Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huu ni uchochezi
Mods naomba huyu apewe ban , nyinyi mna mamlaka ya kumpa ban huyu hata masaa 24
Hahahaah mkuu kama vile ulikuepo .
Swali la kizushi wewe hukai home?
Mkuu umeongelea watu wa Asia na Mimi nine base kwa jamii za Africa ambazo nyingi ni masikini na pia zina utamaduni tofauti..... Sasa kuna faida gan kukaa familia yenye watoto kumi afu bado familia ni ya hali ya chini
Wewe ni mu Asia?Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.
mchapeni fimbo huyoWakati kuna lijamaa langu hapa naliona limekaa kwa kaka yake lina midevu kqma osama lina miaka 37 halitaki hata kupanga chumba
Yani linanikera sana
Hao ndio wale wanajifanya kuiga kila kitu, unakimbia home bila kujiandaa sawa sawa unaenda zako huko baada ya muda maisha yanakupiga mdogo mdogo unaanza kwenda home kula mara Bi Mkubwa nitumie hela mwisho wa siku unarudi tena pale pale home kwa aibu.
Shukuru Mungu hata hilo boma ulilonalo, kwa maelezo uliyotoa kama ungebaki nyumbani hata begi la nguo bado ungekua unatumia uliloachiwa na mzazi wakoMaish ni vyovyote lighte wazee wangu wangekuwa nauwezo mm nisingetoka nyumbani niende wapi
Unakuta mtu baba yake ananyumba tano lakini yeye kapanga huo upuuzi mm nisingefanya ila kwakuwa wazazi wangu hawakuwa na uwezo nilianza kujitehemea nikiwa na miaka 15 mpaka leo bado hata nyumba yangu sijaezeka.
Hi wana Jf,
Nimejaribu kuchunguza hasa hizo nchi zetu za Africa hususani (East Africa) limekuwa ni jambo la kawaida kukuta kijana ana miaka takribani 30 na bado anaishi kwa wazazi wake bila aibu anasubiri ugali wa shikamoo.
Hili jambo ukiliangalia kwa mapana utagundua linasababishwa na vitu Vingi..
Mfano mfumo wetu wa elimu nao unachangia kwa sababu elimu mtu anayopata mpaka chuo kikuu haimjengi muhusika katika kuwa na mawazo ya kujiajiri . Tatizo linakuja pale mtu kamaliza chuo alafu kakosa kazi ..utashangaa mtu anakaa nyumbani mpaka anaoa/kuolewa akiwa nyumbani.
Lakini upande wa pili hata kama mtu hajasoma pia bado utakuta anaishi nyumbani kwa wazazi akiwa na umri mkubwa..mi nadhani pia sisi wa Africa uvivu unatupeleka pabaya.
Tumezoea kukaa vijiweni muda mwingi tukijadili mambo yasiyo na msingi na tumekuwa watu wa kutojali muda kabisa... Wala hatuna ratiba ..
Yangu ni hayo tuu kama kuna mwingine mwenye mawazo tofauti na mimi anaweza akaongeza au kunipinga kwa hoja lakini...
Nawasilisha
Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Ninaunga mkono asilimia zote.Hi wana Jf,
Nimejaribu kuchunguza hasa hizo nchi zetu za Africa hususani (East Africa) limekuwa ni jambo la kawaida kukuta kijana ana miaka takribani 30 na bado anaishi kwa wazazi wake bila aibu anasubiri ugali wa shikamoo.
Hili jambo ukiliangalia kwa mapana utagundua linasababishwa na vitu Vingi..
Mfano mfumo wetu wa elimu nao unachangia kwa sababu elimu mtu anayopata mpaka chuo kikuu haimjengi muhusika katika kuwa na mawazo ya kujiajiri . Tatizo linakuja pale mtu kamaliza chuo alafu kakosa kazi ..utashangaa mtu anakaa nyumbani mpaka anaoa/kuolewa akiwa nyumbani.
Lakini upande wa pili hata kama mtu hajasoma pia bado utakuta anaishi nyumbani kwa wazazi akiwa na umri mkubwa..mi nadhani pia sisi wa Africa uvivu unatupeleka pabaya.
Tumezoea kukaa vijiweni muda mwingi tukijadili mambo yasiyo na msingi na tumekuwa watu wa kutojali muda kabisa... Wala hatuna ratiba ..
Yangu ni hayo tuu kama kuna mwingine mwenye mawazo tofauti na mimi anaweza akaongeza au kunipinga kwa hoja lakini...
Nawasilisha
[emoji23][emoji23][emoji23]Akili za mwendokasi mbaya, mtu anasemea kwa African setting wewe unatuletea waasia
Jamaa dizain kama hajui kama hichi/JF kama nacho ni kijiwe....Kama wewe ambavyo uko huku mitandaoni kujadili maisha ya watu.
Mimi ntatoka nikipata uhakika wa maisha , mtu unakuta anatoka home hajui hata anaanzaje maishaMimi home sihami na niataolea hapa hapa.
kwaiyo sisi ni nani tupingane na maneno ya MunguYesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
Prodigal sons hata Mbele wapo [emoji23]Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Hata katiba haijakataza kukaa kwa wazazi hata kama ukifikisha miaka laki 8.Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa