Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Inategemea, kukimbia nyumbani sio njia pekee ya kuwahi kufanikiwa kimaisha,mwingine anamaliza chuo anapewa nyumba na kujumuika katika biashara za familia na kupiga hatua kubwa kimaisha kuliko kama angekimbia nyumbani na kukomaa mwenyewe.
 
Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
Lakini ni kweli ukiondoka nyumbani akili inafunguka sana kupambana na maisha,angalia wachaga walio wengi wameendelea coz walihama kutoka moshi kuja Dar,Moro,Mbeya etc na wamefanikiwa
 
Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
You have a point, mkuu. And you deserve my big thank! Ni kweli. Maendeleo katika maisha yanaletwa na hard work na plan nzuri ya matumizi tu... basi! Uwe unaishi na wazazi, uwe unaishi pangoni au nyumba ndogo... it doesnt matter.
 
Sasa wewe kama familia yenu mnakaa kwenye nyumba ya kupanga mpaka leo utakaeje hapo?acha kuwaonea wivu watoto wa wenzio Wazazi wao waliojipanga na kujenga nyumba ili kuwasitiri watoto wao mpaka pale watakapofanikiwa kimaisha,wewe mlaumu Baba yako wakati wenzie wanasoma yeye alijifanya mjanja kuwa chimbo na kuvuta bangi na kunywa mataputapu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kweli kwa familia za kiafrika kuna umri inakubidi uondoke nyumbani kupunguza mzigo mkubwa kwa wazazi maana familia zetu akiondoka mtoto analetwa mjukuu kulelewa sasa kuna mda bora uwaache ao wajukuu nawe ukajitafutie riski kwengine.
 
Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
Hata wazungu,wahindi,wachina na matajiri wote wanaishi kifamilia
 
Ni kweli kwa familia za kiafrika kuna umri inakubidi uondoke nyumbani kupunguza mzigo mkubwa kwa wazazi maana familia zetu akiondoka mtoto analetwa mjukuu kulelewa sasa kuna mda bora uwaache ao wajukuu nawe ukajitafutie riski kwengine.
HIVI KAMA BABA YAKO NA MAMA YAKO NI VIKONGWE JE UTAWAACHA NA NANI ENDAPO UTAONDOKA?
 
Back
Top Bottom