandika!
 
Akatishwe tamaa kivip sasa wakati malengo yake yalishatimia. Kaishachukua alichokitaka.

Sasa hivi anapigana tu kulinda alicho nacho
 
Umeelewa nilichoku-quote lakini?

Halafu suala sijui viongozi wengi kwenda marekani kwani wao hawaendi nchi zingine.
Huwezi kukwepa hapa, marekani na maradhuli wenzake ndio wanaojipambanua kuufurahia ushoga tena hadi wamedhalishwa QATAR.
Wote wanaowashabikia USA huwezi watenganisha na huo.
Suala la biashara ni two way,usidhani kwamba mataifa yanaitegemea marekani halafu yenyewe inajitegemea kibiashara.
 
Acha kuota ndugu...Mataifa makubwa yote yanafuata mambo yao tu....Marekani imeipiga pini hii mahakama mara kibao....Hajasikia hata mauaji ya juzi ya mwanahabari wa Aljazera aliyeuliwa na Israel...Aljazeera wametaka kufungua kesi...US kakataa na kasema hata shiriki kwa chochote....

Hizo mahakama ni kwa ajili ya walalahoi tu...Nchi kubwa US, China,France, Russia,GB etc..mtasubiri sana....

Putin ataendelea kudunda tu ndugu....hizo wishes ni ndoto tu
 
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Putin kayakanyaga[emoji38]

NATO wanaenda nae mdogo mdogo mpaka pumzi ikate dadeki[emoji3061]

Mwisho wa siku anawekwa rokap na mahakama ya kijeshi inaendesha kesi palepale Moscow then kitanzi kama sadam.[emoji2][emoji2]
NATO ilishatenga bajeti ya miaka 5 ya hii vita. Watu wanaona kama NATO wajinga kisa Russia kuchukua mikoa minne, ile ilikuwa ni plan ili vita vichukue muda mrefu zaidi.

Kama angedhibitiwa Russia asichukue ile mikoa, maana yake biashara ya hii vita ingeshakwama mapema sana.
 
Ni dhambi kubwa sana kutafsiri maandiko matakarifu kama hujawahi kusomea theolojia. Hayo unayosemea tayari yalishatokea miaka mingi sana ya nyuma. Hii ni era nyingine kabisa.
 
Tupe ushahidi wa hiyo bajeti ya miaka 5 (NATO).Wapi imesemwa au imeandikwa:Otherwise futa hii kauli.
 
Sasa wasengerema wa NATO badala ya kuingia kupigana wanakuwa kama mashoga wao wanaogopa wanatoa msaada 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…