SITABIRIKI
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 364
- 105
Utakuwa wa uswahiliniMi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
[emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125]Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Lakini ni kweli ukiondoka nyumbani akili inafunguka sana kupambana na maisha,angalia wachaga walio wengi wameendelea coz walihama kutoka moshi kuja Dar,Moro,Mbeya etc na wamefanikiwaWabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
burudani kwelikweli.............tangu nikufahamu mara nyingi huwa hupendi ujinga.Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
wa uswazi ndo wazazi wakiwa na kanyumba hawaondoki tena kama ni wakiume ndo huwaombea wazee wajifie wao warithi .haloo hama hom mkuu utawarithisha tabia hiyo na kizazi chako bwanaa!Umejuaje mi wa uswazi hasaa,ndo nipo mpk ss,to live and die in uswazi
[emoji12] [emoji12]burudani kwelikweli.............tangu nikufahamu mara nyingi huwa hupendi ujinga.
You have a point, mkuu. And you deserve my big thank! Ni kweli. Maendeleo katika maisha yanaletwa na hard work na plan nzuri ya matumizi tu... basi! Uwe unaishi na wazazi, uwe unaishi pangoni au nyumba ndogo... it doesnt matter.Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
hahahaa mkuu unanifurahisha kung'ang'ania nyumbani hapo fuli kuhudimiwa na bi mkubwa!Haondoki mtu hapa we vepe!!!!
Mkuu, hata Asia kuna familia maskini sana. Ni mipangilio tu.Mkuu umeongelea watu wa Asia na Mimi nine base kwa jamii za Africa ambazo nyingi ni masikini na pia zina utamaduni tofauti..... Sasa kuna faida gan kukaa familia yenye watoto kumi afu bado familia ni ya hali ya chini
Ndo hivyo kwani dhambi!!Hii thread ukiipitia utagundua wachangiaji wengi ambao bado wanakaa nyumbani kwa wazazi wao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa wewe kama familia yenu mnakaa kwenye nyumba ya kupanga mpaka leo utakaeje hapo?acha kuwaonea wivu watoto wa wenzio Wazazi wao waliojipanga na kujenga nyumba ili kuwasitiri watoto wao mpaka pale watakapofanikiwa kimaisha,wewe mlaumu Baba yako wakati wenzie wanasoma yeye alijifanya mjanja kuwa chimbo na kuvuta bangi na kunywa mataputapu.
Hata wazungu,wahindi,wachina na matajiri wote wanaishi kifamiliaWabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
HIVI KAMA BABA YAKO NA MAMA YAKO NI VIKONGWE JE UTAWAACHA NA NANI ENDAPO UTAONDOKA?Ni kweli kwa familia za kiafrika kuna umri inakubidi uondoke nyumbani kupunguza mzigo mkubwa kwa wazazi maana familia zetu akiondoka mtoto analetwa mjukuu kulelewa sasa kuna mda bora uwaache ao wajukuu nawe ukajitafutie riski kwengine.