Ukisikia mtu kachanganyikiwa au kujitafutia rahana Basi wewe inakuhusu kwani ni lazima kuchangia mada Kama kichwani upo ziro. Some times kukaa kimya ni akili.Yesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
Si Bora ya yesu karudi kwa baba yake he yule aliekuwa anaenda kujificha kwenye mapango slikua anafanya Nini au alikuwa anavuta ndumu?Yesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
HahahaaaaaKama wewe ambavyo uko huku mitandaoni kujadili maisha ya watu.
Hilo ni jibu la kijinga kwani hakuna watoto wa mawaziri au wabunge bd wanakaa kwao lakini bdo ni mashoga .cha msingi kijana jitambue hata km kwenu Mambo super Basi washauri wakuwezeshe usepe home na ukajaribu kujitegemea kivyako.ok tufanye una umli wa zaidi ya miaka 30 na unakaa home una girl friend utamuingiza hapo home au utampeleja guest hayo maadili ya kwenu yataruhusu hayo yote 2 kulala nje au kugongea ndani kwenu.jitanbue ondoka Nyumbani hata km kwenu Mambo mazuri.Sasa wewe kama familia yenu mnakaa kwenye nyumba ya kupanga mpaka leo utakaeje hapo?acha kuwaonea wivu watoto wa wenzio Wazazi wao waliojipanga na kujenga nyumba ili kuwasitiri watoto wao mpaka pale watakapofanikiwa kimaisha,wewe mlaumu Baba yako wakati wenzie wanasoma yeye alijifanya mjanja kuwa chimbo na kuvuta bangi na kunywa mataputapu.
Viherehere tu vya watu[emoji1] [emoji1]kwaiyo sisi ni nani tupingane na maneno ya Mungu
Kuchanganyikiwa ni nn?Ukisikia mtu kachanganyikiwa au kujitafutia rahana Basi wewe inakuhusu kwani ni lazima kuchangia mada Kama kichwani upo ziro. Some times kukaa kimya ni akili.
Hebu rekebisha kwanza kiswahili chako alafu uliza tena?Si Bora ya yesu karudi kwa baba yake he yule aliekuwa anaenda kujificha kwenye mapango slikua anafanya Nini au alikuwa anavuta ndumu?
Hongera mkuu!!Yesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
Ujue imekukosa aliyelenga hana shabaha amefanya makosaUkisikia paaah...!!
Acha uongo unasema elimu ya Tanzania haimjengi mtu kuwa na mawazo ya kujiajiri,una takwimu za kutuonyesha graduates wangapi wameshindwa kujiajiri,kujiajiri kunategemea na kujifikirisha kwa mtu kama mkichwa wako umelala ndio hivo utakaa tu nyumbani kusubiri kuajiriwa.
Tusisingizie elimu tuvilaumu vichwa vyetu vilivyolala,wapo watu wengi tu wamejiajiri baada ya kumaliza chuo sasa na hawa wamesoma elimu gani kama sio hii hii tunayoisoma wote
Dah nmeufuatilia huu mtanange kwa karibu Sana nmegundua kuwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,, ngoja kwanza,,,,,,,,,, ndo namalizia kula nguna ya bimkubwa hapa NASEMA HIV hom sihami nitaondokaje Sina Raman yoyote,,, kesho Nita attend kwa Mdogo Nika msalimie home RAHA SANA....
Uzi mtamu , nimefatilia toka komenti ya kwanza , hadi ya mwisho , nkaona kumbe maisha ya mwanaume inakubidi uchakarike , sio uwe kama kike tu kusubiri kuolewa .
Sio kweli
Kujifanya unanijua eti[emoji57][emoji57]Lazima ukatae kwavile umetoka kuosha vyombo sahv
Swala sio kukujua ..... Fanya jitihada uanzishe mji wakoKujifanya unanijua eti[emoji57][emoji57]