Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Mafanikio hayana uhusiano wowote na mtu kuondoka kwao mapema otherwise machokoraa wangekuwa wanashikilia uchumi wa nchi hii.

Watu waliokulia familia duni ndo huona kutoka nyumbani mapema ndo ujiko.
 
Yesu mwenye aliondoka duniani akaenda kwa baba yake na hadi leo hajaridi yupo tu kwa baba yake
Ukisikia mtu kachanganyikiwa au kujitafutia rahana Basi wewe inakuhusu kwani ni lazima kuchangia mada Kama kichwani upo ziro. Some times kukaa kimya ni akili.
 
Sasa wewe kama familia yenu mnakaa kwenye nyumba ya kupanga mpaka leo utakaeje hapo?acha kuwaonea wivu watoto wa wenzio Wazazi wao waliojipanga na kujenga nyumba ili kuwasitiri watoto wao mpaka pale watakapofanikiwa kimaisha,wewe mlaumu Baba yako wakati wenzie wanasoma yeye alijifanya mjanja kuwa chimbo na kuvuta bangi na kunywa mataputapu.
Hilo ni jibu la kijinga kwani hakuna watoto wa mawaziri au wabunge bd wanakaa kwao lakini bdo ni mashoga .cha msingi kijana jitambue hata km kwenu Mambo super Basi washauri wakuwezeshe usepe home na ukajaribu kujitegemea kivyako.ok tufanye una umli wa zaidi ya miaka 30 na unakaa home una girl friend utamuingiza hapo home au utampeleja guest hayo maadili ya kwenu yataruhusu hayo yote 2 kulala nje au kugongea ndani kwenu.jitanbue ondoka Nyumbani hata km kwenu Mambo mazuri.
 
Ukisikia mtu kachanganyikiwa au kujitafutia rahana Basi wewe inakuhusu kwani ni lazima kuchangia mada Kama kichwani upo ziro. Some times kukaa kimya ni akili.
Kuchanganyikiwa ni nn?
Rahana ni nn?
Akili ni nini?
 
Dah nmeufuatilia huu mtanange kwa karibu Sana nmegundua kuwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,, ngoja kwanza,,,,,,,,,, ndo namalizia kula nguna ya bimkubwa hapa NASEMA HIV hom sihami nitaondokaje Sina Raman yoyote,,, kesho Nita attend kwa mamdogo Nika msalimie home RAHA SANA
 
Dah nmeufuatilia huu mtanange kwa karibu Sana nmegundua kuwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,, ngoja kwanza,,,,,,,,,, ndo namalizia kula nguna ya bimkubwa hapa NASEMA HIV hom sihami nitaondokaje Sina Raman yoyote,,, kesho Nita attend kwa Mdogo Nika msalimie home RAHA SANA....
 
Mkuu unataka taqwimu za nn wakat mambo yanaonekana
Acha uongo unasema elimu ya Tanzania haimjengi mtu kuwa na mawazo ya kujiajiri,una takwimu za kutuonyesha graduates wangapi wameshindwa kujiajiri,kujiajiri kunategemea na kujifikirisha kwa mtu kama mkichwa wako umelala ndio hivo utakaa tu nyumbani kusubiri kuajiriwa.

Tusisingizie elimu tuvilaumu vichwa vyetu vilivyolala,wapo watu wengi tu wamejiajiri baada ya kumaliza chuo sasa na hawa wamesoma elimu gani kama sio hii hii tunayoisoma wote
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah nmeufuatilia huu mtanange kwa karibu Sana nmegundua kuwa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,, ngoja kwanza,,,,,,,,,, ndo namalizia kula nguna ya bimkubwa hapa NASEMA HIV hom sihami nitaondokaje Sina Raman yoyote,,, kesho Nita attend kwa Mdogo Nika msalimie home RAHA SANA....
 
Uzi mtamu , nimefatilia toka komenti ya kwanza , hadi ya mwisho , nkaona kumbe maisha ya mwanaume inakubidi uchakarike , sio uwe kama kike tu kusubiri kuolewa .
 
Really mkuu Yan ukishakua mwanaume n mapambano kisawa sawa hakuna kuremba
Uzi mtamu , nimefatilia toka komenti ya kwanza , hadi ya mwisho , nkaona kumbe maisha ya mwanaume inakubidi uchakarike , sio uwe kama kike tu kusubiri kuolewa .
 
Back
Top Bottom