complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 421
- 1,289
Kwa hali ilivo Dar es Salaam wakati huu sio ya kawaida. Joto lililopo wakati huu linatukumbusha kufanya vitu vingi sana kwanzia kwenye miili yetu mpaka maeneo tunayoishi au kushinda.
Unapaswa kunjwa maji mengi ya kutosha, kama hauendi haja ndogo mara kwa mara na ukienda mkojo unakua na rangi ya njano na afya yako ni nzima hicho ni kipimo ya kwamba maji unayokunywa hayatoshi mengi yanatoka kwa njia ya jasho.
Kwa hali hii ya hewa jamani tukumbuke kuotesha miti, naongelea miti sio maua. Miti huweza kusaidia kivuli na kufanya ardhi kua na unyevu nyevu.
Embu jiulize mpaka sasa umewahi kupanda miti mingapi? Kama jibu na hakuna ni wakati sasa wa kuanza kupanda miti, ukipita barabara ya Shaban Robert (Posta) ni mfano mzuri kua miti inamsaada mkubwa sana kukabiliana na hii hali.
Tukirudi majumbani weekend hii walahu tukumbuke kupanda mti mmoja kwa kila mtu kuokoa hii hali ya joto kwa miaka michache ijayo
Kwa hali hii ya Joto na mabadiliko ya tabia nchi kiujumla tutegemee kwa wakazi wa Dar kupata mgao wa Maji majira ya usoni kaka hatutachukua hatua za mapema kukabiliana na hii hali.
Unapaswa kunjwa maji mengi ya kutosha, kama hauendi haja ndogo mara kwa mara na ukienda mkojo unakua na rangi ya njano na afya yako ni nzima hicho ni kipimo ya kwamba maji unayokunywa hayatoshi mengi yanatoka kwa njia ya jasho.
Kwa hali hii ya hewa jamani tukumbuke kuotesha miti, naongelea miti sio maua. Miti huweza kusaidia kivuli na kufanya ardhi kua na unyevu nyevu.
Embu jiulize mpaka sasa umewahi kupanda miti mingapi? Kama jibu na hakuna ni wakati sasa wa kuanza kupanda miti, ukipita barabara ya Shaban Robert (Posta) ni mfano mzuri kua miti inamsaada mkubwa sana kukabiliana na hii hali.
Tukirudi majumbani weekend hii walahu tukumbuke kupanda mti mmoja kwa kila mtu kuokoa hii hali ya joto kwa miaka michache ijayo
Kwa hali hii ya Joto na mabadiliko ya tabia nchi kiujumla tutegemee kwa wakazi wa Dar kupata mgao wa Maji majira ya usoni kaka hatutachukua hatua za mapema kukabiliana na hii hali.