Nini lengo la kwenda shule?..Acha uongo unasema elimu ya Tanzania haimjengi mtu kuwa na mawazo ya kujiajiri,una takwimu za kutuonyesha graduates wangapi wameshindwa kujiajiri,kujiajiri kunategemea na kujifikirisha kwa mtu kama mkichwa wako umelala ndio hivo utakaa tu nyumbani kusubiri kuajiriwa.
Tusisingizie elimu tuvilaumu vichwa vyetu vilivyolala,wapo watu wengi tu wamejiajiri baada ya kumaliza chuo sasa na hawa wamesoma elimu gani kama sio hii hii tunayoisoma wote
Hahah mkuu humu kuna watoto wa kiume wapo kama dada zao...yani mtoto wa kiume over18 alafu kwao masikini bado anafagilia kukaa kwa wazazi na hana mchango wowote kama anasubiri kuolewa nayeye au wazazi wake wataishi milele...Ebu fanya maisha yako ya kwao waachie wenyewe [emoji124][emoji124][emoji124]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwenu unaweza kukaa kama una nafasi kubwa pia, ila kama unavyosema usiwe tegemezi kabisa pengine wewe unaweza kujipa majukumu kadhaa ukawa unahudumia baadhi ya vitu ili kupunguza mzigo kwa mzee wako pia.Hakuna cha aibu kukaa kwenu mkuu, mbaya ni kuwa tegemezi wa kila kitu. Kuna ambao wamekimbia kwao kwenda kupanga na bado wanategemea kulipiwa chakula na pango na ndugu au wazazi wao.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huu ni moja ya uvivu wa kufikiri....umepewa ugali bado unataka kulishwa....
Mkuu kukaa nyumbani umri kuanzia 25+ ..ni uzembe huoKwenu unaweza kukaa kama una nafasi kubwa pia, ila kama unavyosema usiwe tegemezi kabisa pengine wewe unaweza kujipa majukumu kadhaa ukawa unahudumia baadhi ya vitu ili kupunguza mzigo kwa mzee wako pia.
Kuna watu nimeona mpaka wameoa wakiwa kwao ili mradi hawachangamani na wazazi wao nyumba moja yaani anaishi chumba cha nnje na mke wake na anajitegemea kula kitu na wazazi wake anawasaidia baadhi ya mambo pia.
Unaondoka nyumbani ukiwa na nini?Mtaji,bidhaa?Ufafanuzi tafadhali.Hi wana Jf,
Nimejaribu kuchunguza hasa hizo nchi zetu za Africa hususani (East Africa) limekuwa ni jambo la kawaida kukuta kijana ana miaka takribani 30 na bado anaishi kwa wazazi wake bila aibu anasubiri ugali wa shikamoo.
Hili jambo ukiliangalia kwa mapana utagundua linasababishwa na vitu Vingi..
Mfano mfumo wetu wa elimu nao unachangia kwa sababu elimu mtu anayopata mpaka chuo kikuu haimjengi muhusika katika kuwa na mawazo ya kujiajiri . Tatizo linakuja pale mtu kamaliza chuo alafu kakosa kazi ..utashangaa mtu anakaa nyumbani mpaka anaoa/kuolewa akiwa nyumbani.
Lakini upande wa pili hata kama mtu hajasoma pia bado utakuta anaishi nyumbani kwa wazazi akiwa na umri mkubwa..mi nadhani pia sisi wa Africa uvivu unatupeleka pabaya.
Tumezoea kukaa vijiweni muda mwingi tukijadili mambo yasiyo na msingi na tumekuwa watu wa kutojali muda kabisa... Wala hatuna ratiba ..
Yangu ni hayo tuu kama kuna mwingine mwenye mawazo tofauti na mimi anaweza akaongeza au kunipinga kwa hoja lakini...
Nawasilisha
Na Hakuna kitu unatufanyaHi wana Jf,
Nimejaribu kuchunguza hasa hizo nchi zetu za Africa hususani (East Africa) limekuwa ni jambo la kawaida kukuta kijana ana miaka takribani 30 na bado anaishi kwa wazazi wake bila aibu anasubiri ugali wa shikamoo.
Hili jambo ukiliangalia kwa mapana utagundua linasababishwa na vitu Vingi..
Mfano mfumo wetu wa elimu nao unachangia kwa sababu elimu mtu anayopata mpaka chuo kikuu haimjengi muhusika katika kuwa na mawazo ya kujiajiri . Tatizo linakuja pale mtu kamaliza chuo alafu kakosa kazi ..utashangaa mtu anakaa nyumbani mpaka anaoa/kuolewa akiwa nyumbani.
Lakini upande wa pili hata kama mtu hajasoma pia bado utakuta anaishi nyumbani kwa wazazi akiwa na umri mkubwa..mi nadhani pia sisi wa Africa uvivu unatupeleka pabaya.
Tumezoea kukaa vijiweni muda mwingi tukijadili mambo yasiyo na msingi na tumekuwa watu wa kutojali muda kabisa... Wala hatuna ratiba ..
Yangu ni hayo tuu kama kuna mwingine mwenye mawazo tofauti na mimi anaweza akaongeza au kunipinga kwa hoja lakini...
Nawasilisha
Mkuu upo sahihi sana kuna zingine inakukazimisha tu iondoke hata kabla ya wakati [emoji2]Inategemea na famalia yenu ikoje,mnaishi vipi kuna zingine utatamani ata ukaishi kwa jirani..
Ukiwa na maarifa hayo mengine uliyoyataja utajua pakuyapataUnaondoka nyumbani ukiwa na nini?Mtaji,bidhaa?Ufafanuzi tafadhali.
Mkuu ukiwa unajitambua sio mbaya sana ..Ila sisi wa Africa tunajuana tulivyo ...ndo maana nkasema kwa Africa Bora kuondoka nyumbaniKwenu unaweza kukaa kama una nafasi kubwa pia, ila kama unavyosema usiwe tegemezi kabisa pengine wewe unaweza kujipa majukumu kadhaa ukawa unahudumia baadhi ya vitu ili kupunguza mzigo kwa mzee wako pia.
Kuna watu nimeona mpaka wameoa wakiwa kwao ili mradi hawachangamani na wazazi wao nyumba moja yaani anaishi chumba cha nnje na mke wake na anajitegemea kula kitu na wazazi wake anawasaidia baadhi ya mambo pia.
Hapo mkuu unakwama sio vizuri maana ukikaa sana nyumbani na akili inakuwa haichangamki (passive) maana inajua chakula kipo tu but ukiwa away from home akili inakuwa active kutafuta ili wewe ule pamoja na familia yakoMi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Thanks for that I agree with youkibongo bongo ni heri kutoka home ukaenda kujitafutia maisha hasa pale unapoona hali ya home hairuhusu na wewe ni mkubwa.
kwa wasio wabongo wakiona home mambo safi hakuna kuondoka ni kubanana hapohapo kurithi utajiri na mtoto akitaka kusepa wazazi wanamkataza wanamtengenezea mazingira ya kuwa mrithi wao...
shida ya huku kwetu unakuta familia ina watoto 8 au zaidi, mtoto wa kwanza kamaliza chuo kikuu mdogo wake wa mwisho hata chekechea hajaanza, so kuendelea kukaa home ni kubana tu nafasi kwanza unajishtukia mwenyewe.
Una uhakika gani kama bado yupo kwa baba yake?Yesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
Napingana na wewe. Mimi nimekaa home mpaka naoa nikiwa na umri wa miaka 30+ Baada ya kuoa nikahama nyumbani nikahamia kwenye nyumba niliyojenga na ninayoishi mpaka leo. Sikuona kwa nini nitoe pesa kulipa kodi badala ya kuipeleka kwenye ujenzi wa nyumba yangu mwenyewe.Mkuu kukaa nyumbani umri kuanzia 25+ ..ni uzembe huo