Hakuna lolote yule jamaa kama anachamsha tu sasa tatizo liko wap?Kufa kufaana, vinginevyo apunguze kukurupuka. Mbona watu wanawafurahia Maso Bwire na Kifaru wanapozisifia timu zao? Atenganishe kazi na mahaba ya timu.
Unadhani MO atataka mtu atakaewakera kijingajinga watu wa aina fulani wasinunue MO juice zake? Uwendeshaji huu wa mpira ni wa kibiashara zaidi kuliko utani wa jadi na mahaba yasiyozuilika.akifukuzwa unazani utapewa kazi hiyo wewe
huyo masau bwire angekuwa simba au yanga ungekuja na maneno km hayahyaKufa kufaana, vinginevyo apunguze kukurupuka. Mbona watu wanawafurahia Maso Bwire na Kifaru wanapozisifia timu zao? Atenganishe kazi na mahaba ya timu.
ubora na bei zake ndo ushawishi tosha WA kupata Wateja sio manaraUnadhani MO atataka mtu atakaewakera kijingajinga watu wa aina fulani wasinunue MO juice zake? Uwendeshaji huu wa mpira ni wa kibiashara zaidi kuliko utani wa jadi na mahaba yasiyozuilika.
Hakuna lolote yule jamaa kama anachamsha tu sasa tatizo liko wap?
apa ni bongo lakini sio ulayaatatafutiwa kitengo kingine labda cha ushabiki lakini sio kazi kama zile. by the way ulaya msemaji wa timu ni manager na sio kila mtu.
msemaji wa timu lazima awe skills na sense za entrepreneurship, sio kuropoka tu chochote na namna ya kufanikisha kuwaudhi wengine. Kwenye biashara kila mtu ni muhimu.atatafutiwa kitengo kingine labda cha ushabiki lakini sio kazi kama zile. by the way ulaya msemaji wa timu ni manager na sio kila mtu.
Sio mtu mbaya ki vile, anahitaji maboresho machache tu ili aendane na mfumo wa kibiashara wa sasa, vinginevyo timu itapigwa faini kila siku na watu wengine kususia bidhaa za mheshimiwa sokoni kwaajili ya maneno na tabia yake. Pamoja na burudani ya mpira lakini mwekezaji anatarajia kupata faida, hivyo atawahitaji watu wote sio wale wa Simba tu.Aondolewe kvp Manara yuko right kutetea klabu iliyomuajiri.We pambana na hali yako acha wivu huo.Mwenzeko akitaka kuonana na MO fasta,au unamuonea wivu anavyokuwa Oman anavyotafuna mpunga.
Manara ndio msemaji bora mpaka sasa waliokuwa Simba anajua kuhamasisha mashabiki,ulikuwepo Simba DAY jibu umngelipata umuhimu wa Haji Manara.