Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,658
Ebana lile la Hallow Mpenzi ndio tupo Kona ya Mwisho hapa! hivi bado lipo Sijatizama kitambo Local Channel.
Me matangazo niliyokuwa nayapenda :-
1.La ITV--- Hebu Tueleze Siri ya Mafanikio Yako... Mtoto wa Kiiraqw anajibu Sio Siri Ni Revola tu Jamaa anauliza Revola Peke Yake? cute anajibu ''Ndio Kwani Mwasho ni Laini na Huniweka Fresh Mchana Kutwa...
2.Lile la Salama Condom... japo si lilikuwa ni la Kenya au Tz? Salama changuo la kisasa!!!!!! Mpya bora kwa bei nafuuu..!!!!
Hivi kuna anae likumbuka la Ntindilititindilo Cafenol ni Bora haina asprin peke yake, hupunguza maumivu ya kichwa homa mafua na Fluu, Cafenol ni dawa bora hushinda Maumivu.. imeshinda zingine zote, Cafenol ni dawa namba One Cafenol Cafenol bambaaa!
Kuna La Relova Revola Revola Revola.....revooola ah Sabuni Mpya
Me matangazo niliyokuwa nayapenda :-
1.La ITV--- Hebu Tueleze Siri ya Mafanikio Yako... Mtoto wa Kiiraqw anajibu Sio Siri Ni Revola tu Jamaa anauliza Revola Peke Yake? cute anajibu ''Ndio Kwani Mwasho ni Laini na Huniweka Fresh Mchana Kutwa...
2.Lile la Salama Condom... japo si lilikuwa ni la Kenya au Tz? Salama changuo la kisasa!!!!!! Mpya bora kwa bei nafuuu..!!!!
Hivi kuna anae likumbuka la Ntindilititindilo Cafenol ni Bora haina asprin peke yake, hupunguza maumivu ya kichwa homa mafua na Fluu, Cafenol ni dawa bora hushinda Maumivu.. imeshinda zingine zote, Cafenol ni dawa namba One Cafenol Cafenol bambaaa!
Kuna La Relova Revola Revola Revola.....revooola ah Sabuni Mpya