Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Tembelea website ya TCU...kifupi kuna form una download toka tcu..unaijaza den unascan halafu unaituma kwenye email wamekupa pale.ukikubaliwa kuhama utalipa 30000/= na kozi za kuchagua wamekupa pale wao mwisho tareh 7 ol da best
mdau itakuwa ni vipi kama nitaijaza kwa kutype (kuandika kwa kompyuta) then nikatuma?? Je nitakuwa nimekiuka utumaji wao?? Maana nilijarib kupiga cm zao ckupata majib