MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Njaa mbaya sanaNjaa zinatufanya tulie kwa nguvu na sana.
Tafuta picha ya Sir-bayaNjaa mbaya sanat
Aisee! Alilia kama toto yatima vile! Halafu akiwa on cameraTafuta picha ya Sir-baya
Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa.Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Aisee! Wewe!Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
Yuko gereza la peanuts wajuba wana kazi nayeAisee! Alilia kama toto yatima vile! Halafu akiwa on camera
RuksaAsante mkuu, naomba niichukue hii pocha niweke kwenye huu uzi ili kuuongezea nyama kidogo.
Unataka ushahidi wa Masaki ya Kinana , January , Nape na Kipilimba au unataka ushahidi wa Dr Mahera , Mambosasa , Polepole , Jiwe na Bashiru ?2015 & 2020. Kama unapinga leta ushahidi hapa, siyo porojo.
Bwashee nimesema leta ushahidi, acha porojo.Unataka ushahidi wa Masaki ya Kinana , January , Nape na Kipilimba au unataka ushahidi wa Dr Mahera , Mambosasa , Polepole , Jiwe na Bashiru ?
Toa Mwongozo , ushahidi wote umehifadhiwa .
Unacho kifua ?Bwashee nimesema leta ushahidi, acha porojo.
Kwahiyo wengine walikuwa wanalia njaa?Njaa mbaya sana
uingereza kwanza hawaamini sana mambo ya dini.kwao kifo ni kitu cha kawaida ndo maana hata kupigana risasi hadharani kwao ni kawaida.hao hawana hofu ya Mungu lkn afrika sisi ni wacha Mungu na tuna hofu ya Mungu hivyo kuona watu wakizimia ni jambo la kawaida hata katika levo za familia za kawaida,tunapofiwa na wapendwa wetu huwa tunazimia.hayo pia yamedhirishwa hata kwenye vitabu vya sosholojia.msome thomas martus.(why people comit suicide) utapata pia majibu ya hoja zako.Kuna mtu fulani alifariki hapa Tanzania, basi futuhi ya kuacha legacy ilikuwa na episodes za kishamba mno.
...wapo waliokufa kwa dakika na kufufukia kwenye machera.
...wapo waliozimia huku wameshika mifuko ya plastiki.
View attachment 2362041
...wapo waliokunywa viroba ili watoe machozi wanapoigiza kulia.
Uingereza kumetokea msiba wa malkia Elizabeth II aliyehudumu kwa Mika 70 kwa mafanikio makubwa lkn hatujaona "wahuni" wakiigiza kufa ama kuzimia.
Legacy imebuma.
🤓😘Ni mapepo tu yanawasumbua raiya wa hili eneo.
Kuwatawala watu wenye iq hafifu ni rahisi sana, wewe watese tu, wataanza kukusujudia😆View attachment 2361941
Huyu wa kwetu alikuwa Mtakatifu. Kuzimia ilikuwa muhimu
Waafrica tuna shida mahali aisee