Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kukaa kwa wazazi siyo kigezo cha kumzuia mtu kuendelea
Wabongo tuna akili finyu na kudhani kukimbia kwenu ndio kwenda kutafuta maendeleo, hebu tuangalie jamii za Waasia na waarabu wengi hupenda kuishi katika familia kubwa, unamkuta babu, mtoto na wajukuu wanakaa kwenye mansion moja na bado wametuzidi mara hamsini kwenye maendeleo.