Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua

Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua


Ni wakati muafaka sasa kwa CCM kufanya wajibu wake muhimu sana, dhidi ya wenye kiburi, waongo, wabishi na wenye tamaa waliobakiza mioyo yao ccm, lakini akili zao zikiwa kwa walio watuma.

Wakati kamati ya maadili ya bunge ikiendelea na majadiliano, kufanya uchambuzi wa kina na kujiridhisha mbivu na mbichi juu ya nyaraka na vielelezo alivyo wasilisha Mh. Luhaga Mpina kwa spika, dhidi ya tuhuma anazomtuhumu waziri wa kilimo, mwenye bidii sana, mchapakazi hodari waziri Mh. Hussein Bashe.

CCM ijiandae kumchukilia Mh. Luhaga Mpina hatua stahiki za kinidhamu dhidi ya kumdharau spika, kulidharau bunge, kumzushia Mh. waziri waziri Bashe kinachofanyiwa kazi na kamati ya bunge, na kuituhumu bila hakika serikali yote sikivu ya CCM kwa ujumla.

Hii si sawa kwa taasisi imara na makini kama CCM, kuendelea kuwavumilia wanachama wake wasio zingatia misingi ya nidhamu, kanuni na katiba ya chama na kukengeuka kwa chuki isiyo na sababu.

Na baada ya kumchukilia hatua za kawaida za kinidhamu kwa mujibu wa katiba ya CCM, iwe pia ni wakati muafaka chama kiende mbali zaidi, kwa kumvua uanachama wa CCM Mh. Luhaga Mpina kwa kukiuka na kwenda kinyume na kanuni, taratibu, mila, desturi na utamaduni wa CCM, wa kufanya kazi kwa kuheshimiana na kwa umoja ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Mh Luhaga Mpina abanduliwe CCM haraka iwezekanavyo kwa kutatiza mara kwa mara kupinga, na kijaribu kidhoofisha na kwa kupotosha kwa makusudi nia, mipango mikakati na malengo ya chama na serikali sikivu ya ccm katika kuwaletea wananchi maendeleo, na kuchochea mageuzi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi kwenye maisha ya waTanzania wote.

Mh. Luhaga Mpina apokonywe uanachama wa CCM, ili akapate fursa na wasaa mzuri zaidi wa kuendeleza tuhuma zake na gubu binafsi alizonazo, dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, ambao anahisi ndio waliosababisha na kuchochea, yeye Mh. Luhaga Mpina kutoswa kwanye baraza la mawaziri alilokua akihuduma kama waziri wa uvuvi, hapo awali.

Mh. Luhaga Mpina avuliwe uanachama ili kwa uhuru zaidi, akaungane na wenzie wa upande wa pili, wanaomtetea na waliopoteza uelekeo, walio kosa hoja, sera na wasiojua hata wana dai nini wala wanatetea nini, yaani wapo wapo tu. :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

Ni matumaini yangu, mpaka sasa kwa hali ilipofikia, pasina shaka yoyote, kupitia vyombo maalumu vya chama, CCM itakua imejiridhisha pasina shaka yoyote kwamba Mh. Luhaga Mpina kwa kiburi, jeuri na utovu wa nidhamu hana sifa wala vigezo tena vya kua mwananchama, mkereketwa wala shabiki wa CCM na anastahili kufubgashiwa virago vyake CCM.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
Hii ndio picha yenu halisi wahafidhina na msio taka watu wengine wawe na mawazo tofauti na yenu na ya mabwana zenu. Dunia inataka fikra tofauti Mpina anatakiwa kulindwa na Chama chenu na Spika. Acheni watu wafikiri tofauti mmedumisha sana fikra za Mwenyekiti for the last 60 years sasa mkubari mawazo tofauti. Mpina mnataka kumtoa kafara kama ilivyo desturi yenu ya kuwaziba midomo wenye mawazo tofauti na mkumbuke hii sio mara yenu ya kwanza manake hata mkimfuta Mpina kuna wengine watatokea.
Mpina yuko na hoja ebu jibuni hoja zake kwanza, tuna wasi wasi mkubwa kama mtandeka haki, hatua zilizochukuliwa na waziri wa kilimo hata mtoto mdogo anaona kabisa kuna kitu hakikuwa sawa. Mkiona mpaka makada wenu waandamizi wanaamua liwalo na liwe ebu jikagueni kwanza.
 
na hata lijalo baada ya uchaguzi mkuu 2025 litasheheni wabunge makini, hodari na madhubuti sana wa CCM ili kuishauri serikali, kujisimamia serikali, kutunga sheria, sera na mipango mbalimbali ya maendeleo, kujadili na kupitisha bajeti za mawizara na bajeti kuu ya serikali...

kwani wanainchi wakiamua, kuna nini iko mbaya hapo gentleman 🐒
Je wabunge wa CCM huwa wanajua madhara ya sera wanazozipitisha Kwa hapo baadae,( the aftermath of policies approved), hadi zinakuwa sera ambazo hazina muelekeo yaani ambazo hazina tija
 
Tangu lini CCM imesimama na wananchi dhidi ya mafisadi na majizi yanayoiangamiza nchi yetu

Ile ripoti ya CAG iliyosubiri bunge la mwezi wa tisa mwaka jana, nani aliwajibishwa na serikali ya ccm licha kwamba CAG alibainisha wizi mkubwa katika ripoti yake?

Hivi nyinyi maccm ni lini mmeanza kuwakubali wakweli na kuwapa kipaombele katika kulijenga taifa?

Hivi juzi tu tunaambiwa Warabu wa bandari zetu wametoa gawio kubwa zaidi kuwahi kutokea ilihali tumekuwa na gawio la zaidi bilion 600 dhidi ya hizo bilioni 2.5?

Akili zenu huwa zinawaza kuiba tu
gentleman,
nadhani unayo mengi sana moyoni, pole..

but kwa leo ni muhimu zaidi kua wastahimilivu na wenye subra kidogo juu ya masuala mengine, tujikite kwenye hili ambalo liko wazi zaidi mbele yetu na siasa za Tanzania 🐒

umeshawahi kuona wapinzani wanazungumzia hayo manung'uniko yako uliyoyaibua? unajua ni kwanini?

wanapenda kuzungumzia tuhuma za kubuni, za uzushi na za uongo wanazo zitunga wao wenyewe 🐒
 
binafs sifahamu,
but nadhani kwa aina ya siasa anazofanya, ni dhahiri tayari ameshajihakikishia destination ya platform miongni mwa vyama vya siasa nchini,

na anafahamu fika kwamba, hawezi kuachwa kuendeleza jeuri na kiburi yake ndani ya CCM, na hawezi tena kuishi ndani ya CCM kwa style ya siasa anazofanya...

anaelekea wapi ni suala la muda tu,

but politically speaking,
sioni akikimaliza kipindi cha bunge kilichosalia, kakiwa mbunge wa CCM na haitawezekana tena kua mbunge wa Upinzani 🐒
Huyo kaamua kufa na magufuli ingawa mwenzie makonda anajua kuuma na kupulizia anamtetea na kumsifu magufuli nyuma ya mgogo wa mama samia,

Ccm ni watu strategy sana hasa misimu ya kuelekea uchaguzi kama hii hivyo kuna wakati za kuambiwa changanya na za kwako.
 
gentleman,
nadhani unayo mengi sana moyoni, pole..

but kwa leo ni muhimu zaidi kua wastahimilivu na wenye subra kidogo juu ya masuala mengine, tujikite kwenye hili ambalo liko wazi zaidi mbele yetu na siasa za Tanzania 🐒

umeshawahi kuona wapinzani wanazungumzia hayo manung'uniko yako uliyoyaibua? unajua ni kwanini?

wanapenda kuzungumzia tuhuma za kubuni, za uzushi na za uongo wanazo zitunga wao wenyewe 🐒
Hata zikizungumzwa na kuthibitika huwa kunatokea nini mbele ya ccm?

Ujinga tupu
 
Je wabunge wa CCM huwa wanajua madhara ya sera wanazozipitisha Kwa hapo baadae,( the aftermath of policies approved), hadi zinakuwa sera ambazo hazina muelekeo yaani ambazo hazina tija
baada ya sera au sheria kupitishwa na bunge na mh.Rais kuidhinisha, ikibainika kuna changamoto au athari katika utekelezaji wa sera na sheria hizi,
kupitia wizara za kisekta hatua za kuzirekebisha au kuzibadilisha sheria hizo huchukuliwa mara moja 🐒
 
Hata zikizungumzwa na kuthibitika huwa kunatokea nini mbele ya ccm?

Ujinga tupu
ikithibitika ni tuhuma za uzushi na uongo, hatua kali za kinidhamu huchukuliwa dhidi ya muhusika mwenye jeuri na kiburi ambazo ni pamoja na kubanduliwa chamani 🐒
 
Mleta mada sijasoma upuuzi wako wote maana nimeona tiyari uko upande wa kutetea ujinga ama una manufaa na ufisadi.Wapuuzi kama ww Mao wa china alikua anawatandika risasi ama kuwanyonga hadharani.Mpina kaja na data kabisa ww bado unanuona hafai unatetea wezi ww ndo inafaa wakutoe kafara kipindi cha uchaguzi kuliko kutwatoa albino.
 
CCM na ufisadi ni kama chupi na matako,Mpina kagusa moyo wa CCM lazima wapige mayowe.
 

Ni wakati muafaka sasa kwa CCM kufanya wajibu wake muhimu sana, dhidi ya wenye kiburi, waongo, wabishi na wenye tamaa waliobakiza mioyo yao ccm, lakini akili zao zikiwa kwa walio watuma.

Wakati kamati ya maadili ya bunge ikiendelea na majadiliano, kufanya uchambuzi wa kina na kujiridhisha mbivu na mbichi juu ya nyaraka na vielelezo alivyo wasilisha Mh. Luhaga Mpina kwa spika, dhidi ya tuhuma anazomtuhumu waziri wa kilimo, mwenye bidii sana, mchapakazi hodari waziri Mh. Hussein Bashe.

CCM ijiandae kumchukilia Mh. Luhaga Mpina hatua stahiki za kinidhamu dhidi ya kumdharau spika, kulidharau bunge, kumzushia Mh. waziri waziri Bashe kinachofanyiwa kazi na kamati ya bunge, na kuituhumu bila hakika serikali yote sikivu ya CCM kwa ujumla.

Hii si sawa kwa taasisi imara na makini kama CCM, kuendelea kuwavumilia wanachama wake wasio zingatia misingi ya nidhamu, kanuni na katiba ya chama na kukengeuka kwa chuki isiyo na sababu.

Na baada ya kumchukilia hatua za kawaida za kinidhamu kwa mujibu wa katiba ya CCM, iwe pia ni wakati muafaka chama kiende mbali zaidi, kwa kumvua uanachama wa CCM Mh. Luhaga Mpina kwa kukiuka na kwenda kinyume na kanuni, taratibu, mila, desturi na utamaduni wa CCM, wa kufanya kazi kwa kuheshimiana na kwa umoja ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Mh Luhaga Mpina abanduliwe CCM haraka iwezekanavyo kwa kutatiza mara kwa mara kupinga, na kijaribu kidhoofisha na kwa kupotosha kwa makusudi nia, mipango mikakati na malengo ya chama na serikali sikivu ya ccm katika kuwaletea wananchi maendeleo, na kuchochea mageuzi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi kwenye maisha ya waTanzania wote.

Mh. Luhaga Mpina apokonywe uanachama wa CCM, ili akapate fursa na wasaa mzuri zaidi wa kuendeleza tuhuma zake na gubu binafsi alizonazo, dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, ambao anahisi ndio waliosababisha na kuchochea, yeye Mh. Luhaga Mpina kutoswa kwanye baraza la mawaziri alilokua akihuduma kama waziri wa uvuvi, hapo awali.

Mh. Luhaga Mpina avuliwe uanachama ili kwa uhuru zaidi, akaungane na wenzie wa upande wa pili, wanaomtetea na waliopoteza uelekeo, walio kosa hoja, sera na wasiojua hata wana dai nini wala wanatetea nini, yaani wapo wapo tu. :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

Ni matumaini yangu, mpaka sasa kwa hali ilipofikia, pasina shaka yoyote, kupitia vyombo maalumu vya chama, CCM itakua imejiridhisha pasina shaka yoyote kwamba Mh. Luhaga Mpina kwa kiburi, jeuri na utovu wa nidhamu hana sifa wala vigezo tena vya kua mwananchama, mkereketwa wala shabiki wa CCM na anastahili kufubgashiwa virago vyake CCM.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
Thubutu!
 
Mleta mada sijasoma upuuzi wako wote maana nimeona tiyari uko upande wa kutetea ujinga ama una manufaa na ufisadi.Wapuuzi kama ww Mao wa china alikua anawatandika risasi ama kuwanyonga hadharani.Mpina kaja na data kabisa ww bado unanuona hafai unatetea wezi ww ndo inafaa wakutoe kafara kipindi cha uchaguzi kuliko kutwatoa albino.
hizi mada za kitaalamu sio kwaajili ya wavivu na wakurupukaji gentleman 🐒

haihitaji mihemko wala haraka kusoma taratibu zaidi ya mara4 ili kupata uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya jambo lenyewe, na kutafakari kwa kina kabla ya kureply au kukoment...

kwa kufanya hivyo itakua umejitendea haki mwenyewe kifikra.

vinginevyo itakua ni wale wale kwa kukimbilia kwenye hitimisho kwa kejeli, ghadhabu na matusi ikiashiria dhahiri shahiri anacho weza nje ya hoja ni hicho tu 🐒

naamini wew si moja wao, jitahidi kua na bidii 🐒
 

Ni wakati muafaka sasa kwa CCM kufanya wajibu wake muhimu sana, dhidi ya wenye kiburi, waongo, wabishi na wenye tamaa waliobakiza mioyo yao ccm, lakini akili zao zikiwa kwa walio watuma.

Wakati kamati ya maadili ya bunge ikiendelea na majadiliano, kufanya uchambuzi wa kina na kujiridhisha mbivu na mbichi juu ya nyaraka na vielelezo alivyo wasilisha Mh. Luhaga Mpina kwa spika, dhidi ya tuhuma anazomtuhumu waziri wa kilimo, mwenye bidii sana, mchapakazi hodari waziri Mh. Hussein Bashe.

CCM ijiandae kumchukilia Mh. Luhaga Mpina hatua stahiki za kinidhamu dhidi ya kumdharau spika, kulidharau bunge, kumzushia Mh. waziri waziri Bashe kinachofanyiwa kazi na kamati ya bunge, na kuituhumu bila hakika serikali yote sikivu ya CCM kwa ujumla.

Hii si sawa kwa taasisi imara na makini kama CCM, kuendelea kuwavumilia wanachama wake wasio zingatia misingi ya nidhamu, kanuni na katiba ya chama na kukengeuka kwa chuki isiyo na sababu.

Na baada ya kumchukilia hatua za kawaida za kinidhamu kwa mujibu wa katiba ya CCM, iwe pia ni wakati muafaka chama kiende mbali zaidi, kwa kumvua uanachama wa CCM Mh. Luhaga Mpina kwa kukiuka na kwenda kinyume na kanuni, taratibu, mila, desturi na utamaduni wa CCM, wa kufanya kazi kwa kuheshimiana na kwa umoja ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Mh Luhaga Mpina abanduliwe CCM haraka iwezekanavyo kwa kutatiza mara kwa mara kupinga, na kijaribu kidhoofisha na kwa kupotosha kwa makusudi nia, mipango mikakati na malengo ya chama na serikali sikivu ya ccm katika kuwaletea wananchi maendeleo, na kuchochea mageuzi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi kwenye maisha ya waTanzania wote.

Mh. Luhaga Mpina apokonywe uanachama wa CCM, ili akapate fursa na wasaa mzuri zaidi wa kuendeleza tuhuma zake na gubu binafsi alizonazo, dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, ambao anahisi ndio waliosababisha na kuchochea, yeye Mh. Luhaga Mpina kutoswa kwanye baraza la mawaziri alilokua akihuduma kama waziri wa uvuvi, hapo awali.

Mh. Luhaga Mpina avuliwe uanachama ili kwa uhuru zaidi, akaungane na wenzie wa upande wa pili, wanaomtetea na waliopoteza uelekeo, walio kosa hoja, sera na wasiojua hata wana dai nini wala wanatetea nini, yaani wapo wapo tu. :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

Ni matumaini yangu, mpaka sasa kwa hali ilipofikia, pasina shaka yoyote, kupitia vyombo maalumu vya chama, CCM itakua imejiridhisha pasina shaka yoyote kwamba Mh. Luhaga Mpina kwa kiburi, jeuri na utovu wa nidhamu hana sifa wala vigezo tena vya kua mwananchama, mkereketwa wala shabiki wa CCM na anastahili kufubgashiwa virago vyake CCM.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili
Huko CCM kuwalinda wevi, waongo na wala rushwa, ndiyo mila na desturi ambazo Mpina, unasema amekiuka?

Kwenu wanaCCM ambao mko CCM mkiamini kuwa chama kipo kwaajili ya kulinda haki za wananchi, mwenzenu huyu anasema kuwa ukifichua uovu wa watendaji wa Serikali, unakuwa umekiuka maadili, mila na desturi za CCM. Na mwenzenu anasema kuwa kula rushwa na kufisadi pesa ya umma kwa kiasi kikubwa, kwa CCM, ni uchapakazi!!

Ni muda wa wanaCCM wanaochukia rushwa, wizi na uwongo, kujitafakari na kujipima kama wapo mahali sahihi. Sahizi CCM haimtaki Mpina kwa sababu amekuwa mkweli na amefichua uharamia wa Bashe.
 
Yes,
hata ukiita muhimili au chombo cha kuisimamia serikali, hukosei, uko sahihi 🐒
Mtu anatoa mawazo yake,anachangia nyie kama
Bunge mnampinga,mnampiga mikwala mbona nyieee hampendi kusikilizaaaaa uchafu unaofanyika,kutwa kutetea uchafu na kuulindaaaaaa
WANANCHIIII WASHALICHOKAAAA BUNGEEEE HILOOOO MAANA LIPO KWA AJILI YA KUTETEA UCHAFUUUU

OVA
 

Ni wakati muafaka sasa kwa CCM kufanya wajibu wake muhimu sana, dhidi ya wenye kiburi, waongo, wabishi na wenye tamaa waliobakiza mioyo yao ccm, lakini akili zao zikiwa kwa walio watuma.

Wakati kamati ya maadili ya bunge ikiendelea na majadiliano, kufanya uchambuzi wa kina na kujiridhisha mbivu na mbichi juu ya nyaraka na vielelezo alivyo wasilisha Mh. Luhaga Mpina kwa spika, dhidi ya tuhuma anazomtuhumu waziri wa kilimo, mwenye bidii sana, mchapakazi hodari waziri Mh. Hussein Bashe.

CCM ijiandae kumchukilia Mh. Luhaga Mpina hatua stahiki za kinidhamu dhidi ya kumdharau spika, kulidharau bunge, kumzushia Mh. waziri waziri Bashe kinachofanyiwa kazi na kamati ya bunge, na kuituhumu bila hakika serikali yote sikivu ya CCM kwa ujumla.

Hii si sawa kwa taasisi imara na makini kama CCM, kuendelea kuwavumilia wanachama wake wasio zingatia misingi ya nidhamu, kanuni na katiba ya chama na kukengeuka kwa chuki isiyo na sababu.

Na baada ya kumchukilia hatua za kawaida za kinidhamu kwa mujibu wa katiba ya CCM, iwe pia ni wakati muafaka chama kiende mbali zaidi, kwa kumvua uanachama wa CCM Mh. Luhaga Mpina kwa kukiuka na kwenda kinyume na kanuni, taratibu, mila, desturi na utamaduni wa CCM, wa kufanya kazi kwa kuheshimiana na kwa umoja ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Mh Luhaga Mpina abanduliwe CCM haraka iwezekanavyo kwa kutatiza mara kwa mara kupinga, na kijaribu kidhoofisha na kwa kupotosha kwa makusudi nia, mipango mikakati na malengo ya chama na serikali sikivu ya ccm katika kuwaletea wananchi maendeleo, na kuchochea mageuzi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi kwenye maisha ya waTanzania wote.

Mh. Luhaga Mpina apokonywe uanachama wa CCM, ili akapate fursa na wasaa mzuri zaidi wa kuendeleza tuhuma zake na gubu binafsi alizonazo, dhidi ya baadhi ya waandamizi serikalini, ambao anahisi ndio waliosababisha na kuchochea, yeye Mh. Luhaga Mpina kutoswa kwanye baraza la mawaziri alilokua akihuduma kama waziri wa uvuvi, hapo awali.

Mh. Luhaga Mpina avuliwe uanachama ili kwa uhuru zaidi, akaungane na wenzie wa upande wa pili, wanaomtetea na waliopoteza uelekeo, walio kosa hoja, sera na wasiojua hata wana dai nini wala wanatetea nini, yaani wapo wapo tu. :pulpTRAVOLTA: :pulpTRAVOLTA:

Ni matumaini yangu, mpaka sasa kwa hali ilipofikia, pasina shaka yoyote, kupitia vyombo maalumu vya chama, CCM itakua imejiridhisha pasina shaka yoyote kwamba Mh. Luhaga Mpina kwa kiburi, jeuri na utovu wa nidhamu hana sifa wala vigezo tena vya kua mwananchama, mkereketwa wala shabiki wa CCM na anastahili kufubgashiwa virago vyake CCM.

- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili


Uoni hata aibu Kaka?
 
Back
Top Bottom