MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Hao masikini mbona wako Dar huko tangu miaka ya 80 wamekufa? Shughuri za nchi hii nyingi ni za kuwa maeneo ya wazi unataka wafanyeje wafunge biashara zao?Matajiri hawachomwi na jua labda waamue. Gari kiyoyozi ofisi kiyoyozi nyumbani Kiyoyozi jua linamchoma sangapi!!??