Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Kukaa kwa wazazi siyo kigezo cha kumzuia mtu kuendelea
 
huu ni uchochezi

Mods naomba huyu apewe ban , nyinyi mna mamlaka ya kumpa ban huyu hata masaa 24

Hahahaah mkuu kama vile ulikuepo .

Swali la kizushi wewe hukai home?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwani jamii za Asia wote ni matajiri ?
Mkuu umeongelea watu wa Asia na Mimi nine base kwa jamii za Africa ambazo nyingi ni masikini na pia zina utamaduni tofauti..... Sasa kuna faida gan kukaa familia yenye watoto kumi afu bado familia ni ya hali ya chini
 
Wewe ni mu Asia?
 
Wakati kuna lijamaa langu hapa naliona limekaa kwa kaka yake lina midevu kqma osama lina miaka 37 halitaki hata kupanga chumba

Yani linanikera sana
mchapeni fimbo huyo
 
Kurudisha mpira kwa kipa sio shida, shida ni wewe striker kuganda golini na kipa
Hao ndio wale wanajifanya kuiga kila kitu, unakimbia home bila kujiandaa sawa sawa unaenda zako huko baada ya muda maisha yanakupiga mdogo mdogo unaanza kwenda home kula mara Bi Mkubwa nitumie hela mwisho wa siku unarudi tena pale pale home kwa aibu.
 
Shukuru Mungu hata hilo boma ulilonalo, kwa maelezo uliyotoa kama ungebaki nyumbani hata begi la nguo bado ungekua unatumia uliloachiwa na mzazi wako
 
Kuhama nyumbani hasa Kwa vijana inawaandaa kukabiliana na majukumu
Ukiwa umepanga ukiangalia huna kitanda kabati friji tv chakula na mengineyo akili itakaa sawa
Unarudi nyumbani chumba kinakuangalia unatakiwa ulipie umeme maji na chakula chako hapo lazima uchakarike upate mahitaji yako ya lazima
Tofauti na uko kwenu unarudi unakuta ugali unakula unaeda kuoga unarudi unaangalia TV ukitoka hapo kulala yani nakuambia mtu kama huyu akioa anapata shida sana hawezi majukumu anaona mzigo
Anakuwa hawezi kumtunza mke
Wadogo zangu amkeni mkajitegemee msiwe kama watoto Wa kike
 

Nimeshuhudia Watu wengi walioondoka makwao kwenda kutafuta Maisha (hasa mijini), na bado hawakutoboa.

Hawawezi hata kununua Kijiko cha Chai, achilia mbali kua na mke ndani. Na umri unaelekea Jioni. Ni mara mia wasingeondoka, wangebaki kuwasaidia wazazi kulima ili mkono uende kinywani.
Haya mambo myatazame kwa mapana yake .
Nadhani swala ni namna unavyoondoka nyumbani badala ya kukazania Kuondoka Nyumbani.
Na Elimu ya Digrii, mastazi, Diploma haina uhusiano wowote na Mtu kuja kuishi decent life.

Tunaina Familia za Waarabu na wahindi wengi tu wanaishi na wazazi wao maisha mazuri tu. Kikubwa ni kuishi maisha mazuri.
 
Ninaunga mkono asilimia zote.
 
Mimi home sihami na niataolea hapa hapa.
Mimi ntatoka nikipata uhakika wa maisha , mtu unakuta anatoka home hajui hata anaanzaje maisha
Anaenda kubangaika mtaani hata hajui baadae yake atakula nini , si bora ufanye hustle zako ukiwa home unatoka ukiwa fit
 
Acha uongo unasema elimu ya Tanzania haimjengi mtu kuwa na mawazo ya kujiajiri,una takwimu za kutuonyesha graduates wangapi wameshindwa kujiajiri,kujiajiri kunategemea na kujifikirisha kwa mtu kama mkichwa wako umelala ndio hivo utakaa tu nyumbani kusubiri kuajiriwa.

Tusisingizie elimu tuvilaumu vichwa vyetu vilivyolala,wapo watu wengi tu wamejiajiri baada ya kumaliza chuo sasa na hawa wamesoma elimu gani kama sio hii hii tunayoisoma wote
 
Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Hata katiba haijakataza kukaa kwa wazazi hata kama ukifikisha miaka laki 8.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…