Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numbisa usimchukie Hamisa Hana makuu na asiyependa ugomvi unaanzaje kumchukia mwanamke Kama hamisa? Ingekuwa unamchukia mtu Kama mange kimambi,Juma lokole,Mwijaku and the same types angalau ningekuelewa ila sio Hamisa
Numbisa Sababu ipi inakufanya umchukie mtoto mpole na mkimya Kama Hamisa mobetto?
Wadangaji,madelicious wote sahv ni wajasiriamali role model [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upole huo vipi wakati anavunja nyumba za watu?!
Upole huo vipi kwa mtu anayedanga jijini?
Naona neno upole halieleweki vizuri miongoni mwa watu!
Duh kwa mawazo yako Mobeto atakuwa na hela ya kugawa ha ha adange kwa shida akupe kirahisiHello guys,
Kuna project ambayo Hamisa Mobetto anaitangaza now ,inayofanyika kesho , ambayo Ni konganano la wajasiriamali, nilijisajiri katija bio yake, na kujaza form ambayo ndiyo itatumika Kama kiingilio.
Nimepigiwa simu leo wakiniuliza kama Nina account crdb ambayo iko active, Sasa najiuliza kunaweza kuwa na fursa ya mtonyo au?mliowahi shiriki kongamano kabla ya Hilo lililoandaliwa na mobetto vipi Kuna fursa ya mitaji?
Kavunja nyumba ya watu kivip? Ebu fafanuaAsiye na makuu anaweza kuwa na ujasiri wa kuvunja nyumba za watu?
Asiye na makuu anaweza kwenda uchi kwa ujasiri?!
Itakuwa humjui vizuri na ndiyo maana unamchukulia Poa!
Numbisa usimchukie Hamisa Hana makuu na asiyependa ugomvi unaanzaje kumchukia mwanamke Kama hamisa? Ingekuwa unamchukia mtu Kama mange kimambi,Juma lokole,Mwijaku and the same types angalau ningekuelewa ila sio Hamisa
Numbisa Hizo shobo ni zipi kazifanya kwa majizo? Unavyosema mbona diamond haoi hapo kwani Zari aliolewa na mondi? Na sasa hivi huyo Zari ana ndoa?.Ushauri wangu kwako Hakuna sababu za kumchukia binadamu mwenzako hivyo ambaye umemjulia kupitia social media pekee na tv ujawahi hata kumuona live lakini pia ajawahi kukukosea au kuingilia mzunguko wa maisha yako hiv unazani kumchukia Hamisa ndio kutamfanya Zari awe Bora au kufanikiwa maisha yako hiv ukiwapenda both Zari na Hamisa unapungukiwa Nini? au Kuna faida gani unaipata ukimchukia Hamisa mobetto? Mbona sisi wabongo tunapenda kujipa stress kwa mambo ambayo hayana msingi katika maisha yako kwanini ujipe mzigo mzito unaoepukika hiv kuwa na personal stress hazitoshi mpaka uongeze na za Hamisa mobetto?Kaka ake chuchunge,huyo binti kwa ugomvi anajulikana ila kiboko yake lulu,shobo yote kwa majizo imekatwa.
Anyway kwa hizi sifa unazompa mbona domo haoi hapo?
Numbisa Hizo shobo ni zipi kazifanya kwa majizo? Unavyosema mbona diamond haoi hapo kwani Zari aliolewa na mondi? Na sasa hivi huyo Zari ana ndoa?.Ushauri wangu kwako Hakuna sababu za kumchukia binadamu mwenzako hivyo ambaye umemjulia kupitia social media pekee na tv ujawahi hata kumuona live lakini pia ajawahi kukukosea au kuingilia mzunguko wa maisha yako hiv unazani kumchukia Hamisa ndio kutamfanya Zari awe Bora au kufanikiwa maisha yako hiv ukiwapenda both Zari na Hamisa unapungukiwa Nini? au Kuna faida gani unaipata ukimchukia Hamisa mobetto? Mbona sisi wabongo tunapenda kujipa stress kwa mambo ambayo hayana msingi katika maisha yako kwanini ujipe mzigo mzito unaoepukika hiv kuwa na personal stress hazitoshi mpaka uongeze na za Hamisa mobetto?
Numbisa Onesha wapi nimemchukia Kiba na Konde boy? Hapa juzi tu nilianzisha Uzi wa kumsifia mke wa Kiba nikasema Kiba anajua kuchagua mke ningekuwa ninachuki nae ningesema hivyo.Ndugu yangu me Sina chuki Kama ulizojaza wewe au ulikariri ukimpenda diamond basi lazima umchukie Alikiba.Kaka ake tununu. Sio kwa magazeti haya aiseee. Halafu mbona zari unamtaja taja hivyo hakuna sehemu nimemtaja zari.
Take a chill pill ndugu. Umepanic jamani hadi huruma
Je wewe unapata faida gani unapomchukia konde na aliki kiba?
Ukiona mtanzania anakualika kwa fursa ujue wewe ndio fursa
Numbisa Onesha wapi nimemchukia Kiba na Konde boy? Hapa juzi tu nilianzisha Uzi wa kumsifia mke wa Kiba nikasema Kiba anajua kuchagua mke ningekuwa ninachuki nae ningesema hivyo.Ndugu yangu me Sina chuki Kama ulizojaza wewe au ulikariri ukimpenda diamond basi lazima umchukie Alikiba.
Nimeamua kumtaja Zari kwasababu huyo ndio source ya wewe umchukie Hamisa mobetto
Tununu kachukiwa zaman kwa tabia zake ila wewe unapenda kulazimisha kile unachokiamini kwa wengine. uwe na usiku mwemaWell
Na wewe pia but message is delivereduwe na usiku mwema
Hamisa hana ukimya wowote ni malaya aliyejificha kwenye kichaka cha umodel,uigizaji na mziki.Numbisa Sababu ipi inakufanya umchukie mtoto mpole na mkimya Kama Hamisa mobetto?
Asante sanaPata kinywaji ukipendacho bill kwa BAK.
Sawa anaweza akawa Ni Malaya ila sio demu mwenye mdomo ndio point yangu ilipoHamisa hana ukimya wowote ni malaya aliyejificha kwenye kichaka cha umodel,uigizaji na mziki.
Ukiwa na hela unajipigia tu,kuna bosi mmoja wa kampuni ninayofanyia kazi ila vitengo tofauti kapanda dau kapiga.
Hamna kitu hapo.
Yale matangazo kwenye tv huwa anajitolea ?Ila dada zangu wepesi sana kupigwa,huyo hamisa mwenyewe ni "mjasiria-mbunye" full kudanga still bado hamjiongezi.Ana biashara gani mjini kama sio kuuza kipochi manyoya zake jiongezeni.
Sijui anapata kiasi gani,ila 100% demu anajiuza.Kama anagekuwa anapewa mzigo mrefu sizani kama angeuza mbunye.
Matangazo ya ponpon diaper hawamlipi ?Yule ni mjasilia mwili sio mjasiriamali na hana knowledge yeyote kuhusu hayo shaur yako utalizwa