kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Manara atamchafulia MO kutokana na mahaba yake kwa Simba yaliyopitiliza kiasi cha kusahau kanuni na taratibu za mchezo huo na sheria za nchi.
Manara anapaswa kujua kuwa kila lalamiko lina utaratibu wake wa kuliwasilisha kwenye mamlaka za kutoa maamuzi sio kukurupuka kama anavyofanya jamaa yetu na yule mwenzake aliyekuwa upande wa pili.
Kwa bahati mbaya ndivyo alivyo hakanyiki. MO kazi kwako, nadhani ungependa kuona bidhaa zako zinanunuliwa na watu wote bila kujali ushabiki wa mpira, lakini kwa Manara hilo linaweza kuwa gumu.
Manara anapaswa kujua kuwa kila lalamiko lina utaratibu wake wa kuliwasilisha kwenye mamlaka za kutoa maamuzi sio kukurupuka kama anavyofanya jamaa yetu na yule mwenzake aliyekuwa upande wa pili.
Kwa bahati mbaya ndivyo alivyo hakanyiki. MO kazi kwako, nadhani ungependa kuona bidhaa zako zinanunuliwa na watu wote bila kujali ushabiki wa mpira, lakini kwa Manara hilo linaweza kuwa gumu.