TZ-1
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 4,321
- 7,501
Hbr wana jamvi/wajenz tukiw Tamati kbs mwa mwak 2024 .
Nmejivuta ndan ya miak 3/4 katk ununuaji wa kiwanj na kuanz ujenz ,
Hatua niliyopo sasa nimekamilsha msingi wa room 3 sebule (•room mbili ni master) jiko na sehemu ndogo ya kula
Lengo mwakn natak niwe na 10m. Ya pamoja vp itawez nifanikishia hatua nzuri niwez kuhamia . Sait ipo kibah mkoa wa pwani.
Lakn pia nipen namn nitavyowez bana matumizi wakt wa ujenz___
Picha chin ya ramani.
Nmejivuta ndan ya miak 3/4 katk ununuaji wa kiwanj na kuanz ujenz ,
Hatua niliyopo sasa nimekamilsha msingi wa room 3 sebule (•room mbili ni master) jiko na sehemu ndogo ya kula
Lengo mwakn natak niwe na 10m. Ya pamoja vp itawez nifanikishia hatua nzuri niwez kuhamia . Sait ipo kibah mkoa wa pwani.
Lakn pia nipen namn nitavyowez bana matumizi wakt wa ujenz___
Picha chin ya ramani.