Hatua ya kwanza ya mafanikio ni kuondoka nyumbani

Umeandika kwa mtazamo mfupi angalia watanzania wengi hatuwezi kuondoka nchini tupo mikelele kushabikia chadomo cheki nchi za wenzetu walivyojaa nje ya nchi kusaka keki angalia Leo kuna wakenya laki tano America tu watz ndio Kwanzaa tupo laki moja sembuse hao unaosema waliopo kwa baba zao .....
 
Vipi ambao bado wanaishi kwao ila wamepanga mageto kwa ajili ya kugongea mademu. Yaani mtu yupo home na ana geto bado lina kila kitu anaamua tu alale wapi
 
Huyo hawezi kuanzisha mji wake mpaka aanzishiwe aukute yeye afanye kuhamia tu na akileta mchezo anatimuliwa anakaribishwa mwingine
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila kwel adse
 
Hao tayari tunawahesabia kua hawako nyumbani kwao cz tayari Ana mji wake .so swala la kurud hm n option tuu
Vipi ambao bado wanaishi kwao ila wamepanga mageto kwa ajili ya kugongea mademu. Yaani mtu yupo home na ana geto bado lina kila kitu anaamua tu alale wapi
 
Mkuu kuondoka nyumbani n neno pana kwa mfano ukiwa nchi za watu ... Bhac ujue nchi yako n nyumbani. ... So nlilenga kule kule Ila km ningekuja na mada kua ili ufanikiwe n lazima uondoke nchini kwako ... Bhac mada isinge balance
 
Mkuu [emoji817] nakubaliana na hoja yako hii

One love
 
Mi siondoki home,takufa njaa bure!kwani dhambi kukaa kwa wazazi?na nina miaka 36 sasa
Hapana mkuu kwa sasa una miaka 41 sio 36...ukiangalia kuna vijana wameanza kushika million wakiwa na 23.....toka hapo kwenu nenda katafute wewe mtoto wa kiume...au wazazi wataishi milele??...
 
Mansion yenu iko mbagala maeneo gani???....usijifananishe mswahili wa kwenye nchi masikini na watu ambao nchi zao tayari ni matajiri...
 
Waasia na waafrica wote ni binadamu,na wanafanana kwa mahitaji ya msingi,hakuna kasoro yoyote kuchukua mfano kutoka kwao,jambo zuri unajifunza kutoka popote no matter the race.
Haya endelea kujifananisha huku unaendelea kuzeeka.....muda haukusubiri....ukistuka 50 huna hata bakuli....
 
Jobless kwenye ubora...
 
Watoto wako watajengewa na Nani??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…