Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,315
Wewe umefanya nini kuhusu msiba huu zaidi ya kulalamika lalamika?
TANZANIA =HAPA KAZI TU!!
Late Shakira alisababisha niupende muziki wa taarabu hasa = 'macho yanacheka lakini moyo unauma' alikuwa ni celebrity , maana hata wazungu walikuwa wanakata ticket kuja kumuoina. nakumbuka miaka mingi kidogo ila sina specifi year. kuna mzumgu alifanya safari makusudi kumtafuta shakira. na alipomuona na akamsikiliza live akasema ' now I can die peecefully'
poleni wafiwa.
kizazi cha leo kinaangalia wenye meno ya dhahabu!! shakila kwa TZ ni sawa na akina whitney Haustona ama Mikaeli Jackson walivyokuwa na umaarufukwao, walienziwa , lakini wapi hapa TZ, Angalia tu Olympic Majirani kenya wamezoa medali za klutosha!! tanzania sana sana tunaambulia wa tano!!!!!! sijui tumerogwa wapi na nani!!! we dont care michezo sanaa na wa wachezaji ama wasanii!!!!! HAPA KAZI tu Ndiyo twajua kwa mwendo kasi!!!!!!