Hatua ya msingi imeisha naomba tathimini

Hatua ya msingi imeisha naomba tathimini

Hbr wana jamvi/wajenz tukiw Tamati kbs mwa mwak 2024 .

Nmejivuta ndan ya miak 3/4 katk ununuaji wa kiwanj na kuanz ujenz ,

Hatua niliyopo sasa nimekamilsha msingi wa room 3 sebule (•room mbili ni master) jiko na sehemu ndogo ya kula
Lengo mwakn natak niwe na 10m. Ya pamoja vp itawez nifanikishia hatua nzuri niwez kuhamia . Sait ipo kibah mkoa wa pwani.

Lakn pia nipen namn nitavyowez bana matumizi wakt wa ujenz___

Picha chin ya ramani.
Nimeipenda ramani yako boss tunaweza kushare.
 
Hapo
Hapo utahitaji estimations

Tofali 1,500 hadi top course

Cement 15

Nondo si chini ya 6 kwenye renta

Kokoto debe 50

Mchanga trip 2 za tiper

Jumlisha pesa ya fundi itakayobaki ndio utafurukuta nayo kwenye kupaua na bati

Note: Hayo ni mahesabu madogo hope yatazidi
Tofali si chini ya 2000 mpaka top koz
 
Hapo

Tofali si chini ya 2000 mpaka top koz
Room3

Moja master

Public toilet na sebule

Hapo kila room inakula tofali 300×3= 900

Chukulia sebule ni room ya nne jumla zinakiwa 1,200

Master moja na public chukulia ni room nyingine jumla 1,500

Tofali 2000 ni nyingi sana
 
Ujenz sio mrahisi kama mnavyoandika hapo juu.
Alaf Kuna mtu kasema Nondo 6[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa uzoefu tu,
hapo sio chini na Nondo 20 , * 21k. = 800k
Kuna kokoto roli 1 hapo, 200k+.
Kuna trip 2 za Mchanga 200k
Matofali hapo weka 2,000 * 1,250 ni 2.5 Mill
Cement ni mifuko 20 kujenga ,(20*17k ) ni 340k
Cement ya nguzo na lenta weka 10 ni 170k
Mbao, maji weka 200k
Ufund weka 1.5 mill
Gharama usafiri vifaa + misumar weka 100k

Andaa 7 mill kufikisha kwenye Lenta

Na Hapo hujajaza vifus vyumban.

Ukitaka kuamia hapo hamna hamna bila umeme andaa 20mill.
 
Kwenye ujenz wa Nyumba hiyo ya kupandisha matofali ndio hatua rahisi.

Ukishamaliza hapo kuezeka standard ni pagumu. Coz unatakiwa ufanye yote wakat mmoja,
Wakat kwenye kujenga unaweza pandisha kozi 5 kwanza.

Pia baada ya kuezeka,
finishing ndio ngumu.

Ogopa sana vifaa unavyonunua vikawa na majina ya kiingereza. Vikaitwa kwa kingereza.

Mfano Wiring, skimming, gypsum, tiles, plundering .
 
Ujenz sio mrahisi kama mnavyoandika hapo juu.
Alaf Kuna mtu kasema Nondo 6[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa uzoefu tu,
hapo sio chini na Nondo 20 , * 21k. = 800k
Kuna kokoto roli 1 hapo, 200k+.
Kuna trip 2 za Mchanga 200k
Matofali hapo weka 2,000 * 1,250 ni 2.5 Mill
Cement ni mifuko 20 kujenga ,(20*17k ) ni 340k
Cement ya nguzo na lenta weka 10 ni 170k
Mbao, maji weka 200k
Ufund weka 1.5 mill
Gharama usafiri vifaa + misumar weka 100k

Andaa 7 mill kufikisha kwenye Lenta

Na Hapo hujajaza vifus vyumban.

Ukitaka kuamia hapo hamna hamna bila umeme andaa 20mill.
Hapo ulipo vifaa vipo juu kuliko alipo mtoa mada

Angalia bei za kwao hapo juu

Kwingine sikupingi ufundi unatofautiana

Mfano lenta mwingine anaweza suka nondo tatu mwingine mbili
 
Ujenz sio mrahisi kama mnavyoandika hapo juu.
Alaf Kuna mtu kasema Nondo 6[emoji23][emoji23][emoji23].

Kwa uzoefu tu,
hapo sio chini na Nondo 20 , * 21k. = 800k
Kuna kokoto roli 1 hapo, 200k+.
Kuna trip 2 za Mchanga 200k
Matofali hapo weka 2,000 * 1,250 ni 2.5 Mill
Cement ni mifuko 20 kujenga ,(20*17k ) ni 340k
Cement ya nguzo na lenta weka 10 ni 170k
Mbao, maji weka 200k
Ufund weka 1.5 mill
Gharama usafiri vifaa + misumar weka 100k

Andaa 7 mill kufikisha kwenye Lenta

Na Hapo hujajaza vifus vyumban.

Ukitaka kuamia hapo hamna hamna bila umeme andaa 20mill.
Yan mie pia nimeshangaa kuona nondo 6
 
Back
Top Bottom