Numbisa Sababu ipi inakufanya umchukie mtoto mpole na mkimya Kama Hamisa mobetto?Nipo tele sema mara moja moja nawaachia timu nanii mpate kufurahi kidogo
Njoo baada ya matokeo..Nope hawajaomba ila nimeulizwa Kama iko active
Numbisa wizi upi amewahi kufanya?Muulize mama shamte atakupa jibu. Tununu hafai kila anapoenda anaharibu,mwizi,mdangaji hodari
Niambie huo wizi Ni upi mbona hii habari imenipitia kushotoMimi na wewe wageni hapa mjini. Inno kanywe chai
Niambie huo wizi Ni upi mbona hii habari imenipitia kushoto
Numbisa Hapa nimekuelewa unamaanisha Zari kuibiwa bwana na Hamisa mobetto Sasa tangu lini mwanaume mwenye akili zake akaibiwa kwani amekuwa toy au msukule mpaka abiwe? Nyie wanawake mnaniacha hoi kwa kauli Kama hiyo Hakuna sehemu ambayo Hamisa kaiba wewe ndio ulitakiwa ujiulize pamoja na Zari mwenyewe kipi kilichofanya mondi aende kwa Hamisa?Kaangalie kwenye account yake kuna ushahidi wa wizi wake(second born wake)
Wizi uliosababisha team domo kuporomoka toka kushangilia nomination bet,Grammy etc mpaka afrima.
Toka kushindana na akina davido,burna boy,tecno etc mpaka kondegang,alikiba
Yaan vile safari za sauzi ilikua kama kwenda kariakoo tu ila siku hizi daah hatuna pa kufikia poor us
Ila dada zangu wepesi sana kupigwa,huyo hamisa mwenyewe ni "mjasiria-mbunye" full kudanga still bado hamjiongezi.Ana biashara gani mjini kama sio kuuza kipochi manyoya zake jiongezeni.
Hamna cha experience wala nini wezi hao.Ukitaka kuwa mjasiria mali wa kitu fulani,mfuate mtu ambaye ana experience na anakifanya hicho kitu kaa nae atakuelekeza,haya maswala ndio yalio mfanya dada yangu apigwe laki tano.Hiyo event Hamisa kawekwa mbele na manager wake Dr Ulimwengu kama njia tu ya kumbrand lakini watakaoongea ni watu experienced kwenye biashara hivyo, naona ni fursa kwa wajasiriamali wenye kutaka kufanya biashara kisasa
Numbisa Hapa nimekuelewa unamaanisha Zari kuibiwa bwana na Hamisa mobetto Sasa tangu lini mwanaume mwenye akili zake akaibiwa kwani amekuwa toy au msukule mpaka abiwe? Nyie wanawake mnaniacha hoi kwa kauli Kama hiyo Hakuna sehemu ambayo Hamisa kaiba wewe ndio ulitakiwa ujiulize pamoja na Zari mwenyewe kipi kilichofanya mondi aende kwa Hamisa?
Kuhusu kufifia kwa mondi baada ya kuwa na Hamisa mobetto hapo umeongea kishabiki Hadi sasa hivi tunazungumza diamond ameandikwa kwenye jarida la Grammy au hii ukuiona lakini pia ameteuliwa kuperform jukwaa Moja na Bruno Mars show ambayo itafanyika Ureno ukiachana na hapo ameteliwa kuwania tuzo ya Afrimma kwenye vipengele 6 kuliko msanii yoyote wa Africa.Ameshirikishwa kwenye album ya msanii mkubwa mwenye tuzo 6 za Grammy Alicia key na Hadi sasa hiyo album ndio ipo chart no 1 duniani na ngoma aliyomshirikisha Diamond ndio inaongozwa kwa kupendwa na kusikilizwa Mara nyingi kuliko nyimbo zake zote kwenye Hiyo album yake je hapo ndio kufifia kwa mondi au kufifia siku hizi inamaana tofauti?
Hamna cha experience wala nini wezi hao.Ukitaka kuwa mjasiria mali wa kitu fulani,mfuate mtu ambaye ana experience na anakifanya hicho kitu kaa nae atakuelekeza,haya maswala ndio yalio mfanya dada yangu apigwe laki tano.
Hamna kitu hapo zaidi ya story na kuuziana chai.
Numbisa usimchukie Hamisa Hana makuu na asiyependa ugomvi unaanzaje kumchukia mwanamke Kama hamisa? Ingekuwa unamchukia mtu Kama mange kimambi,Juma lokole,Mwijaku and the same types angalau ningekuelewa ila sio HamisaKaka ake chuchunge kazini.