Sema dar tupo tropical area joto ni kawaida Kwa sehemu za ukanda wa pwani watu wa milimani ndio wanafaidi baridi mbeya, iringa,njombe huku sisi tushazoea ila pia inachangiwa na kutokana mwaka Jana dar na nchi NZIMA joto halikuwa kali sana kwaiyo ni watu tu usahaulifu ila hii HALI ya hewa ndio HALI ya HALISI ya dsm ni joto