Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

Tembelea website ya TCU...kifupi kuna form una download toka tcu..unaijaza den unascan halafu unaituma kwenye email wamekupa pale.ukikubaliwa kuhama utalipa 30000/= na kozi za kuchagua wamekupa pale wao mwisho tareh 7 ol da best

mdau itakuwa ni vipi kama nitaijaza kwa kutype (kuandika kwa kompyuta) then nikatuma?? Je nitakuwa nimekiuka utumaji wao?? Maana nilijarib kupiga cm zao ckupata majib
 
mdau itakuwa ni vipi kama nitaijaza kwa kutype (kuandika kwa kompyuta) then nikatuma?? Je nitakuwa nimekiuka utumaji wao?? Maana nilijarib kupiga cm zao ckupata majib

Nafikiri hvyo kaka we fuata maelekezo yao kuwa download jaza halafu scan na uitume tena kutype kwa computer thnk zitakuwa mbwebwe den kma ni medical related program uwe na 6.5 point na email yako iwe na heading pale juu "transfer for medical programms,"
 
nani kakwambia haina ajira hyo?? wizara ya kilimo mbona wanaajir sana labda kwa wanafunz wa st joseph..
na majina ya sec round si yametoka au we ulijuaje kama upo joseph na ulifanya sec round.
au cjakuelewa mm may b.

nshaliona jina langu st. Joseph, naomba msaada wa maelezo kuhusu ajira za hortculture
 
Wakuu nilchaguliwa pspa udom nataka kwenda duce baed nina BBC ya brn kuna uwezekano wa kupata nafasi kweli au nipge chn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…